Kibanda kuwa Managing Editor wa New Habari kuanzia Disemba 1, 2012

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
Habari niliyopata hivi punde ni kuwa mhariri mtendaji wa Tanzania Daima bwana Absalom Kibanda anaenda kufanya kazi kwenye kampuni ya Rostam Aziz kama Managing Editor chini ya babu Prince Bagenda.

Kama kawaida, kampuni New Habari inachapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, The Afrikan, Bingwa na Dimba.
Habari za kuaminika kutoa chanzo cha ndani ya kampuni hii ni kwamba Yule Mhariri aliyejiongea umaarufu wa kudharauliwa na wasomaji kuanzia wiki mbili zilizopita, amepewa ajira na Bashe na ataanza kazi kwa bosi Huyu mpya wiki ijayo.

Inasemekana Bashe alikuwa na wakati mgumu sana kumtunza mwanahabari Huyu mchovu kwa bilionea Rostam, kama ataripoti itaonekana kwamba Bashe atakuanamefanikiwa. Huu ni katika makati wa Bashe SA kumpunguza makali Bagenda ambaye haelewani naye.

Kwa mujibu wa chanzo hicho, both Kibanda na Bagenda watakuwa wanaripoti kwa Bashe Kama Group Managing Editor na Editorial Director respectively kitu ambacho kwa wataalamu wa management ni kituko maana responsibilities zake ni Sawa. Kama ni Kweli basi usemi kwamba waandishi Wa habari wanaanza na Ku retire Kama ma correspondence unatimia.

Swali la msingi, Kati ya Habari na Kibanda, nani anayejengwa kwa kuzingatia uwezo, yawning strength? Angela Makunga tungeshituka kwamba Kweli habari imekumbwa na kimbunga kwa kutumiwa maneno yake, maana namuogopa Makunga, lakini kwa mchovu Huyu tutegemee Yale Yale ya Balile, atajikomba mpaka avue NGUO barabarani.

Hivi Kibanda hata Kama amechoshwa na Mbowe, huwezi kufanya kazi nyingine yoyote? Akitwange japo attendant wapi? Dira AMA Jamhuri? Vipi umoja limeenda wapi?

Eti wana JamiiForums nini maoni yenu?
 
Duh!hii kali,lakini hakuna haja ya kushangaa kwa kuwa watu wanatafuta!
 
habari niliyopata hivi punde ni kuwa mhariri mtendaji wa tanzania daima bwana absalom kibanda anaenda kufanya kazi kwenye kampuni ya fisadi rostam kama maneging Editor chini ya babu prince bagenda kama kawaida kampuni new habari inachapisha magazeti ya mtanzania rai the afrikan bingwa na dimba

Umbea ukikithiri humfanya mtu akashindwa hata kupiga pasi nguo anayotaka kuvaa kwa hofu ya kuchelewa kusikiliza umbea.
Don't you think we are having a candle in the darkness?
 
Hapo kilichoangaliwa na Fungu.. I would have done the same for the sake of my family...
Uzalendo ulikuwepo zamani na sio sasa .. Labda wapatikane wakuiturn upside down hii Serikali yetu....
 
Aende lakini katika Uandishi wake akumbuke kuzingatia Ethics za Uandishi habari. Si kusifia tu hata kusichosifika au kukandia kitu ambacho hakina mawaa kwa ajili ya kujipatia tu "vipande thelasini".
 
Lowassa kaanza kujipanga kwa media, tutegemee kuchafuana kama JK1995,
LE, Bashe&Co wataweza kutumia media kumpata Rais 2015?
 
habari niliyopata hivi punde ni kuwa mhariri mtendaji wa tanzania daima bwana absalom kibanda anaenda kufanya kazi kwenye kampuni ya fisadi rostam kama maneging Editor chini ya babu prince bagenda kama kawaida kampuni new habari inachapisha magazeti ya mtanzania rai the afrikan bingwa na dimba

Ulitaka afanye wapi? au ulitaka asifanye kazi acheze bao kama wewe
 
hivi watumishi wooooote, wanaofanyakazi billicanas ni CDM. tujaribu kutofautisha ajira na siasa . hata mh MBOWE hawezi kuingiza biashara zake kwenye siasa na kuwa moja ya vigezo vya ajira kuwa mwanachama wa CDM. kumbuka HATA first lady kwamaana ya first lady wa mh SLAA alikuwa diwani wa CCM , mama ROSE KAMILI hivyo kama ni kweli hakuna tofauti ya mshambuliaji wa klabu ya simba MRISHO KHALFAN NGASSA .kimwili yuko SIMBA kiroho yuko YANGA
 
Kila la kheri kibanda, sisi tunabaki na CDM yetu. Nenda huko sisi tumekutuma ukatufanyie kazi ili tuelewe undani wa hawa magamba.
 
Back
Top Bottom