Kibali kilitolewa bila mkwaruzo wowote

Ole

JF-Expert Member
Dec 16, 2006
2,157
975
01_11_kxh21w.jpg


Some of the Chinese national residing in Tanzania carry a paper dragon and dance up and down the Mnazi Mmoja Garden in Dar es salaam on Saturday.The event is part of festivities to mark the Chinese New Year. Business and trade exhibitions, martial arts, acrobatics, kite flying and a number of other entertainment coloured the day well into the night.. (Photo by Muhidin Issa Michuzi)


Wageni ndio wanaopewa kipaumbele kwa jambo lolote wanalotaka kufanya na kibali cha polisi sio swala la kukuna kichwa. Where do we go? Je wachina wameacha zile biashara zinazoweza kufanywa na wabongo? Naona kama ule muda walipewa unakaribia kwisha au waziri amefyata mkia?​
 
01_11_kxh21w.jpg


Some of the Chinese national residing in Tanzania carry a paper dragon and dance up and down the Mnazi Mmoja Garden in Dar es salaam on Saturday.The event is part of festivities to mark the Chinese New Year. Business and trade exhibitions, martial arts, acrobatics, kite flying and a number of other entertainment coloured the day well into the night.. (Photo by Muhidin Issa Michuzi)


Wageni ndio wanaopewa kipaumbele kwa jambo lolote wanalotaka kufanya na kibali cha polisi sio swala la kukuna kichwa. Where do we go? Je wachina wameacha zile biashara zinazoweza kufanywa na wabongo? Naona kama ule muda walipewa unakaribia kwisha au waziri amefyata mkia?​

Wamepewa kibali bila mkwaruzo koz wao hawaikosoi, hawaipingi wala hawaishauri kitu serikali iliyo madarakani.....so hata kama kuna chama au kikundi cha watu fulani kinataka kufanya vitu ambavyo haviigusi Serikali kwa namna yoyote ile KIBALI kitatolewa bila Mkwaruzo hata kama hawatakuwa Wageni...

serikali yetu haipendi kuambiwa chochote, si kukosolewa au kushauriwa ikiwa ni moja kati ya Hilo Kibali no na ndo hapo utakapoona Intelijensia inavyofanya kazi.....CHUKUA HATUA
 
01_11_kxh21w.jpg


Some of the Chinese national residing in Tanzania carry a paper dragon and dance up and down the Mnazi Mmoja Garden in Dar es salaam on Saturday.The event is part of festivities to mark the Chinese New Year. Business and trade exhibitions, martial arts, acrobatics, kite flying and a number of other entertainment coloured the day well into the night.. (Photo by Muhidin Issa Michuzi)


Wageni ndio wanaopewa kipaumbele kwa jambo lolote wanalotaka kufanya na kibali cha polisi sio swala la kukuna kichwa. Where do we go? Je wachina wameacha zile biashara zinazoweza kufanywa na wabongo? Naona kama ule muda walipewa unakaribia kwisha au waziri amefyata mkia?​
Naibu kawa overruled na bosi wake ndo maana kafyata mkia!!!
 
I don't think there is anything wrong with this because their march is to celebrate their faith, and elsewhere in the world it happens,

Kibali walichotaka CDM na dhumuni ni tofauti na hichi,
walichopewa wachina

Ili tucompee ( compair ) apples with apples ingependeza kama ungematch na any other political party
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom