BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Ndugu zanguni
kama mnijuavyo na walionizoea wanaoendelea kunizoea mi sipepesi macho wala sitaki kuwa
mnafiki pale ninapoona mtu mzima anapopewa chombo kama clouds fm na kuanza kukitumia vibaya bila kujua madhara yake na kushabikia upuuzi na ujinga bila kujua taabu zake na wala madhara yanaoenda kumtokea na zaidi kama si mbaya ni pale unapooambiwa mtu fulani kaewa kiasi fulani na taasisi ya hifadhi fulani ya jamii ili aishabikie kuhusu sheria zake fulani
dugu kibonde nimekuwa sipepesi macho pale unapokosea na hata hilo sijifichi na mungu anajua ..unaweza sema jf wanakutafuta sana sana lakini ukweli unabaki mdomo wako unaweza kuleta laana ama baraka kwenye nchi hii na sie tunaooona mbali tunakusaidia kukushtua ili usituletee laana kwenye nchi hii ....,kama yalivyotokea mauwaji ya kenya
sidhani imefika muda muafaka kushabikia na wewe kuongea kama msemaji wa nssf...kuhusu sheria mpya za hifadhi za jamii....nawiwa kusema hili kwamba kama mama yetu mzazi mungu ampe uhai kama yupo wakati anajifungua ungeongeza dk mbili tumboni nahisi angepata kifafa cha mimba....sisemi kwa ubaya ila matendo yako hapo clouds nahisi yalianzia tumboni kwa mama yetu na hamad mungu mkubwa akawahi kukutoa usimwondoe na mamayetu mzazi
kaka kibonde jua swala hili la hifadhi alikuhusu wewe mwenyewe linahusu wajukuu zako kama utabahatika kuwaona mungu akuepushe na magonjwa haya batilifu...ama wajukuu zako na vitukuu..unaposhabikia ujue swala hili litawaumza kila mmoja kwenye familia yako na ukoo wako watateseka na hii sheria na usiangalie vijimillion ulivyopewa kushabikia ambayo naa miin mpaka sasa asilimia 45 viko chooni ...ni wakati wa kuaonyesha watu mama yetu mzazi akufanya kosa kukuzaaa na sio wakati wa kila mtoto akisikiliza kipindi chenu anasema huyu jamaa ana akili kweli
mungu akupe ufahamu uweze kuona ya mbele badala ya nyuma
kama mnijuavyo na walionizoea wanaoendelea kunizoea mi sipepesi macho wala sitaki kuwa
mnafiki pale ninapoona mtu mzima anapopewa chombo kama clouds fm na kuanza kukitumia vibaya bila kujua madhara yake na kushabikia upuuzi na ujinga bila kujua taabu zake na wala madhara yanaoenda kumtokea na zaidi kama si mbaya ni pale unapooambiwa mtu fulani kaewa kiasi fulani na taasisi ya hifadhi fulani ya jamii ili aishabikie kuhusu sheria zake fulani
dugu kibonde nimekuwa sipepesi macho pale unapokosea na hata hilo sijifichi na mungu anajua ..unaweza sema jf wanakutafuta sana sana lakini ukweli unabaki mdomo wako unaweza kuleta laana ama baraka kwenye nchi hii na sie tunaooona mbali tunakusaidia kukushtua ili usituletee laana kwenye nchi hii ....,kama yalivyotokea mauwaji ya kenya
sidhani imefika muda muafaka kushabikia na wewe kuongea kama msemaji wa nssf...kuhusu sheria mpya za hifadhi za jamii....nawiwa kusema hili kwamba kama mama yetu mzazi mungu ampe uhai kama yupo wakati anajifungua ungeongeza dk mbili tumboni nahisi angepata kifafa cha mimba....sisemi kwa ubaya ila matendo yako hapo clouds nahisi yalianzia tumboni kwa mama yetu na hamad mungu mkubwa akawahi kukutoa usimwondoe na mamayetu mzazi
kaka kibonde jua swala hili la hifadhi alikuhusu wewe mwenyewe linahusu wajukuu zako kama utabahatika kuwaona mungu akuepushe na magonjwa haya batilifu...ama wajukuu zako na vitukuu..unaposhabikia ujue swala hili litawaumza kila mmoja kwenye familia yako na ukoo wako watateseka na hii sheria na usiangalie vijimillion ulivyopewa kushabikia ambayo naa miin mpaka sasa asilimia 45 viko chooni ...ni wakati wa kuaonyesha watu mama yetu mzazi akufanya kosa kukuzaaa na sio wakati wa kila mtoto akisikiliza kipindi chenu anasema huyu jamaa ana akili kweli
mungu akupe ufahamu uweze kuona ya mbele badala ya nyuma