Kibomba cha maji ndiye adui mpya wa mahusiano yetu

eity 4

Senior Member
Dec 7, 2014
146
205
Kuna kale kadude tunakwenda chooni kwa ajili ya kuchambia, au kuogea kwa Dada zetu wanaotia dawa nywele au walioshona mawigi wenyewe wanakaita shower.Haka kadude wake na mademu zetu wamegeuza ndio Michelob mipya.
Kuna jamaa yangu juzi kamfuma mke wake akijihudumia kwa kutumika haka kadude, jamaa aliita Mara Saba mke wake wala hata hakuitika si ndiyo jamaa kagungua mlango wa bafu! Kakuta mama kajitanua kwenye jakuzi yupo bize na hako kajamaa.


 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom