uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,597
- 26,224
Dua la kuku bro!
Haina shida; Nina uhakika huwa wanakufa Vibaya sana, angerudi mmoja angekuhadithia, wanakufa na maumivu sana!
Dua la kuku bro!
Huna wakika au unadhani tu? Wana nchi wa Marikani wenyewe wanalalamika kuhusu hilo wewe unajiaminisha bure
Hapa Tanzania?Taleban wanafungua embassy yao lini?