Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,759
- 8,507
Masoud Kipanya kaishia Form 4
View attachment 1699729
TRA mtasubiri sana tumeamua mwendo wa mali kwa mali.
Masoud Kipanya kaishia Form 4
Wapigaji tu hao kinamama wamezoea kudanga. Pesa mbona ipo tu kibaoAcha tu Mkuu ,Jana nilienda gengeni ,kina mama wanalalamika wateja hakuna kabisa!
Wapigaji tu hao kinamama wamezoea kudanga. Pesa mbona ipo tu kibao
Kila MTU anajitahidi awe na biashara SASA sijui Nani atamuuzia mwenzie, kila MTU Hana hela matokeo yake chukua yeboyebo nipe kilo ya mchele.Acha tu Mkuu ,Jana nilienda gengeni ,kina mama wanalalamika wateja hakuna kabisa!
Umekuja kwa hasira na matusi juu? Niambie kama una tatizo lolote linalopelekea uwe na hasira kiasi hichi, nakuahidi nitakusaidia likiwa ndani ya uwezo wangu.Acha ujinga wewe si inflation Tu inayoweza pelekea barter trade system kuexist hata deflation ( uhaba WA pesa kwenye mzunguko ) unaweza kusababisha barter trade ambayo ndio Hali tuliyonayo Kwa sasa kutokana na sera mbovu za serikali kuharibu sekta binafsi na biashara , maana Kwa sasa pesa haipo kwenye mzunguko hivyo watu wanaresort into physical exchange of goods , na hii itasababisha pia kuexist Kwa black market kama ilivyotokea miaka ya 70 huko enzi za sera za kipuuzi za ujamaa
Una tatizo gani? Asubuhi ya jumamosi kua na hasira kiasi hichi siyo kawaida.Huna unalolijua we kiazi
Mzee kabla hizi pesa tunashika leo kumetokea transition for a long time na kurud hatua moja nyuma itachukua muda mrefu hapa nakubaliana na weweBob kwangu mimi hicho kibonzo kimebashiri tunapoelekea hakijamaanisha kwamba ndipo tulipo. Ndiyo maana nikasema hatujafika huko bado kuna stage ya basket money hata hatujaifikia bado.
Kabla ya pesa kuanza kutumiwa sasa hapa inategemea na eneo. Katika nchi za latini walikua wanatumia mawe ambayo yalikua yakichongwa na kutumiwa kama currency.
Katika maeneo mengine dhahabu ilitumika kama currency. Isipokua chumvi ndiyo ilikua currency yenye nguvu na iliyokubalika maeneo mengi.
So yeah bado nasema kwamba kama ulichoniandikia ni umekitoa darasani basi tuna tatizo.
Sure bro, huyu jamaa kakazania uongoAcha ujinga wewe si inflation Tu inayoweza pelekea barter trade system kuexist hata deflation ( uhaba WA pesa kwenye mzunguko ) unaweza kusababisha barter trade ambayo ndio Hali tuliyonayo Kwa sasa kutokana na sera mbovu za serikali kuharibu sekta binafsi na biashara , maana Kwa sasa pesa haipo kwenye mzunguko hivyo watu wanaresort into physical exchange of goods , na hii itasababisha pia kuexist Kwa black market kama ilivyotokea miaka ya 70 huko enzi za sera za kipuuzi za ujamaa
Nipe nyama ninyamaze
Laaaahasha !!! hiyo ndio yenyeweYa kitimoto itafaa...!!!?
Kwahiyo?Masoud Kipanya kaishia Form 4