Mpaka sasa mmeshafanya kazi kubwa sana! Kesi za jinai huangalia Kanuni ya "Beyond reasonable doubt" na mpaka sasa meshatengeneza "doubts" kibao na hata Mh. Jaji anajua fika.
Mtafikiri Jaji hayupo na ninyi lakini ukweli ninamwona kabisa yupo na ninyi na mnafanya kazi kubwa sana.
Mwisho wa siku Jaji huyo ataishangaza Serikali na pia hata Mawakili wa Serikali ninaamini wanalijua hilo ila wanapigana kiume wasionekane hawataki kuitumikia nchi.
Mpaka sasa Jaji amejitahidi sana kuchukua ushahidi wote ili asiache kakitu. Angalia issue ya Diary - Jaji ndiye alikuwa kama ameisisitiza issue hiyo iangaliwe na kaiangalia kwa umakini sana - ninaamini kuna kitu kimeonekana humo.
Mpaka sasa hamna ushahidi wowote unaoweza kumshawishi mtu, hata asiye na elimu ya sheria,kuwa kuna ukweli wa makosa ya kigaidi yamefanyika humo.
Jaji anachofanya ni kuchukua kila kitu then atakuja kuchambua na kuamua against Serikali na haitaweza kukata hata rufaa.
Kibatala and Crew please endeleeni kuweka mapingamizi tena na tena. Hayo yanachangia sana kuleta "doubts" na hivyo mapingamizi hayo ndiyo yatawshindisha kesi - msichoke na kukata tamaa kuweka mapingamizi yana umuhimu sana sana.
Mwisho pamoja na kuwa mimi ni MCCM asili, ninaamini katika upendo na umoja - sifurahishwi kamwe na kesi hiyo mbaya kuwakumba wenzetu.
Ninaumia sana sana kwa mateso wanayopata hao ndugu zetu kwani Mungu awaongoze tu wao, familia zao, marafiki na hata jamii inayowakubali wasijenge chuki dhidi ya watesi wao, kwani maisha haya ni ya Mungu mwenyewe na kila nafsi itaonja mauti.
Mtafikiri Jaji hayupo na ninyi lakini ukweli ninamwona kabisa yupo na ninyi na mnafanya kazi kubwa sana.
Mwisho wa siku Jaji huyo ataishangaza Serikali na pia hata Mawakili wa Serikali ninaamini wanalijua hilo ila wanapigana kiume wasionekane hawataki kuitumikia nchi.
Mpaka sasa Jaji amejitahidi sana kuchukua ushahidi wote ili asiache kakitu. Angalia issue ya Diary - Jaji ndiye alikuwa kama ameisisitiza issue hiyo iangaliwe na kaiangalia kwa umakini sana - ninaamini kuna kitu kimeonekana humo.
Mpaka sasa hamna ushahidi wowote unaoweza kumshawishi mtu, hata asiye na elimu ya sheria,kuwa kuna ukweli wa makosa ya kigaidi yamefanyika humo.
Jaji anachofanya ni kuchukua kila kitu then atakuja kuchambua na kuamua against Serikali na haitaweza kukata hata rufaa.
Kibatala and Crew please endeleeni kuweka mapingamizi tena na tena. Hayo yanachangia sana kuleta "doubts" na hivyo mapingamizi hayo ndiyo yatawshindisha kesi - msichoke na kukata tamaa kuweka mapingamizi yana umuhimu sana sana.
Mwisho pamoja na kuwa mimi ni MCCM asili, ninaamini katika upendo na umoja - sifurahishwi kamwe na kesi hiyo mbaya kuwakumba wenzetu.
Ninaumia sana sana kwa mateso wanayopata hao ndugu zetu kwani Mungu awaongoze tu wao, familia zao, marafiki na hata jamii inayowakubali wasijenge chuki dhidi ya watesi wao, kwani maisha haya ni ya Mungu mwenyewe na kila nafsi itaonja mauti.