Na wewe ukaamini hio Photoshop?Hakuna ndege nzima waliyoachiwa hata 1.Telabani wenyewe wanaupiga mwingi wameachiwa hawks na super power alishindwa....View attachment 1923105
Ni TOZO ama?
Tozo zote na kodi zote zinaingia humoNi TOZO ama?
Dua la kuku bro!Tumekusanya tozo 49bn hizi zitaenda moja kwa moja kwenye miradi ya maendeleo, Baada ya week 1:
1. Ubadhirifu wa 126bn, vigogo kisutu.
2. Waziri mkuu ang’aka 46bn zaliwa.
3. Mkandarasi kisutu kahujumu 270bn.
Sisi tunafanya tu Kazi kwa bidii, wacha watuibie, waibie Mama zetu kule Tandahimba, watoto wetu vyuoni, sie twawashtaki tu kwa Mungu.
Sasa mbona kunavuja? Hivi vituo vya afya tunavyoambiwa vya sh 250m vitajengwa kwa 200m zingine ndio hizo zinazotokaTozo zote na kodi zote zinaingia humo
Haya ni matatizo ya serikali
Kachukue kadi ya chamaHaya ni matatizo ya serikali
mtumishi wa kawaida tu naye anasukumiwa vxv8
na issue ya dar/Dodoma is also not looking good
Tubaki Dodoma au turudi dar
KP ni jiniaz!Ukiangalia kwa makini kibonzo cha Masoud kipanya unafikilia mengi, nikama kodi zote zinazo umiza wana nchi, hazitafaidi nchi hi paka pale watakapo ziba matundu yanao vujisha maji.
Wewe umeelewaje hili litakua na ukweli wowoteView attachment 1923090