Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,795
Jamani hii kali, Naona hata wake zetu wakichepuka na wakachelewa kurudi nyumani tutaenda kuwatafuta Chamwino.Ohooo! Magufuli mzee wa faulo kishaanza tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani hii kali, Naona hata wake zetu wakichepuka na wakachelewa kurudi nyumani tutaenda kuwatafuta Chamwino.Ohooo! Magufuli mzee wa faulo kishaanza tena.
Hapana, haitakuwa chaos na haipaswi kuwa hivyo. Uwekwe utaratibu ambao hautaruhusu barua tu ndiyo iwe kigezo cha kuchukua fomu.ukiruhusu hili kesho litakuja kundi jingine kuchukua fomu so itakua chaos mkuu
Aliyekuwa meya wa ubungo Jacob Boniface amesema kuwa mwanachama wa CCM aitwaye Athuman Abdallah Sudi amechukua fomu za kugombea Ubunge kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo kwa jina la CHADEMA.
Jacob amesema hii ni mara ya pili Mkurugenzi huyo anaihujumu CHADEMA kwa kutumia barua fake.
Jacob ameripoti haya katika akaunti yake ya twitter.
Maendeleo hayana vyama!
Na huyo mkurugenzi inaonekana mchezo huo wa kihuni anaujua vizuri.Muda si rafiki kwao hawa CHADEMA...
Kama wana uhakika hawajamwidhinisha huyo mtu kwenda kufanya uhuni huo, wachukue hatua haraka za kisheria...
Na ni rahisi, waripoti polisi ama waende mahakamani na kula kiapo kuwa huyo aliyefanya hivyo ni mhalifu...
Kama atatafutwa na polisi na asipatikane kujibu kesi yake, basi kisheria CHADEMA watakuwa na haki ya kupewa fomu zingine kwa mtu halali...
All in all CCM ni wajinga na wahuni sana....
By all means, watamficha huyo mtu. Watamtafutia wadhamini. Na ataonekana kwenye ballot papers hata kama yeye personally hataonekana hadi siku ya kupiga kura....
Ni mchezo wa kijinga na kipuuzi sana...
Na huyo mkurugenzi inaonekana mchezo huo wa kihuni anaujua vizuri.
Sio kweli acha upotoshaji wa kijinga, anayeteuliwa na chama anapewa barua rasmi ya chama. Kama kila anayeshiriki kwenye kura za maoni anaweza kwenda akapewa fomu, huo utakuwa ni utendaji wa kijima sana wa tume ya uchaguzi. Na isitoshe anayekwenda anajaza jina na taarifa zake, kama sio mtu sahihi inabidi akamatwe na kuchukuliwa hatua za kisheria. Kinyume na hapo tume ndio inayohusika na huo upuuzi.
Na hapo ndio tunaposema tume hii ya uchaguzi ni sehemu ya hujuma kwenye chaguzi zetu. Na kutaka kudhibitisha kuwa tume ndio inayoratibu huo uhuni, ndio maana haitaki watu waende na msafara ili waweze kuendesha hujuma vizuri.