BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,196
- 1,338
binduki ni zao polisi wamewabambikia tu hilo tukio lemejaa sitofahamu yafaa lichunguzwe kwa undani zaidi
MAMBO HAYO WAYAFANYE KUKUFURAHSHA WEWE NA WAPUMBAVU WENZIO ILI IWEJE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
binduki ni zao polisi wamewabambikia tu hilo tukio lemejaa sitofahamu yafaa lichunguzwe kwa undani zaidi
hapo bado Tu unaulizia evidence kweli!!?Aiseee kumbe hawana evidence kamili bdo wanahisi tu,,,,
Aseeee ngoja wao zamu yao leo sasa
Mkuu wewe una lako jambo rohoni, ulitaka usike askari polisi wameuwawa ushangilie na kuwakebehi hawana utaalamu. Matukio mangapi ya ujambazi hapa mjini mchana kweupe tunaona majambazi wanauwawa na polisi hakuna anayejeruhiwa? Unataka waelezee kila lkilichofanyika wavujishe siri? Pengine askari walitega mtego wa kuwavizia baada ya kupewa taarifa na raia wema? Wakisema ukweli si kuna watu watasakwa na wahalifu waliobakia?jwtz komandoo wasingewaua wangewateka kininja live na kuwanyang'anya silaha kisha wahojiwe vizuri Ukweli ujulikane, nina imani hapo walienda Asikari waoga na watakuwa waliwakata hai wakaamua kuwaua wenyewe kisha wamezuga kuwa ni mapambano ya nusu saa bila kuongezeka dk kwa kweli kuna Sinema hapo hilo tukio ni la kutengeneza yapaswa lichunguzwe kwa undani zaidi.
Tunajua mlitegemea kusikia kuwa polisi au Raia wameuwa ndio muamini lakini siku baba au mama yako wakilabwa risasi na kumwagwa ubongo ndio utaamini
Sasa wewe nyumbu unataka polisi wakuite wapi ili wakuonyeshe hiyo miili?Ng'ombe wew jua kuwa kuna wengine Polisi ni watoto wetu.
Mpuuzi kabisa wewe Mbweha
Hakuna mtu anayewatetea.Kumbuka kuwa hairuhusiwi kwa RAIA kutembea usiku kwa maeneo hayo. Hawa walikuwa wanatembea usiku tena kama kikundi halafu wakiwa na silaha! Bado mnawatetea!
Wewe ndiyo mpumbavu kwenda kuua raia wema kisha kuwahadaa watanzaniaMAMBO HAYO WAYAFANYE KUKUFURAHSHA WEWE NA WAPUMBAVU WENZIO ILI IWEJE?
Mbona huzungumzii bunduki walizokua Nazo.... anyway bunduki kwako ni kama mswakii ndo mana unatafuta hatiaKama habari hii ni kweli lipo tatizo
Kudhania tu hakumfanyi mtu kuwa na hatia na adhabu!
Ile ni raia hasa waandishi wa habari ndio walisambaza hizo picha. Inabidi sheria kama ya Uingereza ifanye kazi hapa Bongo.Na jeshi letu lijifunze kusitiri miili ya askari wake pindi wanapopatwa na maafa kama wanavyofanya kwa majambazi kwamba miili yao haionyeshwi ovyo ovyo, nilisikitika jinsi picha za askari zilivyosambaa wakigalagazwa kwenye pick up nyuma
Kwa mantiki gani?Mbona huzungumzii bunduki walizokua Nazo.... anyway bunduki kwako ni kama mswakii ndo mana unatafuta hatia
kule mwanza Rais magufuli alisema polisi watumie mbinu za medani kuwanyang'anya silaha majambazi, kumbuka kipindi cha Zombe polisi waliwaua wafanya biashara wakasingizia ni majambaziMkuu wewe una lako jambo rohoni, ulitaka usike askari polisi wameuwawa ushangilie na kuwakebehi hawana utaalamu. Matukio mangapi ya ujambazi hapa mjini mchana kweupe tunaona majambazi wanauwawa na polisi hakuna anayejeruhiwa? Unataka waelezee kila lkilichofanyika wavujishe siri? Pengine askari walitega mtego wa kuwavizia baada ya kupewa taarifa na raia wema? Wakisema ukweli si kuna watu watasakwa na wahalifu waliobakia?
how far are we sure kweli kulikuwa na majibizano ama so jamaa walikuwa na silaha!!hizi nyimbo majibishano ya polisi tumeshashuhudia watu wengi sana wasio na hatia kwa kutumia hii swaga!!cha ajabu ktk hayo majibizano yao hakunaga hta askari utakayesikia kalengwa hata kidole!!!mh watu wangu wanateketea kwa kukosa maarifaTumia common sense kama wewe ndio polisi na mtu unamwambia asimame anakujibu kwa risasi.
Ungemchukulia kama raia mwema??