Kibanda kumtetea Lowasa? Hapana. Kama nimemwelewa vizuri Kibanda, yeye alitaka serikali nzima iwajibike kwa hili. Ana hoja nzito tu hapo. Angalia hata suala lenyewe lilivyokujamalizika.
Baadhi yetu tunaamini tukijapata Rais makini suala hili litakuja kuanza upya na wahusika halisi kutiwa pingu. Tafsiri ya maneno ya JK mwenyewe pale Diamond baada ya EL kujiuzuru kwamba ile ilikuwa ni "ajali ya kisiasa" yana maana na tafsiri pana zaidi kwa weledi.
Mgonjwa wa Lowasa kwenye TzDaima ni "Mwalimu Mkuu wa Watu", Paschal Mayega.
Baadhi yetu tunaamini tukijapata Rais makini suala hili litakuja kuanza upya na wahusika halisi kutiwa pingu. Tafsiri ya maneno ya JK mwenyewe pale Diamond baada ya EL kujiuzuru kwamba ile ilikuwa ni "ajali ya kisiasa" yana maana na tafsiri pana zaidi kwa weledi.
Mgonjwa wa Lowasa kwenye TzDaima ni "Mwalimu Mkuu wa Watu", Paschal Mayega.