Kibatala amhoji Nusrat Shabani Hanje kesi ya Wabunge 19 wa CHADEMA

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,323
7,963
Kesi Halima Mdee vs CHADEMA imeendelea leo
November 4,2022 hapa mahakama kuu jijini Dar es Salaam
Mbele ya Jaji Cyprian Mkeha.

Jaji anaingia Mahakamani muda huu saa 10:10 Asubuhi hii!

Watu wote hapa Mahakamani tunasimama....!!

Karani wa mahakama:
Kesi namba 36/2022
Halima James Mdee na wenzake kumi na nane dhidi ya CHADEMA...

Mh Jaji:
Karibuni....
Na Tunaweza kuendelea!

Anasimama Wakili wa Serikali:
Mh Jaji naitwa
Leonia Maneno
Namwakilisha mjibu maombi wa pili nawa watatu

Na upande wa Waleta maombi wanawakilishwa na
Mawakili wasomi
Ipilinga Panya
Emanuel Ukashu
Aiko Mwamanenge

Na upande wa Wajibu maombi wa Kwanza anawakilishwa na Wakili Msomi
Peter Kibatala
Hekima Mwasipu
Deogratius Mahinyila

Wakili Panya:
Mh Jaji shauri hili limekuja mleta maombi namba kumi na tano kuhojiwa na upande wa Wajibu maombi wa Kwanza.. kama ilivyokuwa imetolewa hoja

Jaji:
Wakili Kibatala

Kibatala: na sisi Kwa upande wetu tupo tayari kuendelea

Shahidi Nusrat Hanje anapanda Kizimbani!!...

Jaji: Jina lako?

Shahidi: Naitwa Nusrat Shabani Hanje

Jaji: Umri wako?

Shahidi: Nina miaka 33

Jaji: Dini yako?

Shahidi: Muislamu

Jaji shahidi utaapishwa

Jaji: Shahidi utaweza kukaa

Jaji: Mr Kibatala karibu
Jaji: Shahidi upo vizuri

Shahidi: yes ila tatizo ni ufupi

Mahakama kicheko

Kibatala:
Shahidi wito wa kuitwa kikao Cha kamati KUU haujakufukia Kwa wakati?

Shahidi: ndio haukunifikia Kwa wakati

Kibatala: Kwa nn haukukufika Kwa wakati?

Shahidi:
Njia iliyotumika ya wasapt mm sijazoea

Kibatala: Wewe ulikuwa mjumbe wa wa kamati KUU?

Shahidi:ndio nilikuwa kiongozi wa Baraza la vijana

Kibatala: CHADEMA unayosema kuwa mwanachama wa unafahamu kuwa inatumia mawasiliano mbadala?

Shahidi:Ndio nafahamu E-Mail

Kibatala: wewe unafahamu kwenye E-Mail hufahamu njia nyingine?

Shahidi;
Ndio mawasiliano ya Wasapt sijawahi kuona ni njia rasmi ya viongozi kuwasiliana haswa taarifa sensitive kama hizo

Kibatala:
Wewe ulikuwa mjumbe wa kamati KUU ulishiriki kutunga hizo kanuni zinazotambua TEHAMA na ukasema hutambui Wasapt?

Shahidi: Mh jaji kuwa sitambui Waspat Ila kuwa kipindi chote nilikuwa sijawahi kuona njia hiyo ikitumika
Kibatala:Shida yako hapo ujazoea njia Waspat?

Shahidi:
Waspat sio njia inatumika na CHADEMA

Kibatala:Vyovyote itakavyokuwa hiyo barau ya wito wa November 25,2020 uliipata?

Shahidi;
Sikuipata Kwa njia rasmi ila nilipata Kwa njia ya mtandao

Jaji: Uliipata au hakuipata?

Shahidi: Nilipata

Kibatala: Ni sahii Kuwa wito huo ulisema unaitwa kamati KUU Kwa kanuni ya 6.5.1(D)

Shahidi: Mh jaji naomba nione

Shahidi
amepelekewa katiba ya CHADEMA

Shahidi: ndio hiyo

Kibatala: ukisoma 6.5.1.(D)
Kamati KUU imepewa mamlaka ya kushughulikia jambo Kwa dhararu?

Shahidi; mm najua 6.5.1 (a)

Jaji: Embu muaminiane swali halina mtego kabisa

Jaji: Mr Panya Embu msaidie shahidi naona haelewi

Panya: lalda itakuwa alichoulizwa na Kibatala toka mwanzo

Shahidi: Mh jaji hapo bado naomba

Jaji: Shahidi jibu swali au unawasiwasi na Katiba?

Kibatala anarudia swali kifungu hicho 6.5.1 kuwa Kamati KUU inaweza kushughulikia jambo Kwa dhararu

Shahid: ndio

Kibatala:Hapo awali nilikuuliza mambo ya TEHAMA nakuonyesha muongo wa CHADEMA maswala ya TEHAMA soma 3.2
Kibatala: Unafahamu kuwa wewe kama mleta maombi inatakiwa udhibitishe ulichokileta mahakamani kwenye kesi Hii?

Shahidi:.ndio nafahamu

Kibatala: Hiyi barua ya November 25 ulisema ilitoka kwa nani?

Shahidi:
Kwa katibu mkuu
JJ Mnyika

Kibatala:
Ambaye namba yake ya Siku umuiweka?

Shahidi: ofisi ya katibu mkuu mtu yoyote anaweza kutumia

Kibatala:
Kwenye kiapo chako Kuna sehemu ulisema kamati KUU haikivunja
Katiba ya CHADEMA

Shahidi:
Naomba nisome

Anapewa kiapo

Shahidi: Mh jaji kwenye Affidavit para ya 21 inasema (anasoma)

Mh jaji para 21 mpaka nakuja kuitwa kwenye kamati KUU nilikuwa mbunge tayari na hiyo kwenye sehemu E sehemu inataka viongozi washugulikiwe tofauti

Jaji embe uliza upya ilo swali
Kibatala; Kwa Hiyo kwako para ya 21 sehemu E ndio imebeba kukiukwa KATIBA ya CHADEMA?

Shahidi: ndio

Kibatala: Unafahamu Kuwa CHADEMA haijawahi kukuteua Kuwa mbunge?

Shahidi: Sifahamu
Naomba nisome Affidavit

Jaji; kwenye Kesi jinsi ilivyo Kuna sehemu inasema CHADEMA walikuteua Kuwa mbunge

Mahakama kicheko

Kibatala: Kuna sehemu uliandika kwenye kiapo chako Kuwa walikuteua?

Shahidi;
Hakuna sehemu walisema

Kibatala: Kwa Kuwa ndio jambo linalobishaniwa Unafahamu Kuwa unatakiwa kudhibitisha walikuteuaje?
Shahidi: hakuna
ndo Maana tupo hapa Mahakamani

Kibatala: kuna Mahali wanasema kuwa wewe ulikuwa unakingwa na kifungu hicho cha
E ?

Shahidi: hapana

Kibatala: katika hati Yako ya Kiapo umeleta ni Kuthibitisha kuwa umemaliza hatua zote za Ndani ya chama si ndiyo?

Shahidi: ndiyo

Kibatala: kwahiyo vitu ulivyovileta hapa Mahakamani ni Ili vitumike kuamua wewe kupata Haki Yako?

Shahidi: ndio

Kibatala: unafahamu mojawapo ya malengo ya kukuita wewe hapa ni Ili nikudodose Ili Mahakama ifahamu Ukweli Juu Yako na jambo hili?

Shahidi: ndio

Kibatala: nakupeleka kwenye Rufaa Yako Kwenye Mstari unaanza na Maneno kwahiyo:;

Shahidi anaasoma
Anasema Alikuwa Gerezani na hakupewa wito

Kibatala: kwa hiyo unaona Maelezo hayo yanafanana na Maelezo Yako ya Awali kuwa Ulipata?

Jaji: soma Upya

Kibatala: Hizo dhana Mbili zinaoana?

Shahidi: ni mimi niliona tu kwenye Mitandao narudia kusema

Kibatala: Mojawapo ya misingi mingine Mbele ya Mahakama hii ya Kesi Yako ni kuwa hata kwenye Baraza Kuu la Chama hukutendewa Haki

Shahidi: ni sahii

Kibatala: ni sahihi kuwa uliandika Rufaa kwenye Baraza Kuu uliandika Maelezo na Ukaanza kwa kusema wah Viongozi na wajumbe wote wa Baraza Kuu,

Kibatala: Ni sahihi kuwa ulipeleka Rufaa na ukaainisha sababu kadha wa kadha na Ukapeleka Mawasilisho ya kina ya kiwepo na vifungu vya katiba, na dhana za kisheria

Shahidi: ndio

Jaji: Shahidi jibu swali ( Jaji Anarudia swali la Kibatala)

Shahidi: ndio nimeandika mimi na Barua hizi ni za kunisapoti mimi kwenye kesi Yangu

Kibatala: unafahamu kuwa kuna namna Mbili za kusikilizwa? Kwa mdomo au kwa Maandishi?

Shahidi: ndo ilikuwa Hivyo

Kibatala: Na Haki hizo za kusikilizwa kwa kuitwa na kusikilizwa zimejengwa kwenye Misingi ya kikatiba au ni Fikra zako!

Shahidi: ndio lakini Ukiniita lazima unisikilize

Jaji: Nilivyomrekodi ni kuwa kwakuitwa alitegemea kupewa nyingeza ya kuongea

Jaji: Panya nisaidie

Shahidi: Mh jaji Katiba ya Chama Haiwezi ku-over rule Katiba ya Nchi

Panya: Shahidi swali lipo hivi...

Jaji : Jibu swali la

Kibatala: Je kuna Mahali kwenye Katiba ya CHADEMA hayo Maelezo kuwa ulipaswa kupewa Muda wa kujieleza zaidi ya hayo Maandishi?

Shahidi: hapana

Kibatala: Wajibu Maombi walileta hati ya Kiapo kinzani na Wakaleta minutes hapa, sasa iambie Mahakama hii kuwa Unazitambua au huzitambui?

Shahidi Anazipitia....Mh Jaji Hizi Minutes kuna Baadhi ya Vitu navitambua na vingine sivitambui

Kibatala: embu taja unayoyatambua
Shahidi: 9.2 ya Sequence ya matukio

Kibatala: hayo usiyoyatambua Sema vimekuwaje?
Anasoma Zimefikaje hapa?
Au Zimefojiwa?

Shahidi: sijui zimetoka wapi

Kibatala: kwenye Kiapo chako kuna mahali Ungesema kuwa Hizo minutes Zimefojiwa?

Shahidi:
mh jaji Kwenye Kiapo changu kuna Sehemu

Kibatala: kuna Mahali kwenye Kiapo chako kuna Mahali umesema kuwa Hujui kuwa hivyo vimetoka
wapi?

Shahidi: ndio

Kibatala: Umewahi kusikia Neno Afterthought?

Shahidi: hakuna
Kibatala: Umewahi kusikia Neno Afterthought?

Shahidi: ndio

Anapewa Maelezo ya CHADEMA yanayosema kuwa NUSRAT HANJE kuwa hakuwahi kushiriki Mchakato wa Ubunge

Kibatala: ndo hayo yanayosemwa unayakubalia au unayapinga? Kwenye Aya ya 6, je wewe unayapinga?

Shahidi: ndio

Kibatala: hayo Madai wewe umeyapinga au unayapinga kuwa Hukukamatwa na hukuwa Gerezani?

Jaji: mpatie Asome

Shahidi: niliyapinga kwenye Affidavit Yangu niliyojibu CHADEMA

Kibatala: Kwahiyo Para 6 ya Kiapo cha CHADEMA Imeipinga kwenye Kiapo chako kinzani kwenye Para 7?

Shahidi: Para ya 7 Anasoma

Jaji: Bado Muda mnao

Shahidi: Mh jaji Naomba Turudi kule tukajadili kwenye Chama tukamalize
Mahakama: kicheko
Kibatala: Unafahamu kama hujaverify Par yeyote inakuwa Useless?

Shahidi: ndio

Kibatala: Nisomee
Anasoma Para zote Isipokuwa 7 Ambayo haijawa Verified

Kibatala: Embu Nisomee Par 8 ya Affidavit Yako,

Kibatala: kwa Mujibu wa Kiapo chako ulichokileta Uliachiwa tarehe 23 Nov 2020 kinasema hivyo?

Shahidi: Ndiyo yakwangu, Anasoma

Kibatala: Sasa yale Uliyokuwa unasema unayapinga kuwa hukuwahi kuwa jela?

Shahidi: Mimi nimekataa vingine ila hicho cha kuwa Gerezani sijakataa

Shahidi: ndio

Kibatala: Ambayo Ina Maelezo ya kuwa Gerezani pia!

Shahidi: ndio

Kibatala: je Kwenye content Nzima ya para 6 Umeikataa?

Shahidi: ndio

Kibatala: Katika para 2 ya Kiapo chako umesema kuwa uliteuliwa na CHADEMA

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: CHADEMA wanasema hawajawahi kukuteua

Shahidi: Mh jaji Vyama vya siasa vinaua Ndoto za Vijana wengi sana kwenye nchi hii!

Kicheko: Mahakamani

Shahidi: Misheni yote ya kunitoa Gerezani ilifanywa na Mwenyekiti na Katibu Mkuu, wakaniletea Fomu jaza na hakuna shida yeyote!


🤣🤣🤣🤣
Kibatala: Shahidi unasema kuwa swala la kusema kuwa hawajakuteua siyo swala la Msingi?

Shahidi:
Ndio

Kibatala: Nimekuelewa kuwa Kwenye Kiapo chako pia Unataka Mahakama iseme kuwa Mwenendo wa Baraza Kuu kuwa haukufuata Utaratibu

Shahidi: Ni Mimi mwenyewe nashangaa ndo Maana nimekuja hapa Ili Mchakato ukarudiwe tusikilizwe

Shahidi: Ni kweli

Kibatala: umewahi kuchalenge popote vifungu vya katiba ya CHADEMA?

Shahidi: ndio

Kibatala: Toka unaingia kwenye CHADEMA ulikuta Katiba Inasema kuwa wajumbe wa Kamati Kuu ni wajumbe wa Baraza kuu

Shahidi: Hapana kwakuwa iko very Hamble
Kama Niya kubambikizwa hata mm naunga mkono waachiwe tuu maana hazina tija kwa upande wowote.
Ila Kama ni uhalifu halisi sheria za nchi zifuate mkondo wake.

Kibatala tala; nikweli kuwa Kazi Katibu Mkuu aliyofanya ni kutetea Uamuzi wa kamati Kuu Kwenye Baraza Kuu

Shahidi: Alienda mbali zaidi na kuchochoe wajumbe

Kibatala: Embu tusomee Par G, na F

Shahidi: F Baraza Kuu lilipokea Rufaa za warufani ...

Shahidi: G' Mwenyekiti Alitoa wasalisho la nmna alivyo waeleza warufani kutengeneza mahusiano Mazuri na wanachama
Kibatala: Katiba ya CHADEMA inaruhusu au kukataza Mjumbe wa kamati Kuu kuja kufanya wasilisho kutetea Uamuzi wa kamati Kuu Kwenye Baraza Kuu?

Shahidi: Sifahamu

NUSRAT: ni katazo
Kibatala: Sasa Naomba unisomee kwenye Katiba hii ni wapi hilo lipo

NUSRAT: Mh Katiba hii hakuna ila Naifahamu kwenye Katiba ya Nchi ndo inakataza aliyeshiriki kutoa uamuzi Kuja kutetea uamuzi wake kwenye chombo kingine

Kibatala: Unaweza kututajia Ibara Gani?

Shahidi: Kwa ni Mimi ni kosa

Kibatala: Mwendesha Mashtaka akikushitaki na Akaja kwenye mahakama kuja kwenye Mahakama kutetea swala lake ni kosa?

Kibatala: Unakubaliana na mimi kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA Siyo Mahakama? Au Unafahamu kuwa kuna tofauti kidogo?

Shahidi: Mh jaji mimi naona Walikuwa manguli hivyo Walikuwa wasingekubali kuwa pale

Shahidi: Nafahamu ila havitofautiani sana

Kibatala: sasa kwa Msingi Huo kuna tofauti Gani mtu Kuja kutetea uamuzi wake kuwa nilifanya sahihi?

Shahidi: Mh jaji mimi niliona nimenyimwa Haki kwakuwa nilikuwa nataka Haki

Kibatala: Hivi Ulitaka nani aje atetee Uamuzi wa Kamati Kuu kwenye Baraza Kuu? Mjumbe Kutoka singida?

Shahidi; Katibu mkuu alipaswa kwa nia Njema awakaimishe jukumu hilo ama Naibu Bara Au Zanzibar!

Kibatala: Ulitaka nani Aje atetee Uamuzi wa Kamati Kuu?
Hekima mwasipu: Fomu uliyojaza ya kuteuliwa kuwa Mbunge ilijazwa na hakima wa Dodoma au Dar?

Shahidi: sijui Katibu mkuu ndo anajua kuwa ilijazwa wapi mimi nilijaza toka July

Hekima mwasipu: Unafahamu kuwa Katika Mchakato wa Uteuzi Ofisi ya Spika inawasiliana na Chama cha Siasa?

Shahidi: sijui

Hekima mwasipu: Kati ya Tume ya Taifa unayosema umeteuliwa na Katibu mkuu wa CHADEMA anasema hajakuteua nani Unamwamini?

Shahidi: Nawaaamini wote
Hekima mwasipu: Mh Jaji Nimemaliza!

Jaji: Mr Kibatala

Kibatala: jaji hatu la Ziada!

Jaji: Panya

Panya: mh jaji tunomba Ahirisho fupi ili tupumzika kidogo kisha tukirejea tuendelee na Re-examination...

Jaji; Naahirisha mpaka saa nane 8 Kamili mchana!
 
Kesi Halima Mdee vs CHADEMA imeendelea leo
November 4,2022 hapa mahakama kuu jijini Dar es Salaam
Mbele ya Jaji Cyprian Mkeha.

Jaji anaingia Mahakamani muda huu saa 10:10 Asubuhi hii!

Watu wote hapa Mahakamani tunasimama....!!

Karani wa mahakama:
Kesi namba 36/2022
Halima James Mdee na wenzake kumi na nane dhidi ya CHADEMA...

Mh Jaji:
Karibuni....
Na Tunaweza kuendelea!

Anasimama Wakili wa Serikali:
Mh Jaji naitwa
Leonia Maneno
Namwakilisha mjibu maombi wa pili nawa watatu

Na upande wa Waleta maombi wanawakilishwa na
Mawakili wasomi
Ipilinga Panya
Emanuel Ukashu
Aiko Mwamanenge

Na upande wa Wajibu maombi wa Kwanza anawakilishwa na Wakili Msomi
Peter Kibatala
Hekima Mwasipu
Deogratius Mahinyila

Wakili Panya:
Mh Jaji shauri hili limekuja mleta maombi namba kumi na tano kuhojiwa na upande wa Wajibu maombi wa Kwanza.. kama ilivyokuwa imetolewa hoja

Jaji:
Wakili Kibatala

Kibatala: na sisi Kwa upande wetu tupo tayari kuendelea

Shahidi Nusrat Hanje anapanda Kizimbani!!...

Jaji: Jina lako?

Shahidi: Naitwa Nusrat Shabani Hanje

Jaji: Umri wako?

Shahidi: Nina miaka 33

Jaji: Dini yako?

Shahidi: Muislamu

Jaji shahidi utaapishwa

Jaji: Shahidi utaweza kukaa

Jaji: Mr Kibatala karibu
Jaji: Shahidi upo vizuri

Shahidi: yes ila tatizo ni ufupi

Mahakama kicheko

Kibatala:
Shahidi wito wa kuitwa kikao Cha kamati KUU haujakufukia Kwa wakati?

Shahidi: ndio haukunifikia Kwa wakati

Kibatala: Kwa nn haukukufika Kwa wakati?

Shahidi:
Njia iliyotumika ya wasapt mm sijazoea

Kibatala: Wewe ulikuwa mjumbe wa wa kamati KUU?

Shahidi:ndio nilikuwa kiongozi wa Baraza la vijana

Kibatala: CHADEMA unayosema kuwa mwanachama wa unafahamu kuwa inatumia mawasiliano mbadala?

Shahidi:Ndio nafahamu E-Mail

Kibatala: wewe unafahamu kwenye E-Mail hufahamu njia nyingine?

Shahidi;
Ndio mawasiliano ya Wasapt sijawahi kuona ni njia rasmi ya viongozi kuwasiliana haswa taarifa sensitive kama hizo

Kibatala:
Wewe ulikuwa mjumbe wa kamati KUU ulishiriki kutunga hizo kanuni zinazotambua TEHAMA na ukasema hutambui Wasapt?

Shahidi: Mh jaji kuwa sitambui Waspat Ila kuwa kipindi chote nilikuwa sijawahi kuona njia hiyo ikitumika
Kibatala:Shida yako hapo ujazoea njia Waspat?

Shahidi:
Waspat sio njia inatumika na CHADEMA

Kibatala:Vyovyote itakavyokuwa hiyo barau ya wito wa November 25,2020 uliipata?

Shahidi;
Sikuipata Kwa njia rasmi ila nilipata Kwa njia ya mtandao

Jaji: Uliipata au hakuipata?

Shahidi: Nilipata

Kibatala: Ni sahii Kuwa wito huo ulisema unaitwa kamati KUU Kwa kanuni ya 6.5.1(D)

Shahidi: Mh jaji naomba nione

Shahidi
amepelekewa katiba ya CHADEMA

Shahidi: ndio hiyo

Kibatala: ukisoma 6.5.1.(D)
Kamati KUU imepewa mamlaka ya kushughulikia jambo Kwa dhararu?

Shahidi; mm najua 6.5.1 (a)

Jaji: Embu muaminiane swali halina mtego kabisa

Jaji: Mr Panya Embu msaidie shahidi naona haelewi

Panya: lalda itakuwa alichoulizwa na Kibatala toka mwanzo

Shahidi: Mh jaji hapo bado naomba

Jaji: Shahidi jibu swali au unawasiwasi na Katiba?

Kibatala anarudia swali kifungu hicho 6.5.1 kuwa Kamati KUU inaweza kushughulikia jambo Kwa dhararu

Shahid: ndio

Kibatala:Hapo awali nilikuuliza mambo ya TEHAMA nakuonyesha muongo wa CHADEMA maswala ya TEHAMA soma 3.2
Kibatala: Unafahamu kuwa wewe kama mleta maombi inatakiwa udhibitishe ulichokileta mahakamani kwenye kesi Hii?

Shahidi:.ndio nafahamu

Kibatala: Hiyi barua ya November 25 ulisema ilitoka kwa nani?

Shahidi:
Kwa katibu mkuu
JJ Mnyika

Kibatala:
Ambaye namba yake ya Siku umuiweka?

Shahidi: ofisi ya katibu mkuu mtu yoyote anaweza kutumia

Kibatala:
Kwenye kiapo chako Kuna sehemu ulisema kamati KUU haikivunja
Katiba ya CHADEMA

Shahidi:
Naomba nisome

Anapewa kiapo

Shahidi: Mh jaji kwenye Affidavit para ya 21 inasema (anasoma)

Mh jaji para 21 mpaka nakuja kuitwa kwenye kamati KUU nilikuwa mbunge tayari na hiyo kwenye sehemu E sehemu inataka viongozi washugulikiwe tofauti

Jaji embe uliza upya ilo swali
Kibatala; Kwa Hiyo kwako para ya 21 sehemu E ndio imebeba kukiukwa KATIBA ya CHADEMA?

Shahidi: ndio

Kibatala: Unafahamu Kuwa CHADEMA haijawahi kukuteua Kuwa mbunge?

Shahidi: Sifahamu
Naomba nisome Affidavit

Jaji; kwenye Kesi jinsi ilivyo Kuna sehemu inasema CHADEMA walikuteua Kuwa mbunge

Mahakama kicheko

Kibatala: Kuna sehemu uliandika kwenye kiapo chako Kuwa walikuteua?

Shahidi;
Hakuna sehemu walisema

Kibatala: Kwa Kuwa ndio jambo linalobishaniwa Unafahamu Kuwa unatakiwa kudhibitisha walikuteuaje?
Shahidi: hakuna
ndo Maana tupo hapa Mahakamani

Kibatala: kuna Mahali wanasema kuwa wewe ulikuwa unakingwa na kifungu hicho cha
E ?

Shahidi: hapana

Kibatala: katika hati Yako ya Kiapo umeleta ni Kuthibitisha kuwa umemaliza hatua zote za Ndani ya chama si ndiyo?

Shahidi: ndiyo

Kibatala: kwahiyo vitu ulivyovileta hapa Mahakamani ni Ili vitumike kuamua wewe kupata Haki Yako?

Shahidi: ndio

Kibatala: unafahamu mojawapo ya malengo ya kukuita wewe hapa ni Ili nikudodose Ili Mahakama ifahamu Ukweli Juu Yako na jambo hili?

Shahidi: ndio

Kibatala: nakupeleka kwenye Rufaa Yako Kwenye Mstari unaanza na Maneno kwahiyo:;

Shahidi anaasoma
Anasema Alikuwa Gerezani na hakupewa wito

Kibatala: kwa hiyo unaona Maelezo hayo yanafanana na Maelezo Yako ya Awali kuwa Ulipata?

Jaji: soma Upya

Kibatala: Hizo dhana Mbili zinaoana?

Shahidi: ni mimi niliona tu kwenye Mitandao narudia kusema

Kibatala: Mojawapo ya misingi mingine Mbele ya Mahakama hii ya Kesi Yako ni kuwa hata kwenye Baraza Kuu la Chama hukutendewa Haki

Shahidi: ni sahii

Kibatala: ni sahihi kuwa uliandika Rufaa kwenye Baraza Kuu uliandika Maelezo na Ukaanza kwa kusema wah Viongozi na wajumbe wote wa Baraza Kuu,

Kibatala: Ni sahihi kuwa ulipeleka Rufaa na ukaainisha sababu kadha wa kadha na Ukapeleka Mawasilisho ya kina ya kiwepo na vifungu vya katiba, na dhana za kisheria

Shahidi: ndio

Jaji: Shahidi jibu swali ( Jaji Anarudia swali la Kibatala)

Shahidi: ndio nimeandika mimi na Barua hizi ni za kunisapoti mimi kwenye kesi Yangu

Kibatala: unafahamu kuwa kuna namna Mbili za kusikilizwa? Kwa mdomo au kwa Maandishi?

Shahidi: ndo ilikuwa Hivyo

Kibatala: Na Haki hizo za kusikilizwa kwa kuitwa na kusikilizwa zimejengwa kwenye Misingi ya kikatiba au ni Fikra zako!

Shahidi: ndio lakini Ukiniita lazima unisikilize

Jaji: Nilivyomrekodi ni kuwa kwakuitwa alitegemea kupewa nyingeza ya kuongea

Jaji: Panya nisaidie

Shahidi: Mh jaji Katiba ya Chama Haiwezi ku-over rule Katiba ya Nchi

Panya: Shahidi swali lipo hivi...

Jaji : Jibu swali la

Kibatala: Je kuna Mahali kwenye Katiba ya CHADEMA hayo Maelezo kuwa ulipaswa kupewa Muda wa kujieleza zaidi ya hayo Maandishi?

Shahidi: hapana

Kibatala: Wajibu Maombi walileta hati ya Kiapo kinzani na Wakaleta minutes hapa, sasa iambie Mahakama hii kuwa Unazitambua au huzitambui?

Shahidi Anazipitia....Mh Jaji Hizi Minutes kuna Baadhi ya Vitu navitambua na vingine sivitambui

Kibatala: embu taja unayoyatambua
Shahidi: 9.2 ya Sequence ya matukio

Kibatala: hayo usiyoyatambua Sema vimekuwaje?
Anasoma Zimefikaje hapa?
Au Zimefojiwa?

Shahidi: sijui zimetoka wapi

Kibatala: kwenye Kiapo chako kuna mahali Ungesema kuwa Hizo minutes Zimefojiwa?

Shahidi:
mh jaji Kwenye Kiapo changu kuna Sehemu

Kibatala: kuna Mahali kwenye Kiapo chako kuna Mahali umesema kuwa Hujui kuwa hivyo vimetoka
wapi?

Shahidi: ndio

Kibatala: Umewahi kusikia Neno Afterthought?

Shahidi: hakuna
Kibatala: Umewahi kusikia Neno Afterthought?

Shahidi: ndio

Anapewa Maelezo ya CHADEMA yanayosema kuwa NUSRAT HANJE kuwa hakuwahi kushiriki Mchakato wa Ubunge

Kibatala: ndo hayo yanayosemwa unayakubalia au unayapinga? Kwenye Aya ya 6, je wewe unayapinga?

Shahidi: ndio

Kibatala: hayo Madai wewe umeyapinga au unayapinga kuwa Hukukamatwa na hukuwa Gerezani?

Jaji: mpatie Asome

Shahidi: niliyapinga kwenye Affidavit Yangu niliyojibu CHADEMA

Kibatala: Kwahiyo Para 6 ya Kiapo cha CHADEMA Imeipinga kwenye Kiapo chako kinzani kwenye Para 7?

Shahidi: Para ya 7 Anasoma

Jaji: Bado Muda mnao

Shahidi: Mh jaji Naomba Turudi kule tukajadili kwenye Chama tukamalize
Mahakama: kicheko
Kibatala: Unafahamu kama hujaverify Par yeyote inakuwa Useless?

Shahidi: ndio

Kibatala: Nisomee
Anasoma Para zote Isipokuwa 7 Ambayo haijawa Verified

Kibatala: Embu Nisomee Par 8 ya Affidavit Yako,

Kibatala: kwa Mujibu wa Kiapo chako ulichokileta Uliachiwa tarehe 23 Nov 2020 kinasema hivyo?

Shahidi: Ndiyo yakwangu, Anasoma

Kibatala: Sasa yale Uliyokuwa unasema unayapinga kuwa hukuwahi kuwa jela?

Shahidi: Mimi nimekataa vingine ila hicho cha kuwa Gerezani sijakataa

Shahidi: ndio

Kibatala: Ambayo Ina Maelezo ya kuwa Gerezani pia!

Shahidi: ndio

Kibatala: je Kwenye content Nzima ya para 6 Umeikataa?

Shahidi: ndio

Kibatala: Katika para 2 ya Kiapo chako umesema kuwa uliteuliwa na CHADEMA

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: CHADEMA wanasema hawajawahi kukuteua

Shahidi: Mh jaji Vyama vya siasa vinaua Ndoto za Vijana wengi sana kwenye nchi hii!

Kicheko: Mahakamani

Shahidi: Misheni yote ya kunitoa Gerezani ilifanywa na Mwenyekiti na Katibu Mkuu, wakaniletea Fomu jaza na hakuna shida yeyote!


🤣🤣🤣🤣
Kibatala: Shahidi unasema kuwa swala la kusema kuwa hawajakuteua siyo swala la Msingi?

Shahidi:
Ndio

Kibatala: Nimekuelewa kuwa Kwenye Kiapo chako pia Unataka Mahakama iseme kuwa Mwenendo wa Baraza Kuu kuwa haukufuata Utaratibu

Shahidi: Ni Mimi mwenyewe nashangaa ndo Maana nimekuja hapa Ili Mchakato ukarudiwe tusikilizwe

Shahidi: Ni kweli

Kibatala: umewahi kuchalenge popote vifungu vya katiba ya CHADEMA?

Shahidi: ndio

Kibatala: Toka unaingia kwenye CHADEMA ulikuta Katiba Inasema kuwa wajumbe wa Kamati Kuu ni wajumbe wa Baraza kuu

Shahidi: Hapana kwakuwa iko very Hamble
Kama Niya kubambikizwa hata mm naunga mkono waachiwe tuu maana hazina tija kwa upande wowote.
Ila Kama ni uhalifu halisi sheria za nchi zifuate mkondo wake.

Kibatala tala; nikweli kuwa Kazi Katibu Mkuu aliyofanya ni kutetea Uamuzi wa kamati Kuu Kwenye Baraza Kuu

Shahidi: Alienda mbali zaidi na kuchochoe wajumbe

Kibatala: Embu tusomee Par G, na F

Shahidi: F Baraza Kuu lilipokea Rufaa za warufani ...

Shahidi: G' Mwenyekiti Alitoa wasalisho la nmna alivyo waeleza warufani kutengeneza mahusiano Mazuri na wanachama
Kibatala: Katiba ya CHADEMA inaruhusu au kukataza Mjumbe wa kamati Kuu kuja kufanya wasilisho kutetea Uamuzi wa kamati Kuu Kwenye Baraza Kuu?

Shahidi: Sifahamu

NUSRAT: ni katazo
Kibatala: Sasa Naomba unisomee kwenye Katiba hii ni wapi hilo lipo

NUSRAT: Mh Katiba hii hakuna ila Naifahamu kwenye Katiba ya Nchi ndo inakataza aliyeshiriki kutoa uamuzi Kuja kutetea uamuzi wake kwenye chombo kingine

Kibatala: Unaweza kututajia Ibara Gani?

Shahidi: Kwa ni Mimi ni kosa

Kibatala: Mwendesha Mashtaka akikushitaki na Akaja kwenye mahakama kuja kwenye Mahakama kutetea swala lake ni kosa?

Kibatala: Unakubaliana na mimi kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA Siyo Mahakama? Au Unafahamu kuwa kuna tofauti kidogo?

Shahidi: Mh jaji mimi naona Walikuwa manguli hivyo Walikuwa wasingekubali kuwa pale

Shahidi: Nafahamu ila havitofautiani sana

Kibatala: sasa kwa Msingi Huo kuna tofauti Gani mtu Kuja kutetea uamuzi wake kuwa nilifanya sahihi?

Shahidi: Mh jaji mimi niliona nimenyimwa Haki kwakuwa nilikuwa nataka Haki

Kibatala: Hivi Ulitaka nani aje atetee Uamuzi wa Kamati Kuu kwenye Baraza Kuu? Mjumbe Kutoka singida?

Shahidi; Katibu mkuu alipaswa kwa nia Njema awakaimishe jukumu hilo ama Naibu Bara Au Zanzibar!

Kibatala: Ulitaka nani Aje atetee Uamuzi wa Kamati Kuu?
Hekima mwasipu: Fomu uliyojaza ya kuteuliwa kuwa Mbunge ilijazwa na hakima wa Dodoma au Dar?

Shahidi: sijui Katibu mkuu ndo anajua kuwa ilijazwa wapi mimi nilijaza toka July

Hekima mwasipu: Unafahamu kuwa Katika Mchakato wa Uteuzi Ofisi ya Spika inawasiliana na Chama cha Siasa?

Shahidi: sijui

Hekima mwasipu: Kati ya Tume ya Taifa unayosema umeteuliwa na Katibu mkuu wa CHADEMA anasema hajakuteua nani Unamwamini?

Shahidi: Nawaaamini wote
Hekima mwasipu: Mh Jaji Nimemaliza!

Jaji: Mr Kibatala

Kibatala: jaji hatu la Ziada!

Jaji: Panya

Panya: mh jaji tunomba Ahirisho fupi ili tupumzika kidogo kisha tukirejea tuendelee na Re-examination...

Jaji; Naahirisha mpaka saa nane 8 Kamili mchana!
Kweli kuna wahenga walisema kila jambo lipe muda(muda huwa ni jibu sahihi kwa kila jambo)hakika mafuta na maji vimejitenga!
 
Kesi Halima Mdee vs CHADEMA imeendelea leo
November 4,2022 hapa mahakama kuu jijini Dar es Salaam
Mbele ya Jaji Cyprian Mkeha.

Jaji anaingia Mahakamani muda huu saa 10:10 Asubuhi hii!

Watu wote hapa Mahakamani tunasimama....!!

Karani wa mahakama:
Kesi namba 36/2022
Halima James Mdee na wenzake kumi na nane dhidi ya CHADEMA...

Mh Jaji:
Karibuni....
Na Tunaweza kuendelea!

Anasimama Wakili wa Serikali:
Mh Jaji naitwa
Leonia Maneno
Namwakilisha mjibu maombi wa pili nawa watatu

Na upande wa Waleta maombi wanawakilishwa na
Mawakili wasomi
Ipilinga Panya
Emanuel Ukashu
Aiko Mwamanenge

Na upande wa Wajibu maombi wa Kwanza anawakilishwa na Wakili Msomi
Peter Kibatala
Hekima Mwasipu
Deogratius Mahinyila

Wakili Panya:
Mh Jaji shauri hili limekuja mleta maombi namba kumi na tano kuhojiwa na upande wa Wajibu maombi wa Kwanza.. kama ilivyokuwa imetolewa hoja

Jaji:
Wakili Kibatala

Kibatala: na sisi Kwa upande wetu tupo tayari kuendelea

Shahidi Nusrat Hanje anapanda Kizimbani!!...

Jaji: Jina lako?

Shahidi: Naitwa Nusrat Shabani Hanje

Jaji: Umri wako?

Shahidi: Nina miaka 33

Jaji: Dini yako?

Shahidi: Muislamu

Jaji shahidi utaapishwa

Jaji: Shahidi utaweza kukaa

Jaji: Mr Kibatala karibu
Jaji: Shahidi upo vizuri

Shahidi: yes ila tatizo ni ufupi

Mahakama kicheko

Kibatala:
Shahidi wito wa kuitwa kikao Cha kamati KUU haujakufukia Kwa wakati?

Shahidi: ndio haukunifikia Kwa wakati

Kibatala: Kwa nn haukukufika Kwa wakati?

Shahidi:
Njia iliyotumika ya wasapt mm sijazoea

Kibatala: Wewe ulikuwa mjumbe wa wa kamati KUU?

Shahidi:ndio nilikuwa kiongozi wa Baraza la vijana

Kibatala: CHADEMA unayosema kuwa mwanachama wa unafahamu kuwa inatumia mawasiliano mbadala?

Shahidi:Ndio nafahamu E-Mail

Kibatala: wewe unafahamu kwenye E-Mail hufahamu njia nyingine?

Shahidi;
Ndio mawasiliano ya Wasapt sijawahi kuona ni njia rasmi ya viongozi kuwasiliana haswa taarifa sensitive kama hizo

Kibatala:
Wewe ulikuwa mjumbe wa kamati KUU ulishiriki kutunga hizo kanuni zinazotambua TEHAMA na ukasema hutambui Wasapt?

Shahidi: Mh jaji kuwa sitambui Waspat Ila kuwa kipindi chote nilikuwa sijawahi kuona njia hiyo ikitumika
Kibatala:Shida yako hapo ujazoea njia Waspat?

Shahidi:
Waspat sio njia inatumika na CHADEMA

Kibatala:Vyovyote itakavyokuwa hiyo barau ya wito wa November 25,2020 uliipata?

Shahidi;
Sikuipata Kwa njia rasmi ila nilipata Kwa njia ya mtandao

Jaji: Uliipata au hakuipata?

Shahidi: Nilipata

Kibatala: Ni sahii Kuwa wito huo ulisema unaitwa kamati KUU Kwa kanuni ya 6.5.1(D)

Shahidi: Mh jaji naomba nione

Shahidi
amepelekewa katiba ya CHADEMA

Shahidi: ndio hiyo

Kibatala: ukisoma 6.5.1.(D)
Kamati KUU imepewa mamlaka ya kushughulikia jambo Kwa dhararu?

Shahidi; mm najua 6.5.1 (a)

Jaji: Embu muaminiane swali halina mtego kabisa

Jaji: Mr Panya Embu msaidie shahidi naona haelewi

Panya: lalda itakuwa alichoulizwa na Kibatala toka mwanzo

Shahidi: Mh jaji hapo bado naomba

Jaji: Shahidi jibu swali au unawasiwasi na Katiba?

Kibatala anarudia swali kifungu hicho 6.5.1 kuwa Kamati KUU inaweza kushughulikia jambo Kwa dhararu

Shahid: ndio

Kibatala:Hapo awali nilikuuliza mambo ya TEHAMA nakuonyesha muongo wa CHADEMA maswala ya TEHAMA soma 3.2
Kibatala: Unafahamu kuwa wewe kama mleta maombi inatakiwa udhibitishe ulichokileta mahakamani kwenye kesi Hii?

Shahidi:.ndio nafahamu

Kibatala: Hiyi barua ya November 25 ulisema ilitoka kwa nani?

Shahidi:
Kwa katibu mkuu
JJ Mnyika

Kibatala:
Ambaye namba yake ya Siku umuiweka?

Shahidi: ofisi ya katibu mkuu mtu yoyote anaweza kutumia

Kibatala:
Kwenye kiapo chako Kuna sehemu ulisema kamati KUU haikivunja
Katiba ya CHADEMA

Shahidi:
Naomba nisome

Anapewa kiapo

Shahidi: Mh jaji kwenye Affidavit para ya 21 inasema (anasoma)

Mh jaji para 21 mpaka nakuja kuitwa kwenye kamati KUU nilikuwa mbunge tayari na hiyo kwenye sehemu E sehemu inataka viongozi washugulikiwe tofauti

Jaji embe uliza upya ilo swali
Kibatala; Kwa Hiyo kwako para ya 21 sehemu E ndio imebeba kukiukwa KATIBA ya CHADEMA?

Shahidi: ndio

Kibatala: Unafahamu Kuwa CHADEMA haijawahi kukuteua Kuwa mbunge?

Shahidi: Sifahamu
Naomba nisome Affidavit

Jaji; kwenye Kesi jinsi ilivyo Kuna sehemu inasema CHADEMA walikuteua Kuwa mbunge

Mahakama kicheko

Kibatala: Kuna sehemu uliandika kwenye kiapo chako Kuwa walikuteua?

Shahidi;
Hakuna sehemu walisema

Kibatala: Kwa Kuwa ndio jambo linalobishaniwa Unafahamu Kuwa unatakiwa kudhibitisha walikuteuaje?
Shahidi: hakuna
ndo Maana tupo hapa Mahakamani

Kibatala: kuna Mahali wanasema kuwa wewe ulikuwa unakingwa na kifungu hicho cha
E ?

Shahidi: hapana

Kibatala: katika hati Yako ya Kiapo umeleta ni Kuthibitisha kuwa umemaliza hatua zote za Ndani ya chama si ndiyo?

Shahidi: ndiyo

Kibatala: kwahiyo vitu ulivyovileta hapa Mahakamani ni Ili vitumike kuamua wewe kupata Haki Yako?

Shahidi: ndio

Kibatala: unafahamu mojawapo ya malengo ya kukuita wewe hapa ni Ili nikudodose Ili Mahakama ifahamu Ukweli Juu Yako na jambo hili?

Shahidi: ndio

Kibatala: nakupeleka kwenye Rufaa Yako Kwenye Mstari unaanza na Maneno kwahiyo:;

Shahidi anaasoma
Anasema Alikuwa Gerezani na hakupewa wito

Kibatala: kwa hiyo unaona Maelezo hayo yanafanana na Maelezo Yako ya Awali kuwa Ulipata?

Jaji: soma Upya

Kibatala: Hizo dhana Mbili zinaoana?

Shahidi: ni mimi niliona tu kwenye Mitandao narudia kusema

Kibatala: Mojawapo ya misingi mingine Mbele ya Mahakama hii ya Kesi Yako ni kuwa hata kwenye Baraza Kuu la Chama hukutendewa Haki

Shahidi: ni sahii

Kibatala: ni sahihi kuwa uliandika Rufaa kwenye Baraza Kuu uliandika Maelezo na Ukaanza kwa kusema wah Viongozi na wajumbe wote wa Baraza Kuu,

Kibatala: Ni sahihi kuwa ulipeleka Rufaa na ukaainisha sababu kadha wa kadha na Ukapeleka Mawasilisho ya kina ya kiwepo na vifungu vya katiba, na dhana za kisheria

Shahidi: ndio

Jaji: Shahidi jibu swali ( Jaji Anarudia swali la Kibatala)

Shahidi: ndio nimeandika mimi na Barua hizi ni za kunisapoti mimi kwenye kesi Yangu

Kibatala: unafahamu kuwa kuna namna Mbili za kusikilizwa? Kwa mdomo au kwa Maandishi?

Shahidi: ndo ilikuwa Hivyo

Kibatala: Na Haki hizo za kusikilizwa kwa kuitwa na kusikilizwa zimejengwa kwenye Misingi ya kikatiba au ni Fikra zako!

Shahidi: ndio lakini Ukiniita lazima unisikilize

Jaji: Nilivyomrekodi ni kuwa kwakuitwa alitegemea kupewa nyingeza ya kuongea

Jaji: Panya nisaidie

Shahidi: Mh jaji Katiba ya Chama Haiwezi ku-over rule Katiba ya Nchi

Panya: Shahidi swali lipo hivi...

Jaji : Jibu swali la

Kibatala: Je kuna Mahali kwenye Katiba ya CHADEMA hayo Maelezo kuwa ulipaswa kupewa Muda wa kujieleza zaidi ya hayo Maandishi?

Shahidi: hapana

Kibatala: Wajibu Maombi walileta hati ya Kiapo kinzani na Wakaleta minutes hapa, sasa iambie Mahakama hii kuwa Unazitambua au huzitambui?

Shahidi Anazipitia....Mh Jaji Hizi Minutes kuna Baadhi ya Vitu navitambua na vingine sivitambui

Kibatala: embu taja unayoyatambua
Shahidi: 9.2 ya Sequence ya matukio

Kibatala: hayo usiyoyatambua Sema vimekuwaje?
Anasoma Zimefikaje hapa?
Au Zimefojiwa?

Shahidi: sijui zimetoka wapi

Kibatala: kwenye Kiapo chako kuna mahali Ungesema kuwa Hizo minutes Zimefojiwa?

Shahidi:
mh jaji Kwenye Kiapo changu kuna Sehemu

Kibatala: kuna Mahali kwenye Kiapo chako kuna Mahali umesema kuwa Hujui kuwa hivyo vimetoka
wapi?

Shahidi: ndio

Kibatala: Umewahi kusikia Neno Afterthought?

Shahidi: hakuna
Kibatala: Umewahi kusikia Neno Afterthought?

Shahidi: ndio

Anapewa Maelezo ya CHADEMA yanayosema kuwa NUSRAT HANJE kuwa hakuwahi kushiriki Mchakato wa Ubunge

Kibatala: ndo hayo yanayosemwa unayakubalia au unayapinga? Kwenye Aya ya 6, je wewe unayapinga?

Shahidi: ndio

Kibatala: hayo Madai wewe umeyapinga au unayapinga kuwa Hukukamatwa na hukuwa Gerezani?

Jaji: mpatie Asome

Shahidi: niliyapinga kwenye Affidavit Yangu niliyojibu CHADEMA

Kibatala: Kwahiyo Para 6 ya Kiapo cha CHADEMA Imeipinga kwenye Kiapo chako kinzani kwenye Para 7?

Shahidi: Para ya 7 Anasoma

Jaji: Bado Muda mnao

Shahidi: Mh jaji Naomba Turudi kule tukajadili kwenye Chama tukamalize
Mahakama: kicheko
Kibatala: Unafahamu kama hujaverify Par yeyote inakuwa Useless?

Shahidi: ndio

Kibatala: Nisomee
Anasoma Para zote Isipokuwa 7 Ambayo haijawa Verified

Kibatala: Embu Nisomee Par 8 ya Affidavit Yako,

Kibatala: kwa Mujibu wa Kiapo chako ulichokileta Uliachiwa tarehe 23 Nov 2020 kinasema hivyo?

Shahidi: Ndiyo yakwangu, Anasoma

Kibatala: Sasa yale Uliyokuwa unasema unayapinga kuwa hukuwahi kuwa jela?

Shahidi: Mimi nimekataa vingine ila hicho cha kuwa Gerezani sijakataa

Shahidi: ndio

Kibatala: Ambayo Ina Maelezo ya kuwa Gerezani pia!

Shahidi: ndio

Kibatala: je Kwenye content Nzima ya para 6 Umeikataa?

Shahidi: ndio

Kibatala: Katika para 2 ya Kiapo chako umesema kuwa uliteuliwa na CHADEMA

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: CHADEMA wanasema hawajawahi kukuteua

Shahidi: Mh jaji Vyama vya siasa vinaua Ndoto za Vijana wengi sana kwenye nchi hii!

Kicheko: Mahakamani

Shahidi: Misheni yote ya kunitoa Gerezani ilifanywa na Mwenyekiti na Katibu Mkuu, wakaniletea Fomu jaza na hakuna shida yeyote!


🤣🤣🤣🤣
Kibatala: Shahidi unasema kuwa swala la kusema kuwa hawajakuteua siyo swala la Msingi?

Shahidi:
Ndio

Kibatala: Nimekuelewa kuwa Kwenye Kiapo chako pia Unataka Mahakama iseme kuwa Mwenendo wa Baraza Kuu kuwa haukufuata Utaratibu

Shahidi: Ni Mimi mwenyewe nashangaa ndo Maana nimekuja hapa Ili Mchakato ukarudiwe tusikilizwe

Shahidi: Ni kweli

Kibatala: umewahi kuchalenge popote vifungu vya katiba ya CHADEMA?

Shahidi: ndio

Kibatala: Toka unaingia kwenye CHADEMA ulikuta Katiba Inasema kuwa wajumbe wa Kamati Kuu ni wajumbe wa Baraza kuu

Shahidi: Hapana kwakuwa iko very Hamble
Kama Niya kubambikizwa hata mm naunga mkono waachiwe tuu maana hazina tija kwa upande wowote.
Ila Kama ni uhalifu halisi sheria za nchi zifuate mkondo wake.

Kibatala tala; nikweli kuwa Kazi Katibu Mkuu aliyofanya ni kutetea Uamuzi wa kamati Kuu Kwenye Baraza Kuu

Shahidi: Alienda mbali zaidi na kuchochoe wajumbe

Kibatala: Embu tusomee Par G, na F

Shahidi: F Baraza Kuu lilipokea Rufaa za warufani ...

Shahidi: G' Mwenyekiti Alitoa wasalisho la nmna alivyo waeleza warufani kutengeneza mahusiano Mazuri na wanachama
Kibatala: Katiba ya CHADEMA inaruhusu au kukataza Mjumbe wa kamati Kuu kuja kufanya wasilisho kutetea Uamuzi wa kamati Kuu Kwenye Baraza Kuu?

Shahidi: Sifahamu

NUSRAT: ni katazo
Kibatala: Sasa Naomba unisomee kwenye Katiba hii ni wapi hilo lipo

NUSRAT: Mh Katiba hii hakuna ila Naifahamu kwenye Katiba ya Nchi ndo inakataza aliyeshiriki kutoa uamuzi Kuja kutetea uamuzi wake kwenye chombo kingine

Kibatala: Unaweza kututajia Ibara Gani?

Shahidi: Kwa ni Mimi ni kosa

Kibatala: Mwendesha Mashtaka akikushitaki na Akaja kwenye mahakama kuja kwenye Mahakama kutetea swala lake ni kosa?

Kibatala: Unakubaliana na mimi kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA Siyo Mahakama? Au Unafahamu kuwa kuna tofauti kidogo?

Shahidi: Mh jaji mimi naona Walikuwa manguli hivyo Walikuwa wasingekubali kuwa pale

Shahidi: Nafahamu ila havitofautiani sana

Kibatala: sasa kwa Msingi Huo kuna tofauti Gani mtu Kuja kutetea uamuzi wake kuwa nilifanya sahihi?

Shahidi: Mh jaji mimi niliona nimenyimwa Haki kwakuwa nilikuwa nataka Haki

Kibatala: Hivi Ulitaka nani aje atetee Uamuzi wa Kamati Kuu kwenye Baraza Kuu? Mjumbe Kutoka singida?

Shahidi; Katibu mkuu alipaswa kwa nia Njema awakaimishe jukumu hilo ama Naibu Bara Au Zanzibar!

Kibatala: Ulitaka nani Aje atetee Uamuzi wa Kamati Kuu?
Hekima mwasipu: Fomu uliyojaza ya kuteuliwa kuwa Mbunge ilijazwa na hakima wa Dodoma au Dar?

Shahidi: sijui Katibu mkuu ndo anajua kuwa ilijazwa wapi mimi nilijaza toka July

Hekima mwasipu: Unafahamu kuwa Katika Mchakato wa Uteuzi Ofisi ya Spika inawasiliana na Chama cha Siasa?

Shahidi: sijui

Hekima mwasipu: Kati ya Tume ya Taifa unayosema umeteuliwa na Katibu mkuu wa CHADEMA anasema hajakuteua nani Unamwamini?

Shahidi: Nawaaamini wote
Hekima mwasipu: Mh Jaji Nimemaliza!

Jaji: Mr Kibatala

Kibatala: jaji hatu la Ziada!

Jaji: Panya

Panya: mh jaji tunomba Ahirisho fupi ili tupumzika kidogo kisha tukirejea tuendelee na Re-examination...

Jaji; Naahirisha mpaka saa nane 8 Kamili mchana!
nimeshindwa kugundua any contradiction... nisaidie tafadhali aliyeelewa
 
Kesi Halima Mdee vs CHADEMA imeendelea leo
November 4,2022 hapa mahakama kuu jijini Dar es Salaam
Mbele ya Jaji Cyprian Mkeha.

Jaji anaingia Mahakamani muda huu saa 10:10 Asubuhi hii!

Watu wote hapa Mahakamani tunasimama....!!

Karani wa mahakama:
Kesi namba 36/2022
Halima James Mdee na wenzake kumi na nane dhidi ya CHADEMA...

Mh Jaji:
Karibuni....
Na Tunaweza kuendelea!

Anasimama Wakili wa Serikali:
Mh Jaji naitwa
Leonia Maneno
Namwakilisha mjibu maombi wa pili nawa watatu

Na upande wa Waleta maombi wanawakilishwa na
Mawakili wasomi
Ipilinga Panya
Emanuel Ukashu
Aiko Mwamanenge

Na upande wa Wajibu maombi wa Kwanza anawakilishwa na Wakili Msomi
Peter Kibatala
Hekima Mwasipu
Deogratius Mahinyila

Wakili Panya:
Mh Jaji shauri hili limekuja mleta maombi namba kumi na tano kuhojiwa na upande wa Wajibu maombi wa Kwanza.. kama ilivyokuwa imetolewa hoja

Jaji:
Wakili Kibatala

Kibatala: na sisi Kwa upande wetu tupo tayari kuendelea

Shahidi Nusrat Hanje anapanda Kizimbani!!...

Jaji: Jina lako?

Shahidi: Naitwa Nusrat Shabani Hanje

Jaji: Umri wako?

Shahidi: Nina miaka 33

Jaji: Dini yako?

Shahidi: Muislamu

Jaji shahidi utaapishwa

Jaji: Shahidi utaweza kukaa

Jaji: Mr Kibatala karibu
Jaji: Shahidi upo vizuri

Shahidi: yes ila tatizo ni ufupi

Mahakama kicheko

Kibatala:
Shahidi wito wa kuitwa kikao Cha kamati KUU haujakufukia Kwa wakati?

Shahidi: ndio haukunifikia Kwa wakati

Kibatala: Kwa nn haukukufika Kwa wakati?

Shahidi:
Njia iliyotumika ya wasapt mm sijazoea

Kibatala: Wewe ulikuwa mjumbe wa wa kamati KUU?

Shahidi:ndio nilikuwa kiongozi wa Baraza la vijana

Kibatala: CHADEMA unayosema kuwa mwanachama wa unafahamu kuwa inatumia mawasiliano mbadala?

Shahidi:Ndio nafahamu E-Mail

Kibatala: wewe unafahamu kwenye E-Mail hufahamu njia nyingine?

Shahidi;
Ndio mawasiliano ya Wasapt sijawahi kuona ni njia rasmi ya viongozi kuwasiliana haswa taarifa sensitive kama hizo

Kibatala:
Wewe ulikuwa mjumbe wa kamati KUU ulishiriki kutunga hizo kanuni zinazotambua TEHAMA na ukasema hutambui Wasapt?

Shahidi: Mh jaji kuwa sitambui Waspat Ila kuwa kipindi chote nilikuwa sijawahi kuona njia hiyo ikitumika
Kibatala:Shida yako hapo ujazoea njia Waspat?

Shahidi:
Waspat sio njia inatumika na CHADEMA

Kibatala:Vyovyote itakavyokuwa hiyo barau ya wito wa November 25,2020 uliipata?

Shahidi;
Sikuipata Kwa njia rasmi ila nilipata Kwa njia ya mtandao

Jaji: Uliipata au hakuipata?

Shahidi: Nilipata

Kibatala: Ni sahii Kuwa wito huo ulisema unaitwa kamati KUU Kwa kanuni ya 6.5.1(D)

Shahidi: Mh jaji naomba nione

Shahidi
amepelekewa katiba ya CHADEMA

Shahidi: ndio hiyo

Kibatala: ukisoma 6.5.1.(D)
Kamati KUU imepewa mamlaka ya kushughulikia jambo Kwa dhararu?

Shahidi; mm najua 6.5.1 (a)

Jaji: Embu muaminiane swali halina mtego kabisa

Jaji: Mr Panya Embu msaidie shahidi naona haelewi

Panya: lalda itakuwa alichoulizwa na Kibatala toka mwanzo

Shahidi: Mh jaji hapo bado naomba

Jaji: Shahidi jibu swali au unawasiwasi na Katiba?

Kibatala anarudia swali kifungu hicho 6.5.1 kuwa Kamati KUU inaweza kushughulikia jambo Kwa dhararu

Shahid: ndio

Kibatala:Hapo awali nilikuuliza mambo ya TEHAMA nakuonyesha muongo wa CHADEMA maswala ya TEHAMA soma 3.2
Kibatala: Unafahamu kuwa wewe kama mleta maombi inatakiwa udhibitishe ulichokileta mahakamani kwenye kesi Hii?

Shahidi:.ndio nafahamu

Kibatala: Hiyi barua ya November 25 ulisema ilitoka kwa nani?

Shahidi:
Kwa katibu mkuu
JJ Mnyika

Kibatala:
Ambaye namba yake ya Siku umuiweka?

Shahidi: ofisi ya katibu mkuu mtu yoyote anaweza kutumia

Kibatala:
Kwenye kiapo chako Kuna sehemu ulisema kamati KUU haikivunja
Katiba ya CHADEMA

Shahidi:
Naomba nisome

Anapewa kiapo

Shahidi: Mh jaji kwenye Affidavit para ya 21 inasema (anasoma)

Mh jaji para 21 mpaka nakuja kuitwa kwenye kamati KUU nilikuwa mbunge tayari na hiyo kwenye sehemu E sehemu inataka viongozi washugulikiwe tofauti

Jaji embe uliza upya ilo swali
Kibatala; Kwa Hiyo kwako para ya 21 sehemu E ndio imebeba kukiukwa KATIBA ya CHADEMA?

Shahidi: ndio

Kibatala: Unafahamu Kuwa CHADEMA haijawahi kukuteua Kuwa mbunge?

Shahidi: Sifahamu
Naomba nisome Affidavit

Jaji; kwenye Kesi jinsi ilivyo Kuna sehemu inasema CHADEMA walikuteua Kuwa mbunge

Mahakama kicheko

Kibatala: Kuna sehemu uliandika kwenye kiapo chako Kuwa walikuteua?

Shahidi;
Hakuna sehemu walisema

Kibatala: Kwa Kuwa ndio jambo linalobishaniwa Unafahamu Kuwa unatakiwa kudhibitisha walikuteuaje?
Shahidi: hakuna
ndo Maana tupo hapa Mahakamani

Kibatala: kuna Mahali wanasema kuwa wewe ulikuwa unakingwa na kifungu hicho cha
E ?

Shahidi: hapana

Kibatala: katika hati Yako ya Kiapo umeleta ni Kuthibitisha kuwa umemaliza hatua zote za Ndani ya chama si ndiyo?

Shahidi: ndiyo

Kibatala: kwahiyo vitu ulivyovileta hapa Mahakamani ni Ili vitumike kuamua wewe kupata Haki Yako?

Shahidi: ndio

Kibatala: unafahamu mojawapo ya malengo ya kukuita wewe hapa ni Ili nikudodose Ili Mahakama ifahamu Ukweli Juu Yako na jambo hili?

Shahidi: ndio

Kibatala: nakupeleka kwenye Rufaa Yako Kwenye Mstari unaanza na Maneno kwahiyo:;

Shahidi anaasoma
Anasema Alikuwa Gerezani na hakupewa wito

Kibatala: kwa hiyo unaona Maelezo hayo yanafanana na Maelezo Yako ya Awali kuwa Ulipata?

Jaji: soma Upya

Kibatala: Hizo dhana Mbili zinaoana?

Shahidi: ni mimi niliona tu kwenye Mitandao narudia kusema

Kibatala: Mojawapo ya misingi mingine Mbele ya Mahakama hii ya Kesi Yako ni kuwa hata kwenye Baraza Kuu la Chama hukutendewa Haki

Shahidi: ni sahii

Kibatala: ni sahihi kuwa uliandika Rufaa kwenye Baraza Kuu uliandika Maelezo na Ukaanza kwa kusema wah Viongozi na wajumbe wote wa Baraza Kuu,

Kibatala: Ni sahihi kuwa ulipeleka Rufaa na ukaainisha sababu kadha wa kadha na Ukapeleka Mawasilisho ya kina ya kiwepo na vifungu vya katiba, na dhana za kisheria

Shahidi: ndio

Jaji: Shahidi jibu swali ( Jaji Anarudia swali la Kibatala)

Shahidi: ndio nimeandika mimi na Barua hizi ni za kunisapoti mimi kwenye kesi Yangu

Kibatala: unafahamu kuwa kuna namna Mbili za kusikilizwa? Kwa mdomo au kwa Maandishi?

Shahidi: ndo ilikuwa Hivyo

Kibatala: Na Haki hizo za kusikilizwa kwa kuitwa na kusikilizwa zimejengwa kwenye Misingi ya kikatiba au ni Fikra zako!

Shahidi: ndio lakini Ukiniita lazima unisikilize

Jaji: Nilivyomrekodi ni kuwa kwakuitwa alitegemea kupewa nyingeza ya kuongea

Jaji: Panya nisaidie

Shahidi: Mh jaji Katiba ya Chama Haiwezi ku-over rule Katiba ya Nchi

Panya: Shahidi swali lipo hivi...

Jaji : Jibu swali la

Kibatala: Je kuna Mahali kwenye Katiba ya CHADEMA hayo Maelezo kuwa ulipaswa kupewa Muda wa kujieleza zaidi ya hayo Maandishi?

Shahidi: hapana

Kibatala: Wajibu Maombi walileta hati ya Kiapo kinzani na Wakaleta minutes hapa, sasa iambie Mahakama hii kuwa Unazitambua au huzitambui?

Shahidi Anazipitia....Mh Jaji Hizi Minutes kuna Baadhi ya Vitu navitambua na vingine sivitambui

Kibatala: embu taja unayoyatambua
Shahidi: 9.2 ya Sequence ya matukio

Kibatala: hayo usiyoyatambua Sema vimekuwaje?
Anasoma Zimefikaje hapa?
Au Zimefojiwa?

Shahidi: sijui zimetoka wapi

Kibatala: kwenye Kiapo chako kuna mahali Ungesema kuwa Hizo minutes Zimefojiwa?

Shahidi:
mh jaji Kwenye Kiapo changu kuna Sehemu

Kibatala: kuna Mahali kwenye Kiapo chako kuna Mahali umesema kuwa Hujui kuwa hivyo vimetoka
wapi?

Shahidi: ndio

Kibatala: Umewahi kusikia Neno Afterthought?

Shahidi: hakuna
Kibatala: Umewahi kusikia Neno Afterthought?

Shahidi: ndio

Anapewa Maelezo ya CHADEMA yanayosema kuwa NUSRAT HANJE kuwa hakuwahi kushiriki Mchakato wa Ubunge

Kibatala: ndo hayo yanayosemwa unayakubalia au unayapinga? Kwenye Aya ya 6, je wewe unayapinga?

Shahidi: ndio

Kibatala: hayo Madai wewe umeyapinga au unayapinga kuwa Hukukamatwa na hukuwa Gerezani?

Jaji: mpatie Asome

Shahidi: niliyapinga kwenye Affidavit Yangu niliyojibu CHADEMA

Kibatala: Kwahiyo Para 6 ya Kiapo cha CHADEMA Imeipinga kwenye Kiapo chako kinzani kwenye Para 7?

Shahidi: Para ya 7 Anasoma

Jaji: Bado Muda mnao

Shahidi: Mh jaji Naomba Turudi kule tukajadili kwenye Chama tukamalize
Mahakama: kicheko
Kibatala: Unafahamu kama hujaverify Par yeyote inakuwa Useless?

Shahidi: ndio

Kibatala: Nisomee
Anasoma Para zote Isipokuwa 7 Ambayo haijawa Verified

Kibatala: Embu Nisomee Par 8 ya Affidavit Yako,

Kibatala: kwa Mujibu wa Kiapo chako ulichokileta Uliachiwa tarehe 23 Nov 2020 kinasema hivyo?

Shahidi: Ndiyo yakwangu, Anasoma

Kibatala: Sasa yale Uliyokuwa unasema unayapinga kuwa hukuwahi kuwa jela?

Shahidi: Mimi nimekataa vingine ila hicho cha kuwa Gerezani sijakataa

Shahidi: ndio

Kibatala: Ambayo Ina Maelezo ya kuwa Gerezani pia!

Shahidi: ndio

Kibatala: je Kwenye content Nzima ya para 6 Umeikataa?

Shahidi: ndio

Kibatala: Katika para 2 ya Kiapo chako umesema kuwa uliteuliwa na CHADEMA

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: CHADEMA wanasema hawajawahi kukuteua

Shahidi: Mh jaji Vyama vya siasa vinaua Ndoto za Vijana wengi sana kwenye nchi hii!

Kicheko: Mahakamani

Shahidi: Misheni yote ya kunitoa Gerezani ilifanywa na Mwenyekiti na Katibu Mkuu, wakaniletea Fomu jaza na hakuna shida yeyote!


🤣🤣🤣🤣
Kibatala: Shahidi unasema kuwa swala la kusema kuwa hawajakuteua siyo swala la Msingi?

Shahidi:
Ndio

Kibatala: Nimekuelewa kuwa Kwenye Kiapo chako pia Unataka Mahakama iseme kuwa Mwenendo wa Baraza Kuu kuwa haukufuata Utaratibu

Shahidi: Ni Mimi mwenyewe nashangaa ndo Maana nimekuja hapa Ili Mchakato ukarudiwe tusikilizwe

Shahidi: Ni kweli

Kibatala: umewahi kuchalenge popote vifungu vya katiba ya CHADEMA?

Shahidi: ndio

Kibatala: Toka unaingia kwenye CHADEMA ulikuta Katiba Inasema kuwa wajumbe wa Kamati Kuu ni wajumbe wa Baraza kuu

Shahidi: Hapana kwakuwa iko very Hamble
Kama Niya kubambikizwa hata mm naunga mkono waachiwe tuu maana hazina tija kwa upande wowote.
Ila Kama ni uhalifu halisi sheria za nchi zifuate mkondo wake.

Kibatala tala; nikweli kuwa Kazi Katibu Mkuu aliyofanya ni kutetea Uamuzi wa kamati Kuu Kwenye Baraza Kuu

Shahidi: Alienda mbali zaidi na kuchochoe wajumbe

Kibatala: Embu tusomee Par G, na F

Shahidi: F Baraza Kuu lilipokea Rufaa za warufani ...

Shahidi: G' Mwenyekiti Alitoa wasalisho la nmna alivyo waeleza warufani kutengeneza mahusiano Mazuri na wanachama
Kibatala: Katiba ya CHADEMA inaruhusu au kukataza Mjumbe wa kamati Kuu kuja kufanya wasilisho kutetea Uamuzi wa kamati Kuu Kwenye Baraza Kuu?

Shahidi: Sifahamu

NUSRAT: ni katazo
Kibatala: Sasa Naomba unisomee kwenye Katiba hii ni wapi hilo lipo

NUSRAT: Mh Katiba hii hakuna ila Naifahamu kwenye Katiba ya Nchi ndo inakataza aliyeshiriki kutoa uamuzi Kuja kutetea uamuzi wake kwenye chombo kingine

Kibatala: Unaweza kututajia Ibara Gani?

Shahidi: Kwa ni Mimi ni kosa

Kibatala: Mwendesha Mashtaka akikushitaki na Akaja kwenye mahakama kuja kwenye Mahakama kutetea swala lake ni kosa?

Kibatala: Unakubaliana na mimi kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA Siyo Mahakama? Au Unafahamu kuwa kuna tofauti kidogo?

Shahidi: Mh jaji mimi naona Walikuwa manguli hivyo Walikuwa wasingekubali kuwa pale

Shahidi: Nafahamu ila havitofautiani sana

Kibatala: sasa kwa Msingi Huo kuna tofauti Gani mtu Kuja kutetea uamuzi wake kuwa nilifanya sahihi?

Shahidi: Mh jaji mimi niliona nimenyimwa Haki kwakuwa nilikuwa nataka Haki

Kibatala: Hivi Ulitaka nani aje atetee Uamuzi wa Kamati Kuu kwenye Baraza Kuu? Mjumbe Kutoka singida?

Shahidi; Katibu mkuu alipaswa kwa nia Njema awakaimishe jukumu hilo ama Naibu Bara Au Zanzibar!

Kibatala: Ulitaka nani Aje atetee Uamuzi wa Kamati Kuu?
Hekima mwasipu: Fomu uliyojaza ya kuteuliwa kuwa Mbunge ilijazwa na hakima wa Dodoma au Dar?

Shahidi: sijui Katibu mkuu ndo anajua kuwa ilijazwa wapi mimi nilijaza toka July

Hekima mwasipu: Unafahamu kuwa Katika Mchakato wa Uteuzi Ofisi ya Spika inawasiliana na Chama cha Siasa?

Shahidi: sijui

Hekima mwasipu: Kati ya Tume ya Taifa unayosema umeteuliwa na Katibu mkuu wa CHADEMA anasema hajakuteua nani Unamwamini?

Shahidi: Nawaaamini wote
Hekima mwasipu: Mh Jaji Nimemaliza!

Jaji: Mr Kibatala

Kibatala: jaji hatu la Ziada!

Jaji: Panya

Panya: mh jaji tunomba Ahirisho fupi ili tupumzika kidogo kisha tukirejea tuendelee na Re-examination...

Jaji; Naahirisha mpaka saa nane 8 Kamili mchana!
Kwa jinsi ambavyo ameshindwa kujitetea na kujikoroga mwenyewe. Hanje ni kiazi. Kamaliza kesi.
 
Kesi Halima Mdee vs CHADEMA imeendelea leo
November 4,2022 hapa mahakama kuu jijini Dar es Salaam
Mbele ya Jaji Cyprian Mkeha.

Jaji anaingia Mahakamani muda huu saa 10:10 Asubuhi hii!

Watu wote hapa Mahakamani tunasimama....!!

Karani wa mahakama:
Kesi namba 36/2022
Halima James Mdee na wenzake kumi na nane dhidi ya CHADEMA...

Mh Jaji:
Karibuni....
Na Tunaweza kuendelea!

Anasimama Wakili wa Serikali:
Mh Jaji naitwa
Leonia Maneno
Namwakilisha mjibu maombi wa pili nawa watatu

Na upande wa Waleta maombi wanawakilishwa na
Mawakili wasomi
Ipilinga Panya
Emanuel Ukashu
Aiko Mwamanenge

Na upande wa Wajibu maombi wa Kwanza anawakilishwa na Wakili Msomi
Peter Kibatala
Hekima Mwasipu
Deogratius Mahinyila

Wakili Panya:
Mh Jaji shauri hili limekuja mleta maombi namba kumi na tano kuhojiwa na upande wa Wajibu maombi wa Kwanza.. kama ilivyokuwa imetolewa hoja

Jaji:
Wakili Kibatala

Kibatala: na sisi Kwa upande wetu tupo tayari kuendelea

Shahidi Nusrat Hanje anapanda Kizimbani!!...

Jaji: Jina lako?

Shahidi: Naitwa Nusrat Shabani Hanje

Jaji: Umri wako?

Shahidi: Nina miaka 33

Jaji: Dini yako?

Shahidi: Muislamu

Jaji shahidi utaapishwa

Jaji: Shahidi utaweza kukaa

Jaji: Mr Kibatala karibu
Jaji: Shahidi upo vizuri

Shahidi: yes ila tatizo ni ufupi

Mahakama kicheko

Kibatala:
Shahidi wito wa kuitwa kikao Cha kamati KUU haujakufukia Kwa wakati?

Shahidi: ndio haukunifikia Kwa wakati

Kibatala: Kwa nn haukukufika Kwa wakati?

Shahidi:
Njia iliyotumika ya wasapt mm sijazoea

Kibatala: Wewe ulikuwa mjumbe wa wa kamati KUU?

Shahidi:ndio nilikuwa kiongozi wa Baraza la vijana

Kibatala: CHADEMA unayosema kuwa mwanachama wa unafahamu kuwa inatumia mawasiliano mbadala?

Shahidi:Ndio nafahamu E-Mail

Kibatala: wewe unafahamu kwenye E-Mail hufahamu njia nyingine?

Shahidi;
Ndio mawasiliano ya Wasapt sijawahi kuona ni njia rasmi ya viongozi kuwasiliana haswa taarifa sensitive kama hizo

Kibatala:
Wewe ulikuwa mjumbe wa kamati KUU ulishiriki kutunga hizo kanuni zinazotambua TEHAMA na ukasema hutambui Wasapt?

Shahidi: Mh jaji kuwa sitambui Waspat Ila kuwa kipindi chote nilikuwa sijawahi kuona njia hiyo ikitumika
Kibatala:Shida yako hapo ujazoea njia Waspat?

Shahidi:
Waspat sio njia inatumika na CHADEMA

Kibatala:Vyovyote itakavyokuwa hiyo barau ya wito wa November 25,2020 uliipata?

Shahidi;
Sikuipata Kwa njia rasmi ila nilipata Kwa njia ya mtandao

Jaji: Uliipata au hakuipata?

Shahidi: Nilipata

Kibatala: Ni sahii Kuwa wito huo ulisema unaitwa kamati KUU Kwa kanuni ya 6.5.1(D)

Shahidi: Mh jaji naomba nione

Shahidi
amepelekewa katiba ya CHADEMA

Shahidi: ndio hiyo

Kibatala: ukisoma 6.5.1.(D)
Kamati KUU imepewa mamlaka ya kushughulikia jambo Kwa dhararu?

Shahidi; mm najua 6.5.1 (a)

Jaji: Embu muaminiane swali halina mtego kabisa

Jaji: Mr Panya Embu msaidie shahidi naona haelewi

Panya: lalda itakuwa alichoulizwa na Kibatala toka mwanzo

Shahidi: Mh jaji hapo bado naomba

Jaji: Shahidi jibu swali au unawasiwasi na Katiba?

Kibatala anarudia swali kifungu hicho 6.5.1 kuwa Kamati KUU inaweza kushughulikia jambo Kwa dhararu

Shahid: ndio

Kibatala:Hapo awali nilikuuliza mambo ya TEHAMA nakuonyesha muongo wa CHADEMA maswala ya TEHAMA soma 3.2
Kibatala: Unafahamu kuwa wewe kama mleta maombi inatakiwa udhibitishe ulichokileta mahakamani kwenye kesi Hii?

Shahidi:.ndio nafahamu

Kibatala: Hiyi barua ya November 25 ulisema ilitoka kwa nani?

Shahidi:
Kwa katibu mkuu
JJ Mnyika

Kibatala:
Ambaye namba yake ya Siku umuiweka?

Shahidi: ofisi ya katibu mkuu mtu yoyote anaweza kutumia

Kibatala:
Kwenye kiapo chako Kuna sehemu ulisema kamati KUU haikivunja
Katiba ya CHADEMA

Shahidi:
Naomba nisome

Anapewa kiapo

Shahidi: Mh jaji kwenye Affidavit para ya 21 inasema (anasoma)

Mh jaji para 21 mpaka nakuja kuitwa kwenye kamati KUU nilikuwa mbunge tayari na hiyo kwenye sehemu E sehemu inataka viongozi washugulikiwe tofauti

Jaji embe uliza upya ilo swali
Kibatala; Kwa Hiyo kwako para ya 21 sehemu E ndio imebeba kukiukwa KATIBA ya CHADEMA?

Shahidi: ndio

Kibatala: Unafahamu Kuwa CHADEMA haijawahi kukuteua Kuwa mbunge?

Shahidi: Sifahamu
Naomba nisome Affidavit

Jaji; kwenye Kesi jinsi ilivyo Kuna sehemu inasema CHADEMA walikuteua Kuwa mbunge

Mahakama kicheko

Kibatala: Kuna sehemu uliandika kwenye kiapo chako Kuwa walikuteua?

Shahidi;
Hakuna sehemu walisema

Kibatala: Kwa Kuwa ndio jambo linalobishaniwa Unafahamu Kuwa unatakiwa kudhibitisha walikuteuaje?
Shahidi: hakuna
ndo Maana tupo hapa Mahakamani

Kibatala: kuna Mahali wanasema kuwa wewe ulikuwa unakingwa na kifungu hicho cha
E ?

Shahidi: hapana

Kibatala: katika hati Yako ya Kiapo umeleta ni Kuthibitisha kuwa umemaliza hatua zote za Ndani ya chama si ndiyo?

Shahidi: ndiyo

Kibatala: kwahiyo vitu ulivyovileta hapa Mahakamani ni Ili vitumike kuamua wewe kupata Haki Yako?

Shahidi: ndio

Kibatala: unafahamu mojawapo ya malengo ya kukuita wewe hapa ni Ili nikudodose Ili Mahakama ifahamu Ukweli Juu Yako na jambo hili?

Shahidi: ndio

Kibatala: nakupeleka kwenye Rufaa Yako Kwenye Mstari unaanza na Maneno kwahiyo:;

Shahidi anaasoma
Anasema Alikuwa Gerezani na hakupewa wito

Kibatala: kwa hiyo unaona Maelezo hayo yanafanana na Maelezo Yako ya Awali kuwa Ulipata?

Jaji: soma Upya

Kibatala: Hizo dhana Mbili zinaoana?

Shahidi: ni mimi niliona tu kwenye Mitandao narudia kusema

Kibatala: Mojawapo ya misingi mingine Mbele ya Mahakama hii ya Kesi Yako ni kuwa hata kwenye Baraza Kuu la Chama hukutendewa Haki

Shahidi: ni sahii

Kibatala: ni sahihi kuwa uliandika Rufaa kwenye Baraza Kuu uliandika Maelezo na Ukaanza kwa kusema wah Viongozi na wajumbe wote wa Baraza Kuu,

Kibatala: Ni sahihi kuwa ulipeleka Rufaa na ukaainisha sababu kadha wa kadha na Ukapeleka Mawasilisho ya kina ya kiwepo na vifungu vya katiba, na dhana za kisheria

Shahidi: ndio

Jaji: Shahidi jibu swali ( Jaji Anarudia swali la Kibatala)

Shahidi: ndio nimeandika mimi na Barua hizi ni za kunisapoti mimi kwenye kesi Yangu

Kibatala: unafahamu kuwa kuna namna Mbili za kusikilizwa? Kwa mdomo au kwa Maandishi?

Shahidi: ndo ilikuwa Hivyo

Kibatala: Na Haki hizo za kusikilizwa kwa kuitwa na kusikilizwa zimejengwa kwenye Misingi ya kikatiba au ni Fikra zako!

Shahidi: ndio lakini Ukiniita lazima unisikilize

Jaji: Nilivyomrekodi ni kuwa kwakuitwa alitegemea kupewa nyingeza ya kuongea

Jaji: Panya nisaidie

Shahidi: Mh jaji Katiba ya Chama Haiwezi ku-over rule Katiba ya Nchi

Panya: Shahidi swali lipo hivi...

Jaji : Jibu swali la

Kibatala: Je kuna Mahali kwenye Katiba ya CHADEMA hayo Maelezo kuwa ulipaswa kupewa Muda wa kujieleza zaidi ya hayo Maandishi?

Shahidi: hapana

Kibatala: Wajibu Maombi walileta hati ya Kiapo kinzani na Wakaleta minutes hapa, sasa iambie Mahakama hii kuwa Unazitambua au huzitambui?

Shahidi Anazipitia....Mh Jaji Hizi Minutes kuna Baadhi ya Vitu navitambua na vingine sivitambui

Kibatala: embu taja unayoyatambua
Shahidi: 9.2 ya Sequence ya matukio

Kibatala: hayo usiyoyatambua Sema vimekuwaje?
Anasoma Zimefikaje hapa?
Au Zimefojiwa?

Shahidi: sijui zimetoka wapi

Kibatala: kwenye Kiapo chako kuna mahali Ungesema kuwa Hizo minutes Zimefojiwa?

Shahidi:
mh jaji Kwenye Kiapo changu kuna Sehemu

Kibatala: kuna Mahali kwenye Kiapo chako kuna Mahali umesema kuwa Hujui kuwa hivyo vimetoka
wapi?

Shahidi: ndio

Kibatala: Umewahi kusikia Neno Afterthought?

Shahidi: hakuna
Kibatala: Umewahi kusikia Neno Afterthought?

Shahidi: ndio

Anapewa Maelezo ya CHADEMA yanayosema kuwa NUSRAT HANJE kuwa hakuwahi kushiriki Mchakato wa Ubunge

Kibatala: ndo hayo yanayosemwa unayakubalia au unayapinga? Kwenye Aya ya 6, je wewe unayapinga?

Shahidi: ndio

Kibatala: hayo Madai wewe umeyapinga au unayapinga kuwa Hukukamatwa na hukuwa Gerezani?

Jaji: mpatie Asome

Shahidi: niliyapinga kwenye Affidavit Yangu niliyojibu CHADEMA

Kibatala: Kwahiyo Para 6 ya Kiapo cha CHADEMA Imeipinga kwenye Kiapo chako kinzani kwenye Para 7?

Shahidi: Para ya 7 Anasoma

Jaji: Bado Muda mnao

Shahidi: Mh jaji Naomba Turudi kule tukajadili kwenye Chama tukamalize
Mahakama: kicheko
Kibatala: Unafahamu kama hujaverify Par yeyote inakuwa Useless?

Shahidi: ndio

Kibatala: Nisomee
Anasoma Para zote Isipokuwa 7 Ambayo haijawa Verified

Kibatala: Embu Nisomee Par 8 ya Affidavit Yako,

Kibatala: kwa Mujibu wa Kiapo chako ulichokileta Uliachiwa tarehe 23 Nov 2020 kinasema hivyo?

Shahidi: Ndiyo yakwangu, Anasoma

Kibatala: Sasa yale Uliyokuwa unasema unayapinga kuwa hukuwahi kuwa jela?

Shahidi: Mimi nimekataa vingine ila hicho cha kuwa Gerezani sijakataa

Shahidi: ndio

Kibatala: Ambayo Ina Maelezo ya kuwa Gerezani pia!

Shahidi: ndio

Kibatala: je Kwenye content Nzima ya para 6 Umeikataa?

Shahidi: ndio

Kibatala: Katika para 2 ya Kiapo chako umesema kuwa uliteuliwa na CHADEMA

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: CHADEMA wanasema hawajawahi kukuteua

Shahidi: Mh jaji Vyama vya siasa vinaua Ndoto za Vijana wengi sana kwenye nchi hii!

Kicheko: Mahakamani

Shahidi: Misheni yote ya kunitoa Gerezani ilifanywa na Mwenyekiti na Katibu Mkuu, wakaniletea Fomu jaza na hakuna shida yeyote!


🤣🤣🤣🤣
Kibatala: Shahidi unasema kuwa swala la kusema kuwa hawajakuteua siyo swala la Msingi?

Shahidi:
Ndio

Kibatala: Nimekuelewa kuwa Kwenye Kiapo chako pia Unataka Mahakama iseme kuwa Mwenendo wa Baraza Kuu kuwa haukufuata Utaratibu

Shahidi: Ni Mimi mwenyewe nashangaa ndo Maana nimekuja hapa Ili Mchakato ukarudiwe tusikilizwe

Shahidi: Ni kweli

Kibatala: umewahi kuchalenge popote vifungu vya katiba ya CHADEMA?

Shahidi: ndio

Kibatala: Toka unaingia kwenye CHADEMA ulikuta Katiba Inasema kuwa wajumbe wa Kamati Kuu ni wajumbe wa Baraza kuu

Shahidi: Hapana kwakuwa iko very Hamble
Kama Niya kubambikizwa hata mm naunga mkono waachiwe tuu maana hazina tija kwa upande wowote.
Ila Kama ni uhalifu halisi sheria za nchi zifuate mkondo wake.

Kibatala tala; nikweli kuwa Kazi Katibu Mkuu aliyofanya ni kutetea Uamuzi wa kamati Kuu Kwenye Baraza Kuu

Shahidi: Alienda mbali zaidi na kuchochoe wajumbe

Kibatala: Embu tusomee Par G, na F

Shahidi: F Baraza Kuu lilipokea Rufaa za warufani ...

Shahidi: G' Mwenyekiti Alitoa wasalisho la nmna alivyo waeleza warufani kutengeneza mahusiano Mazuri na wanachama
Kibatala: Katiba ya CHADEMA inaruhusu au kukataza Mjumbe wa kamati Kuu kuja kufanya wasilisho kutetea Uamuzi wa kamati Kuu Kwenye Baraza Kuu?

Shahidi: Sifahamu

NUSRAT: ni katazo
Kibatala: Sasa Naomba unisomee kwenye Katiba hii ni wapi hilo lipo

NUSRAT: Mh Katiba hii hakuna ila Naifahamu kwenye Katiba ya Nchi ndo inakataza aliyeshiriki kutoa uamuzi Kuja kutetea uamuzi wake kwenye chombo kingine

Kibatala: Unaweza kututajia Ibara Gani?

Shahidi: Kwa ni Mimi ni kosa

Kibatala: Mwendesha Mashtaka akikushitaki na Akaja kwenye mahakama kuja kwenye Mahakama kutetea swala lake ni kosa?

Kibatala: Unakubaliana na mimi kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA Siyo Mahakama? Au Unafahamu kuwa kuna tofauti kidogo?

Shahidi: Mh jaji mimi naona Walikuwa manguli hivyo Walikuwa wasingekubali kuwa pale

Shahidi: Nafahamu ila havitofautiani sana

Kibatala: sasa kwa Msingi Huo kuna tofauti Gani mtu Kuja kutetea uamuzi wake kuwa nilifanya sahihi?

Shahidi: Mh jaji mimi niliona nimenyimwa Haki kwakuwa nilikuwa nataka Haki

Kibatala: Hivi Ulitaka nani aje atetee Uamuzi wa Kamati Kuu kwenye Baraza Kuu? Mjumbe Kutoka singida?

Shahidi; Katibu mkuu alipaswa kwa nia Njema awakaimishe jukumu hilo ama Naibu Bara Au Zanzibar!

Kibatala: Ulitaka nani Aje atetee Uamuzi wa Kamati Kuu?
Hekima mwasipu: Fomu uliyojaza ya kuteuliwa kuwa Mbunge ilijazwa na hakima wa Dodoma au Dar?

Shahidi: sijui Katibu mkuu ndo anajua kuwa ilijazwa wapi mimi nilijaza toka July

Hekima mwasipu: Unafahamu kuwa Katika Mchakato wa Uteuzi Ofisi ya Spika inawasiliana na Chama cha Siasa?

Shahidi: sijui

Hekima mwasipu: Kati ya Tume ya Taifa unayosema umeteuliwa na Katibu mkuu wa CHADEMA anasema hajakuteua nani Unamwamini?

Shahidi: Nawaaamini wote
Hekima mwasipu: Mh Jaji Nimemaliza!

Jaji: Mr Kibatala

Kibatala: jaji hatu la Ziada!

Jaji: Panya

Panya: mh jaji tunomba Ahirisho fupi ili tupumzika kidogo kisha tukirejea tuendelee na Re-examination...

Jaji; Naahirisha mpaka saa nane 8 Kamili mchana!
Chadema wanatafunana tu kama mbwa mwitu,wakija kushutuka 2025 hiyo utasikia CCM wameiba kura,wamerushiwa fupa na CCM wako wanangana nalo,Sisi Wakristo kwenye biblia kuna msitari unaosema'Wala msiache kuzijua fikra za Adui (Shetani) Chadema wanatafunana watamalizana.
 
Hekima mwasipu: Kati ya Tume ya Taifa unayosema umeteuliwa,na Katibu mkuu wa CHADEMA anasema hajakuteua nani Unamwamini?

Shahidi: Nawaaamini wote
Hekima mwasipu: Mh Jaji Nimemaliza

Kesi imeishia hapo.
Fafanua maamuma tukuelewe Mzee!
 
Ndio Tanzania kina ndugai kazi waliotumwa na mwenda zake waliimaliza
Yule mzee aliharibu sana misingi ya nchi kisa misimamo yake yenye manufaa kwake utadhani jiwe litakaloishi milele,na hao covid 19 eti ni wabunge wa viti maalum huku wa kuchaguliwa akiwa mmoja!.Ajabu ingekuwa hao covid 19 wanashitakiwa na ccm wala kesi isingefika huku.Siasa za hila ndio chanzo kikubwa cha migogoro Afrika,selfishness are making them greedy and blind.
 
Chadema wanatafunana tu kama mbwa mwitu,wakija kushutuka 2025 hiyo utasikia CCM wameiba kura,wamerushiwa fupa na CCM wako wanangana nalo,Sisi Wakristo kwenye biblia kuna msitari unaosema'Wala msiache kuzijua fikra za Adui (Shetani) Chadema wanatafunana watamalizana.
Shetani ni ccm na wewe ni miongoni mwao,kipi kimekufanya usione makucha ya ibilisi ccm hapo?
 
Chadema wanatafunana tu kama mbwa mwitu,wakija kushutuka 2025 hiyo utasikia CCM wameiba kura,wamerushiwa fupa na CCM wako wanangana nalo,Sisi Wakristo kwenye biblia kuna msitari unaosema'Wala msiache kuzijua fikra za Adui (Shetani) Chadema wanatafunana watamalizana.
Ungekuwa mkristo kweli usingeandika unafiki wako hapa.Msingi wa mkristo ni ukweli.Weye ni kaongo unayeongozwa kwa kuichukia CHADEMA.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom