UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,527
- 7,730
Safi sana 💪🏿Bado kipo.
Safi sana 💪🏿Bado kipo.
Taifa la viongozi wajinga na wapumbavu
Wapuuzi kweli nyinyi mnajifanya mnajua kujihesabia haki!!Tumshukuru Mungu ametutetea dhidi ya Jiwe, naona Samia naye kaanza chokochoko. Tunamkabidhi kwa aliye juu
Options zote zilituvusha kwenye wimbi la kwanza na la pili, kabla hata hizo chanjo zenu hawajazigundua. Kwa hiyo hatuwezi kuidharau nyungu.labda kweli kilifanya kazi kwa kuwapa false hopes watu kuwa kibanda kinatibu,hivyo hofu ya kufa na corona ikawa haipo,na hofu inasababisha magonjwa ...so kukiwa hamna hofu watu wanakua na afya na amani...
Kwa kweli hii nchi ina vituko kinoma noma. Zile mbwembwe za kukifukiza zipo wapiHii nchi ina vituko sana aisee!
Yaani kila nikikaa na kukifikiria hiki kibanda cha kupigia nyungu hapo Muhimbili naishia kucheka.
Hivi lilikuwa ni wazi la nani hasa kujenga hicho kibanda?
View attachment 1866742
Na ni kweli watu walikuwa wanaenda hapo kupiga nyungu?
Kuna yeyote humu JF aliyeenda kupiga nyungu hapo Muhimbili?
Shit is funny AF!
labda kweli kilifanya kazi kwa kuwapa false hopes watu kuwa kibanda kinatibu,hivyo hofu ya kufa na corona ikawa haipo,na hofu inasababisha magonjwa ...so kukiwa hamna hofu watu wanakua na afya na amani...
Watu wengi katika nchi mbali mbali walijiaminisha kwamba hakuna ugonjwa kwamba ni HOAX. Hivyo hawakuchukua tahadhari zozote. Walipoipata wakaanza kujilaumu huku wakiwa mahututi hospitalini wengi walikufa na baadhi walipona baada ya kulazwa kwa miezi mingi.
Ni kweli mkuu,halafu kwa nchi isiyo document vifo na idadi ya wagonjwa ni ngumu kujua kama nyunguzzz zilikua na impact yoyote
Wapi? chattle?🤣🤣🤣🤣🤣 Kibebwe hiki kihamishiwe makumbusho.
Wapi? chattle🤣🤣🤣🤣🤣 Kibebwe hiki kihamishiwe makumbusho.
Tanzania ambayo hatoi takwimu wamekufa wangapi?Werevu mfano marekani wamekufa watu laki 6.
Ulifaa kuwa "reference" kwenye huu uzi. Kweli aliyoandika huyu mleta uzi huu Hakuna Pro-CCM mwenye uwezo wa kujadili mambo ya maana hadi sasa ni sahihi.Werevu mfano marekani wamekufa watu laki 6.
Hii nchi ina vituko sana aisee!
Yaani kila nikikaa na kukifikiria hiki kibanda cha kupigia nyungu hapo Muhimbili naishia kucheka.
Hivi lilikuwa ni wazi la nani hasa kujenga hicho kibanda?
View attachment 1866742
Na ni kweli watu walikuwa wanaenda hapo kupiga nyungu?
Kuna yeyote humu JF aliyeenda kupiga nyungu hapo Muhimbili?
Shit is funny AF!
Kinjekitile ngwale1905-1907majimaji war marudio 2019-2020nyungu -nyungu warHii nchi ina vituko sana aisee!
Yaani kila nikikaa na kukifikiria hiki kibanda cha kupigia nyungu hapo Muhimbili naishia kucheka.
Hivi lilikuwa ni wazi la nani hasa kujenga hicho kibanda?
View attachment 1866742
Na ni kweli watu walikuwa wanaenda hapo kupiga nyungu?
Kuna yeyote humu JF aliyeenda kupiga nyungu hapo Muhimbili?
Shit is funny AF!
Aisee vipi bajeti yake kifungu ganiiHii nchi ina vituko sana aisee!
Yaani kila nikikaa na kukifikiria hiki kibanda cha kupigia nyungu hapo Muhimbili naishia kucheka.
Hivi lilikuwa ni wazi la nani hasa kujenga hicho kibanda?
View attachment 1866742
Na ni kweli watu walikuwa wanaenda hapo kupiga nyungu?
Kuna yeyote humu JF aliyeenda kupiga nyungu hapo Muhimbili?
Shit is funny AF!
Kwa hiyo nyungu ndio mbadala wa copy na pasteNyungu zilituvusha wimbi la kwanza na la pili hatukuweka lockdown.
Lakini kwa kuwa elimu ya mwafrika ni kukopy na kupaste kwenye hili wimbi la tatu tutangaziwa lockdown.