Kibiti: Polisi inapoamua ku 'balance' matukio kwa kukamata viongozi wa CUF.

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,272
47,268
MWENYEKITI WA KITONGOJI WA (CUF) APIGWA RISASI NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA.

Jana usiku Katika Oparesheni ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama, wamempiga Risasi Mwenyekiti wa Kitongoji wa CUF pamoja na raia mwingine, huko Nyamisati, Kibiti.
Mwenyekiti huyo ni Moshi Sefu Machela na ni mwanachama. Na baada ya kumpiga risasi vyombo hivyo vya ulinzi vilimkokota na kuelekea naye kusikojulikana na hali yake haijulikani.
Kinachotokea Rufiji/Mkuranga/Kibiti hivi sasa ni Dola kwenda kulipiza kisasi kwa raia wasio na hatia ( hususani Viongozi wa CUF) ili kufuraisha na kutuliza nafsi za ndugu jamaa na marafiki wa raia waliouawa ambao wengi wao walikuwa viongozi wa CCM.
Hadi sasa viongozi zaidi ya (20) wa CUF wameshakamatwa bila sababu, wanateswa na kisha kiachiwa bila kufunguliwa mashtaka. This is very bad and shameful indeed.
Unapotaka kuwafutalia JANJAWEED wanaowaua viongozi wa CCM kwa kuwatesa viongozi wa CUF unajenga visasi huko mkoani Pwani. Sijui nani anavifundisha vyombo vyetu kuwa mbinu yao hii ya kikatili na ya kuumiza watu wasio na hatia itakuwa na tija.
I am so worried kuwa taifa letu linaelekea mahali kusiko salama.
Julius S. Mtatiro
09/06/2017
 
MWENYEKITI WA KITONGOJI WA (CUF) APIGWA RISASI NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA.

Jana usiku Katika Oparesheni ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama, wamempiga Risasi Mwenyekiti wa Kitongoji wa CUF pamoja na raia mwingine, huko Nyamisati, Kibiti.
Mwenyekiti huyo ni Moshi Sefu Machela na ni mwanachama. Na baada ya kumpiga risasi vyombo hivyo vya ulinzi vilimkokota na kuelekea naye kusikojulikana na hali yake haijulikani.
Kinachotokea Rufiji/Mkuranga/Kibiti hivi sasa ni Dola kwenda kulipiza kisasi kwa raia wasio na hatia ( hususani Viongozi wa CUF) ili kufuraisha na kutuliza nafsi za ndugu jamaa na marafiki wa raia waliouawa ambao wengi wao walikuwa viongozi wa CCM.
Hadi sasa viongozi zaidi ya (20) wa CUF wameshakamatwa bila sababu, wanateswa na kisha kiachiwa bila kufunguliwa mashtaka. This is very bad and shameful indeed.
Unapotaka kuwafutalia JANJAWEED wanaowaua viongozi wa CCM kwa kuwatesa viongozi wa CUF unajenga visasi huko mkoani Pwani. Sijui nani anavifundisha vyombo vyetu kuwa mbinu yao hii ya kikatili na ya kuumiza watu wasio na hatia itakuwa na tija.
I am so worried kuwa taifa letu linaelekea mahali kusiko salama.
Julius S. Mtatiro
09/06/2017
mtatiro unacheza ngoma usiyoijua. hivi sasa wanakuona covinient kua na wewe lakini iko siku watakutwanga na wewe risasi. serikali ilizembea itikadi kali kuenezwa misikitini hadi mafunzo ya kivita sasa ndio tunavuna tulichopanda.
 
MWENYEKITI WA KITONGOJI WA (CUF) APIGWA RISASI NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA.

Jana usiku Katika Oparesheni ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama, wamempiga Risasi Mwenyekiti wa Kitongoji wa CUF pamoja na raia mwingine, huko Nyamisati, Kibiti.
Mwenyekiti huyo ni Moshi Sefu Machela na ni mwanachama. Na baada ya kumpiga risasi vyombo hivyo vya ulinzi vilimkokota na kuelekea naye kusikojulikana na hali yake haijulikani.
Kinachotokea Rufiji/Mkuranga/Kibiti hivi sasa ni Dola kwenda kulipiza kisasi kwa raia wasio na hatia ( hususani Viongozi wa CUF) ili kufuraisha na kutuliza nafsi za ndugu jamaa na marafiki wa raia waliouawa ambao wengi wao walikuwa viongozi wa CCM.
Hadi sasa viongozi zaidi ya (20) wa CUF wameshakamatwa bila sababu, wanateswa na kisha kiachiwa bila kufunguliwa mashtaka. This is very bad and shameful indeed.
Unapotaka kuwafutalia JANJAWEED wanaowaua viongozi wa CCM kwa kuwatesa viongozi wa CUF unajenga visasi huko mkoani Pwani. Sijui nani anavifundisha vyombo vyetu kuwa mbinu yao hii ya kikatili na ya kuumiza watu wasio na hatia itakuwa na tija.
I am so worried kuwa taifa letu linaelekea mahali kusiko salama.
Julius S. Mtatiro
09/06/2017
kuna haja ya kupeleka wale vijana wa kuvunja matofari kwa kichwa ,kwani hapa tulipofika hapana haikubariki hata!
 
mtatiro unacheza ngoma usiyoijua. hivi sasa wanakuona covinient kua na wewe lakini iko siku watakutwanga na wewe risasi. serikali ilizembea itikali kali kuenezwa misikitini hadi mafunzo ya kivita sasa ndio tunavuna tulichopanda.
Ni misikiti gani hiyo inayotoa mafunzo ya kivita, unaweza kulisaidia jeshi la polisi.
 
Mimi sii mtabiri, lakini pia sii vigumu kubashiri tukio lijalo!!!

Kuna kitu polisi watafanyiwa kiasi kwamba itawabidi wajiulize sababu ya kuendelea kuwa na vituo vyao huko.

Labda mnihakikishie kuwa zile bunduki za rashasha walizoporwa wameshazipata.
 
Huyu Mtatiro sidhani kama ni mkurya halisi. Ninavyowafahamu wakurya hawana asili ya majungu. Nakushauri mr Mtatiro muulizie mama yako akwambie baba yako halisi na ni kabila gani. Kisha ubadili hilo jina la MTATIRO. Kwani unawaaibisha wakurya

Kwani Mr Mtatiro unawafahamu wanachama wote wa cuf ya kwamba ni watu wema, hakuna mharifu hata mmoja ambae ni mwanachama wa cuf?
Wafikishwe mahakamani kama ni wahalifu,kwanini wakamatwe na kuteswa?
 
Huyu Mtatiro sidhani kama ni mkurya halisi. Ninavyowafahamu wakurya hawana asili ya majungu. Nakushauri mr Mtatiro muulizie mama yako akwambie baba yako halisi na ni kabila gani. Kisha ubadili hilo jina la MTATIRO. Kwani unawaaibisha wakurya

Kwani Mr Mtatiro unawafahamu wanachama wote wa cuf ya kwamba ni watu wema, hakuna mharifu hata mmoja ambae ni mwanachama wa cuf?
Yangekua kwa Chadema usinge kebei kwa kiwamgo hiki OK kwa kua hayana mmoja muda utaongea
 
32 Reactions
Reply
Back
Top Bottom