habari niliyopata hivi punde ni kuwa mhariri mtendaji wa tanzania daima bwana absalom kibanda anaenda kufanya kazi kwenye kampuni ya fisadi rostam kama maneging Editor chini ya babu prince bagenda kama kawaida kampuni new habari inachapisha magazeti ya mtanzania rai the afrikan bingwa na dimba
Habari zako zina ukweli ndani yake ila anakwenda kushika nafasi ya bagenda, na rostam kauza kampun kwa lowasa hizo ndizo taarifa za kweli