Kibonzo cha hali halisi ya nchi na wananchi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
1622067232176.png
 
Inawezekana mwendazake aliamua kulishusha chini hilo sahani lililobebwa, akaliweka katikati ya wabebaji?

Waliobebwa wakashindwa kupambania waliyoyazoea, wakajikuta hotdogs zimeshavamiwa, kreti ziko tupu na gari inakimbiza wajawazito zahanati?

Kwamba mama ameshaipandisha sahani juu, anaanza kupanga wa chini ya sahani na wa juu ya sahani?

Ni maswali tu yaliyonijia.
 
Inawezekana mwendazake aliamua kulishusha chini hilo sahani lililobebwa, akaliweka katikati ya wabebaji?

Waliobebwa wakashindwa kupambania waliyoyazoea, wakajikuta hotdogs zimeshavamiwa, kreti ziko tupu na gari inakimbiza wajawazito zahanati?

Kwamba mama ameshaipandisha sahani juu, anaanza kupanga wa chini ya sahani na wa juu ya sahani?

Ni maswali tu yaliyonijia.
Mwedazake aliipandisha juu zaidi hasa octoba 2020
 
Inawezekana mwendazake aliamua kulishusha chini hilo sahani lililobebwa, akaliweka katikati ya wabebaji?

Waliobebwa wakashindwa kupambania waliyoyazoea, wakajikuta hotdogs zimeshavamiwa, kreti ziko tupu na gari inakimbiza wajawazito zahanati?

Kwamba mama ameshaipandisha sahani juu, anaanza kupanga wa chini ya sahani na wa juu ya sahani?

Ni maswali tu yaliyonijia.
Hakika kabisa.
 
Back
Top Bottom