Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,136
Sijawahi kumtukana mtu na sitomtukana mtu na hapa naomba nieleweni
ndugu wapendwa mliosikiliza majuzi radio clouds ni tatizo tu gari zetu za siku hizi zinaishia na 90 ..else tungekuwa tunasikiliza wapo radio utamu wa yesu kwa kwenda mbele....
Sijui kama kuna binadamu wamezaliwa na mamba ama kenge humu dunian wana bailojia wanaweza kutusaidiazaidi..nasema hivi nikimaanisha huyu bwana alivyokuwa akitukana kama hana mzazi kama amezaliwa na kenge..m nafuga kenge wakubwa kwa kweli ukiona akili zaoawana tofauti na kibonde kabisa
kijana kaama mnavyojua akaanza kuelezea yalioongelewa na mhe mstaafu mattaka akaanza kama alivyoeleza na baada ya hapo akaanza kupaka watu wanakula ovyo mara lile mara hili...mara akanza kutukana wafanyakazi wa atcl..sikatai kweli kina mtu ana matatizo yake lakini alipofika sehemu akadai nanukuu na kama wanarecord kibonde niko radhi utuwekee hapa jamvini wasikilize upumbavu wako nilijua akili zako kumbe ziko kama za kenge
kibonde alienda mbali aliposema unajua kuna wazee wamekaa pale miaka kama 30 mingine 40 awataki kabisa kufikiria kutoka hata sikumoja na mbaya zaidi utashangaa ukiwauliza kitu unajua sisis tumekaa miaka zaidi ya 30 atujawahi kuona wizi wa ajabu kama huu unaoendelea sasaa""mamayo zao""akashtuka mwenzake akawahi kuleta kichekesho alichofanya akasahau topic ya atc na kuingia nyingine.
Baadae akarudi na kusema unajua wale mizee ndio imefikisha hapa ilipo shiriika...aliponimaliza ni pale aliposema unajua kuna mashirika yamerudi sawa na ynaendelea poa baada ya kufanyiwa transsion period..nakwambia kama bima ..nasema hivi nikimaanisha mama yangu alikuwa anafanya pale na huyu mh awetu david mattaka...nikasema kumbe katumwa akaanza kusifia nic.
Lakini pasipo kujua upumbavu wake akujua nic ilibiwa sana na ikamalizwa kabisa na pesa zilizotumika kurudisha nic ni za kodi za babake na mamake akiwemo yeye binafsi na kuishia kungangania ati serikali imeshindwa nini kutoa billion 50 kwa atcl kama wanaleta ndege moja kwa billion 50...labda kwa ufahamu wake ulivyo mdogo akujua hata watoto kila mtu anazaliwa kwa njia zake wengine kwa operation wengine kwa sehemu za kawaida....niliomba mada moja mkurugenzi wa cluods awapeleke awa wafanyakazi shule hata za jion wapate maarifa kidogo.
Kwa kweli kuna abaadhi wameanza kwenda evening claass open na hata maneno yao yamebadilika shule inakufunza ndugu zanguni..sijui kwa upande wake kibonde lakini naamini ipo siku hata akifika 50 atakumbuka wazo langu....
Nimefika niwaulize wapendwa huyu bwana ana jua maadili ya taaluma ama ndio alikremishwa kuchukua cheti cha uandishi wa habari na kwa sababu mamake alifanya bima mzee wetu kusaga nae alifanya bima basi wakasaidiana mwingize mwanangu msadie mwanangu mate wangu wa kazini na sasa imefika cluodsss fm redio ya wahuni na sio tena ya kusikiliza watu wenye hekima zao ama heshima zao....
Kibonde najua utakuwa ipo siku utarudi kuomba radhi hawa wazee wa atcl unaowatukana nadhan wengi ni sawa na mamako mzazi aliekusaidia kupata kazi hapo clouds..so si mbaya ukaheshimu wazazi wako aiajalishi umepewa shillingi ngapi kuchafua heshima za watu
Ukikuwa utaacha.
ndugu wapendwa mliosikiliza majuzi radio clouds ni tatizo tu gari zetu za siku hizi zinaishia na 90 ..else tungekuwa tunasikiliza wapo radio utamu wa yesu kwa kwenda mbele....
Sijui kama kuna binadamu wamezaliwa na mamba ama kenge humu dunian wana bailojia wanaweza kutusaidiazaidi..nasema hivi nikimaanisha huyu bwana alivyokuwa akitukana kama hana mzazi kama amezaliwa na kenge..m nafuga kenge wakubwa kwa kweli ukiona akili zaoawana tofauti na kibonde kabisa
kijana kaama mnavyojua akaanza kuelezea yalioongelewa na mhe mstaafu mattaka akaanza kama alivyoeleza na baada ya hapo akaanza kupaka watu wanakula ovyo mara lile mara hili...mara akanza kutukana wafanyakazi wa atcl..sikatai kweli kina mtu ana matatizo yake lakini alipofika sehemu akadai nanukuu na kama wanarecord kibonde niko radhi utuwekee hapa jamvini wasikilize upumbavu wako nilijua akili zako kumbe ziko kama za kenge
kibonde alienda mbali aliposema unajua kuna wazee wamekaa pale miaka kama 30 mingine 40 awataki kabisa kufikiria kutoka hata sikumoja na mbaya zaidi utashangaa ukiwauliza kitu unajua sisis tumekaa miaka zaidi ya 30 atujawahi kuona wizi wa ajabu kama huu unaoendelea sasaa""mamayo zao""akashtuka mwenzake akawahi kuleta kichekesho alichofanya akasahau topic ya atc na kuingia nyingine.
Baadae akarudi na kusema unajua wale mizee ndio imefikisha hapa ilipo shiriika...aliponimaliza ni pale aliposema unajua kuna mashirika yamerudi sawa na ynaendelea poa baada ya kufanyiwa transsion period..nakwambia kama bima ..nasema hivi nikimaanisha mama yangu alikuwa anafanya pale na huyu mh awetu david mattaka...nikasema kumbe katumwa akaanza kusifia nic.
Lakini pasipo kujua upumbavu wake akujua nic ilibiwa sana na ikamalizwa kabisa na pesa zilizotumika kurudisha nic ni za kodi za babake na mamake akiwemo yeye binafsi na kuishia kungangania ati serikali imeshindwa nini kutoa billion 50 kwa atcl kama wanaleta ndege moja kwa billion 50...labda kwa ufahamu wake ulivyo mdogo akujua hata watoto kila mtu anazaliwa kwa njia zake wengine kwa operation wengine kwa sehemu za kawaida....niliomba mada moja mkurugenzi wa cluods awapeleke awa wafanyakazi shule hata za jion wapate maarifa kidogo.
Kwa kweli kuna abaadhi wameanza kwenda evening claass open na hata maneno yao yamebadilika shule inakufunza ndugu zanguni..sijui kwa upande wake kibonde lakini naamini ipo siku hata akifika 50 atakumbuka wazo langu....
Nimefika niwaulize wapendwa huyu bwana ana jua maadili ya taaluma ama ndio alikremishwa kuchukua cheti cha uandishi wa habari na kwa sababu mamake alifanya bima mzee wetu kusaga nae alifanya bima basi wakasaidiana mwingize mwanangu msadie mwanangu mate wangu wa kazini na sasa imefika cluodsss fm redio ya wahuni na sio tena ya kusikiliza watu wenye hekima zao ama heshima zao....
Kibonde najua utakuwa ipo siku utarudi kuomba radhi hawa wazee wa atcl unaowatukana nadhan wengi ni sawa na mamako mzazi aliekusaidia kupata kazi hapo clouds..so si mbaya ukaheshimu wazazi wako aiajalishi umepewa shillingi ngapi kuchafua heshima za watu
Ukikuwa utaacha.