impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,733
- 7,611
Hivi mrema ni mpinzani? si yeye na yule wa Zanzibar hamad Rashid ndio wamepewa vyeo kwa serikali ya ccmNi upotovu wa uelewa! Mara ngapi tumeona wapinzani wakisimama kwenye majukwaa ya Magufuli? Magufuli kateuwa wapinzani kwenye serikali yake. Hayo yote mchora vikaragosi hayaoni. Nachelea kusema ana maslahi kwenye ufisadi wa nchi.