yeto!Wacha nife tu.. Lakini humu ndani sitoki.
Mwenye nyumba pia anao original hivyo ndani ipo copyNawaza kwa sauti mkataba wa pango Prof atakuwa kajifungia nao. Kama ni hivyo inakuwaje?
Mchumi namba moja ameamua kutumia taaluma yake vizuri-kuishi bure.Ilikuwa kama utani,lkn sasa ni ukweli kuwa Prof Haruna Lipumba habanduki Ofisi za Chama Buguruni kwa woga wa "kupoteza" kiti chake.Sasa Prof analala na kuamka humo humo bila kutoka.Ndani ya jengo la ofisi hizo,vyumba vingi vya ofisi kwa sasa si ofisi tena bali ni vyumba vya kulala walinzi na mabaunsa wa kulimlinda Professeri.Mlangoni kufuri lukuki kama geti la magereza
Buguruni haaingiliki,ni mwendo wa mundu,shoka na mapanga ndani ya ofisi.Hali hii viongozi wa Mpito wa CUF wanasema wametoa taarifa polisi na hakuna hatua zinazochukuliwa.Ujio wa Maalim Seif,Wabunge na viongozi wa muda umeshindikana baada ya kupata taarifa kuwa ndani ya jengo hili kuna kambi ya "karate",kunfuu na judo ya vijana ambao ni "walinzi" wa jengo na Profesa ambao wanasubiri kwa hamu wale waliomuondoa Lipumba wasogee wapate cha moto.
Sasa ni tetesi,CUF ya kina Mtatiro imerudisha jengo kwa mmliki ambae nae ametoa siku kadhaa kutaka jengo lake na hivyo Lipumba kutakiwa kuhamisha "makao" yake na kwenda sehemu nyingine kutafuta ofisi.
Ama hakika hali ya Buguruni bado si shwari...Lipumba analala na kuamka,anaoga na kupauka bila kutoka nje ya uzio wa ofisi hizo.Kweli kila siku Afrika,ajabu jipya huzaliwa.
View attachment 409660
Tuuko sisi vijana wake tunayazoa, vita ni vita.in self contained au ndio mambo ya flying toilets a.k.a kwenye Rambo?
Komeo zimeongezwa kufuli ziko kumi hawezi kumeza funguo.Atakuwa kameza na funguo..
Uongo gani mkuu,,,,, vijana wa Lumumba bwaaanaMleta uzi unajiskia raha kuleta taarifa ya kizushi isiokua na ukweli wowote, ilimradi tujaze server tu.
Msiwadhalilishe wanawake, Hivi Mwanamke Nani ataishi na Msaliti Kama Lipumba, si sikumoja atampimpu ili apate pesa. Halafu hili la Kumwita Professor! Lipumba siku zote nilikuwa Nikimsikiliza najua hamuna! sawasawa na Yule Dokita Nanii, Hamuna, Ni Usanii tu!Ushawahi kumuona mke wa lipumba hata gazetini ?