Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,001
- 112,641
Nianze na fasili kwanza maana wengi wenu nyie 'millennials' hamjui lugha. Iwe Kiswahili au Kiingereza, hamko vizuri kivile. Ni wababaishaji tu.
Taashira maana yake ni ishara/ au dalili. Naamini mnajua maana ya ishara na dalili.
Sasa kuna jambo nimeliona ambalo ningependa kusikia maoni ya wengine kulihusu.
Hivi hapa bongo iPhone ni ishara ya hadhi [ya juu]? Nauliza hivyo kwa sababu nimeshapigwa sana mizinga ya 'Ngabu naomba niletee iPhone basi...hata kama ni iPhone 5 au iPhone SE'.
Kwa nini iPhone kwa sana na si Samsung, LG, Motorola, au zinginezo?
Taashira maana yake ni ishara/ au dalili. Naamini mnajua maana ya ishara na dalili.
Sasa kuna jambo nimeliona ambalo ningependa kusikia maoni ya wengine kulihusu.
Hivi hapa bongo iPhone ni ishara ya hadhi [ya juu]? Nauliza hivyo kwa sababu nimeshapigwa sana mizinga ya 'Ngabu naomba niletee iPhone basi...hata kama ni iPhone 5 au iPhone SE'.
Kwa nini iPhone kwa sana na si Samsung, LG, Motorola, au zinginezo?