Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Habari wana JF wenzangu? Naimani mmeianza weekend vyema,
Nduguzangu mie kunajambo ningependa kufahamishwa inakuaje hapa, nimepata kushuhudia baadhi ya vichaa/wagonjwa wa akili wakiwa wajawazito, sasa swali inakuwaje hapo. Hv kunamtu na akilizake anaweza kufanya mapenzi na vichaa/kichaa?? Au ni kitu gani huwa kinawapata?
Nawasilisha...
Nduguzangu mie kunajambo ningependa kufahamishwa inakuaje hapa, nimepata kushuhudia baadhi ya vichaa/wagonjwa wa akili wakiwa wajawazito, sasa swali inakuwaje hapo. Hv kunamtu na akilizake anaweza kufanya mapenzi na vichaa/kichaa?? Au ni kitu gani huwa kinawapata?
Nawasilisha...