Kibonde ungekaa tumboni mwa mamayetu dk 2 zaidi angepata kifafa cha mimba kwa kweli

Status
Not open for further replies.

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Ndugu zanguni
kama mnijuavyo na walionizoea wanaoendelea kunizoea mi sipepesi macho wala sitaki kuwa
mnafiki pale ninapoona mtu mzima anapopewa chombo kama clouds fm na kuanza kukitumia vibaya bila kujua madhara yake na kushabikia upuuzi na ujinga bila kujua taabu zake na wala madhara yanaoenda kumtokea na zaidi kama si mbaya ni pale unapooambiwa mtu fulani kaewa kiasi fulani na taasisi ya hifadhi fulani ya jamii ili aishabikie kuhusu sheria zake fulani

dugu kibonde nimekuwa sipepesi macho pale unapokosea na hata hilo sijifichi na mungu anajua ..unaweza sema jf wanakutafuta sana sana lakini ukweli unabaki mdomo wako unaweza kuleta laana ama baraka kwenye nchi hii na sie tunaooona mbali tunakusaidia kukushtua ili usituletee laana kwenye nchi hii ....,kama yalivyotokea mauwaji ya kenya

sidhani imefika muda muafaka kushabikia na wewe kuongea kama msemaji wa nssf...kuhusu sheria mpya za hifadhi za jamii....nawiwa kusema hili kwamba kama mama yetu mzazi mungu ampe uhai kama yupo wakati anajifungua ungeongeza dk mbili tumboni nahisi angepata kifafa cha mimba....sisemi kwa ubaya ila matendo yako hapo clouds nahisi yalianzia tumboni kwa mama yetu na hamad mungu mkubwa akawahi kukutoa usimwondoe na mamayetu mzazi

kaka kibonde jua swala hili la hifadhi alikuhusu wewe mwenyewe linahusu wajukuu zako kama utabahatika kuwaona mungu akuepushe na magonjwa haya batilifu...ama wajukuu zako na vitukuu..unaposhabikia ujue swala hili litawaumza kila mmoja kwenye familia yako na ukoo wako watateseka na hii sheria na usiangalie vijimillion ulivyopewa kushabikia ambayo naa miin mpaka sasa asilimia 45 viko chooni ...ni wakati wa kuaonyesha watu mama yetu mzazi akufanya kosa kukuzaaa na sio wakati wa kila mtoto akisikiliza kipindi chenu anasema huyu jamaa ana akili kweli

mungu akupe ufahamu uweze kuona ya mbele badala ya nyuma
 
Kasemaje naye huyu sijamsikia? unajua huyu jamaa anafikiri kupata sehemu kama aliyonayo ndo anaakili kuliko wengine wote, bahati mbaya tu kwamba nafasi hiyo huwa anaitumia vibaya, mimi nilishaachakumsikiliza kwani huwa nikimsikiliza naishia kumaliza siku yangu vibaya, anajifanya ni mchambuzi kumbe hakuna lolote, halafu mi sielwi maaadili haya ya uandishi wa habari maana siyo taaluma yangu, hivi kweli mwaandishi/mtangazaji anaruhusiwa kusoma habari za magazetini na kuzitolea hitimisho kama vile yeye ndo anajua hizo habari?
 
kibonde ni KIBONDE KWELI..... ukisikia akili ndogo kutawala kubwa ndio hii sasa.......

Guys give him a BREAK !! No one is dragged , chained and forced to tune into his slot ....

Apparently he is only giving his opinion, freedom of speech!!take it or leave it

Don't go listening to him and run here whinning and acting like a kid aliyekataliwa pipi

If u can't stand him you have a choice to listen to someone else! I for one don't tune into his program or buy Shigongo stuff either....

But again if there is a point you are trying to make try to discuss facts and not personalities...
 
Guys give him a BREAK !! No one is dragged , chained and forced to tune into his slot ....

Apparently he is only giving his opinion, freedom of speech!!take it or leave it

Don't go listening to him and run here whinning and acting like a kid aliyekataliwa pipi

If u can't stand him you have a choice to listen to someone else! I for one don't tune into his program or buy Shigongo stuff either....

But again if there is a point you are trying to make try to discuss facts and not personalities...

uhuru wa vyombo vya habari haumpi mtu uhuru wa kuongea kila anachojisikia hasa kama kinagusa interests za wengi na wanyonge... nanai kakwambia mtangazaji official anayerun kimpindi official huwa anatoa maoni katika kipindi?? kila anachokiongea kinaweza kuchukuliwa hatua kisheria kwani ni kitu official na hana uhuru wa kuita kile alichokitangaza kuwa ni opinion...NDIVYO SHERIA ZA UTANGAZAJI ZILIVYO mkuu
 
kama nakufuru mungu anajua but naongea ukweli.. kama nikizaa mtoto kama kibonde walhai nambadilisha na gunia la pumba wale nguruwe.. au nikiwa nimezaa watoto wa 3 nasema nina watoto 2 namluka kwenye idadi.
 
Naheshimu sana mchango wako, ila nimeshtushwa na kichwa cha habari.

Kichwa cha habari hii kimenivutia kuangalia nini umekiandika na maudhui yake. Napenda tu kukuambia kwamba kichwa cha habari hakiendani kabisa na uliyoandika na kama comment za huyo hazijakufurahisha ujue binadamu tuko tofauti na kila mmoja anakuwa na mtazamo wake ndio hali halisi ya demokrasia, vinginevyo toa hoja ya kushindana naye si matusi kama haya. Kinachoweza kutuunganisha wote ni pale makundi yote moja linapoibuka kuwa na wengi zaidi ndio washindi na kwa utaratibu wa demokrasia hakuna jinsi ni kukubaliana na wengi hadi dirisha lingine litakapofunguka kupata nafasi ya kutetea tunayotaka.

Matusi hayo ya kumtaja uzazi wa mama wa mtoa comment usizokubaliana nazo ambaye hausiki na maoni ya huyo unayemsema umeenda mbali mno na pengine umekiuka taratibu zinazotakiwa, labda dondoo ya kichwa hicho cha habari kingekuwa kwenye body ya habari kwangu lisingeniumiza zaidi.

Kichwa cha habari kwa hakika kimemtukana mama wa watu asiye na makosa na ni kosaa la jinai ambalo unapaswa kubeba mzigo, kwani tukishabikia mambo kama haya kushamiri hapa hayatatujenga ile tujenge ushindani wa hoja si matusi kama haya.

Kumbuka kichwa cha habari ndicho kinachobeba uzito wa habari nzima.
 
kama nakufuru mungu anajua but naongea ukweli.. kama nikizaa mtoto kama kibonde walhai nambadilisha na gunia la pumba wale nguruwe.. au nikiwa nimezaa watoto wa 3 nasema nina watoto 2 namluka kwenye idadi.

wewe ni maliyamungu do not say this aisee! unajilaani bana tatizo ni kwamba mtu hutegwa na maneno ya kinywa chake menyewe.
 
Last edited by a moderator:
ndugu mtoa mada nimekugongea like si kwasababu umenikosha bali kwasababu nimekosa mahali pa kusema thumb down.

kwanza mkuu kimsingi sana umenikwaza kama mama. lol! laiti ungejua gharama ya mtoto anakotoka usingesema hayo ulasema hivi ni kuulize swali sapozi kama mama yake siku anamzaa aliumia sana na pengine leo hii dada yake kibonde anasoma hii post afikiri ataumiaje? na je kwa kuwa wapo ambao wanajua jins mama yake alivyohangaika na mimba yake hadi kumzaa kisha akaja kukutana na tusi kama hili kweli ni fair????

je ama n kwakua alitoka kwa mama mbona usiseme angebaki kwenye korodanai za baba yake???? this is women abuse and insult.

mods toen hiki kitu hapa.
 
ndugu mtoa mada nimekugongea like si kwasababu umenikosha bali kwasababu nimekosa mahali pa kusema thumb down.

kwanza mkuu kimsingi sana umenikwaza kama mama. lol! laiti ungejua gharama ya mtoto anakotoka usingesema hayo ulasema hivi ni kuulize swali sapozi kama mama yake siku anamzaa aliumia sana na pengine leo hii dada yake kibonde anasoma hii post afikiri ataumiaje? na je kwa kuwa wapo ambao wanajua jins mama yake alivyohangaika na mimba yake hadi kumzaa kisha akaja kukutana na tusi kama hili kweli ni fair????

je ama n kwakua alitoka kwa mama mbona usiseme angebaki kwenye korodanai za baba yake???? this is women abuse and insult.

mods toen hiki kitu hapa.

Naheshimu sana mchango wako, ila nimeshtushwa na kichwa cha habari.

Kichwa cha habari hii kimenivutia kuangalia nini umekiandika na maudhui yake. Napenda tu kukuambia kwamba kichwa cha habari hakiendani kabisa na uliyoandika na kama comment za huyo hazijakufurahisha ujue binadamu tuko tofauti na kila mmoja anakuwa na mtazamo wake ndio hali halisi ya demokrasia, vinginevyo toa hoja ya kushindana naye si matusi kama haya. Kinachoweza kutuunganisha wote ni pale makundi yote moja linapoibuka kuwa na wengi zaidi ndio washindi na kwa utaratibu wa demokrasia hakuna jinsi ni kukubaliana na wengi hadi dirisha lingine litakapofunguka kupata nafasi ya kutetea tunayotaka.

Matusi hayo ya kumtaja uzazi wa mama wa mtoa comment usizokubaliana nazo ambaye hausiki na maoni ya huyo unayemsema umeenda mbali mno na pengine umekiuka taratibu zinazotakiwa, labda dondoo ya kichwa hicho cha habari kingekuwa kwenye body ya habari kwangu lisingeniumiza zaidi.

Kichwa cha habari kwa hakika kimemtukana mama wa watu asiye na makosa na ni kosaa la jinai ambalo unapaswa kubeba mzigo, kwani tukishabikia mambo kama haya kushamiri hapa hayatatujenga ile tujenge ushindani wa hoja si matusi kama haya.

Kumbuka kichwa cha habari ndicho kinachobeba uzito wa habari nzima.

Naungana nawe na kukuunga mkono kichwa cha habari hii ni matusi dhidi ya wazazi mama zetu, si jambo la kuvumilika hata kidogo, mimi pia nimeguswa na kukwazika sana na habari hii, kuna mbinu nyingi za kuwasilisha hoja lakini hii ya matusi si alama njema kwa jamii yetu ya kitanzania.
 
Naungana nawe na kukuunga mkono kichwa cha habari hii ni matusi dhidi ya wazazi mama zetu, si jambo la kuvumilika hata kidogo, mimi pia nimeguswa na kukwazika sana na habari hii, kuna mbinu nyingi za kuwasilisha hoja lakini hii ya matusi si alama njema kwa jamii yetu ya kitanzania.

afadhali kama umeliona hili na wewe. boinafsi niliposoma tu pale juu niliishia kureply kwa hasira sana. hivi sisi wanawake tutakuwa watu wa kutukanwa hadi lini??? jamani hivi kweli tuwazae lakn bado mtutukane??? kweli mbona matusi kama haya hamyaweki kwa wababa??

hivi kweli MOD wa siku umaridhika na matusi haya??? s kila mama anayepata kifafa cha mimba ni kwasababu atazaa mpumbavu na mshenzi kama huyu kibonde???

angebaki kwenye viuno vya baba yake angemfanyaje?? jamani acheni kutudhalilisha uzi huu utolewe hapa.
 
afadhali kama umeliona hili na wewe. boinafsi niliposoma tu pale juu niliishia kureply kwa hasira sana. hivi sisi wanawake tutakuwa watu wa kutukanwa hadi lini??? jamani hivi kweli tuwazae lakn bado mtutukane??? kweli mbona matusi kama haya hamyaweki kwa wababa??

hivi kweli MOD wa siku umaridhika na matusi haya??? s kila mama anayepata kifafa cha mimba ni kwasababu atazaa mpumbavu na mshenzi kama huyu kibonde???

angebaki kwenye viuno vya baba yake angemfanyaje?? jamani acheni kutudhalilisha uzi huu utolewe hapa.

Labda angebaki kwenye kiuno cha babaake,angemsumbua mzee angekuwa anatembea njiani anakatikakatika!
 
afadhali kama umeliona hili na wewe. boinafsi niliposoma tu pale juu niliishia kureply kwa hasira sana. hivi sisi wanawake tutakuwa watu wa kutukanwa hadi lini??? jamani hivi kweli tuwazae lakn bado mtutukane??? kweli mbona matusi kama haya hamyaweki kwa wababa??

hivi kweli MOD wa siku umaridhika na matusi haya??? s kila mama anayepata kifafa cha mimba ni kwasababu atazaa mpumbavu na mshenzi kama huyu kibonde???

angebaki kwenye viuno vya baba yake angemfanyaje?? jamani acheni kutudhalilisha uzi huu utolewe hapa.



naunga mkono ila nae K kazidi!!
 
pole mbeijing,,,,kesho MGOMO UPO????

waalim tz tupo takribn 185000 ni jeshi kubwa sana na tunasilaha zote tumechoka kunyonywa nakuoneewa na serikali toka nchi hii ianze so kwa sasa hivi tunataka mapinduzi. KESHO NI MGOMO NA MIMI NI MIONNGONI MWAO WALA SIHOFII KUFUKUZWA KAZI VYETI NINAVYO BNITATAFUTA PENGINE.

Bajabri leo nilikuwa naongea na mtu nikamwambia aisee naweza kuwa mwl sehem yeyote dunian ila wazir ama DEO hawez kuwa sehem nyingine zaid ya hapa tanzania tu so wasitutishe aisee. ukinikosa wiki ijayo humu jamvini ungana na wenzio kwenda mambwepande kunisaka aisee.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom