KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
Watz tukubali kifo sio adhabu kila kiumbe hai kitavuta hata KIBONDE hakuna atakayeishi milele huyo ndugu yake kibonde kulikuwa hakuna haja ya kujaza serva hapa kwa misiba kama ya huyu mapengo.
Hizi nyuzi za Kibonde huwa anaanzisha mwenyewe nini !?
huyu dr alianza kubania safari za india unategemea serikali impende?
Kibonde ni Basin or ValleyJamani hivi kibonde ndio nini. Sijailewa kabisa.
Sasa ndipo ataweza kutofautisha umuhimu wa kada ya afya na kule kubwabwaja kwake, amekuwa mfuasi wa serikali ya magamba kwa muda mrefu
Sasa ndipo ataweza kutofautisha umuhimu wa kada ya afya na kule kubwabwaja kwake, amekuwa mfuasi wa serikali ya magamba kwa muda mrefu
jamani mbona hamtujibu?huyu kibonde ndio nani? mbone hata mimi sijui kama kuna kibonde?
jamani mbona hamtujibu?huyu kibonde ndio nani? mbone hata mimi sijui kama kuna kibonde?