Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Katika toleo la jamhuri la jana ambalo nimelipata leo,kuna makala ndefu ilioandikwa na Balile akitja wakurugenzi wa hilo gazeti kwamba ni 4 hapo hapo juu.
Kwamba yeye balile na manyerere ndiyo wanaolingoza kwa sasa wakati wenzao kibanda na meena wakijipanga kuwaunga mkono wakati wowote!
Kumbuka alikuwa akijibu madai kwamba nyuma ya hili gazeti au lina mkono wa LOWASA.
Soma makala zao utagundua hilo.
Sumaye kumtukana Lowassa unajidhalilisha, JK umenena
cc Manyerere Jackton
Kwamba yeye balile na manyerere ndiyo wanaolingoza kwa sasa wakati wenzao kibanda na meena wakijipanga kuwaunga mkono wakati wowote!
Kumbuka alikuwa akijibu madai kwamba nyuma ya hili gazeti au lina mkono wa LOWASA.
Soma makala zao utagundua hilo.
Sumaye kumtukana Lowassa unajidhalilisha, JK umenena
cc Manyerere Jackton
Last edited by a moderator: