Umuofia kwenu! Kwenu!
Wadau nimekuja hapa kuomba mwongozo juu ya taratibu za kupata kibali cha uvunaji miti ya asili shambani kwangu.
Nimenunua shamba wilaya ya Kilindi na niko mbioni kulisafisha kwa kukata miti iliyopo ili niweze kufanya kilimo.
Baadhi ya wanakijiji kwa kuogopa urasimu ama kwa kutokujua wanasafisha mashamba yao kwa njia zisizo na tija kwa kuichoma miti iliyopo.
Naomba ufafanuzi kwa anayejua taratibu za kuomba kibali maliasili ili niweze kuikata miti iliyopo shambani na kupasua mbao.
Nawasilisha kwa msaada zaidi.
Wadau nimekuja hapa kuomba mwongozo juu ya taratibu za kupata kibali cha uvunaji miti ya asili shambani kwangu.
Nimenunua shamba wilaya ya Kilindi na niko mbioni kulisafisha kwa kukata miti iliyopo ili niweze kufanya kilimo.
Baadhi ya wanakijiji kwa kuogopa urasimu ama kwa kutokujua wanasafisha mashamba yao kwa njia zisizo na tija kwa kuichoma miti iliyopo.
Naomba ufafanuzi kwa anayejua taratibu za kuomba kibali maliasili ili niweze kuikata miti iliyopo shambani na kupasua mbao.
Nawasilisha kwa msaada zaidi.