Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,474
- 37,745
No.2 itoe ile siyo assist ni rebound.Wewe mzee hujui mpira.
Kibu
1. Kafunga goal
2. Kafanya assist kagere Kafunga
3. Kasababisha penati.
4. Isipokuwa ubora wa goalkeeper leo kibu angeondoka na moira.
5. Goalkeeper kaokoa michomo karibia 5 kutoka kwa Kibu.
Unataka mchezaji afanye nini ndio uridhike!?
UTOPOLO BANA.
Kibu Denis muda mfupi tu. Atenda chezea nje. Ni wachezaji wachache sana kama Kibu duniani.