Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,587
- 12,114
Heshima kwenu wakuu!
Naomba kujua kwa wenye kujua.
Hapa mtaani kwetu wamekuja maafisa kutoka jiji na kupita kila nyumba na kuwaandikia "STOP KIBALI" na wamefanya makadirio kila wanavyoithaminisha nyumba,wakiona nyumba nzuri wanasema malipo ya kibali ni laki moja na faini ya kujenga bila kibali ni laki na hamsini.Jumla laki mbili na hamsini.
Najiuliza huu utaratibu unaotumika na hawa watendaji upo kisheria au?
Maana nyumba zimejengwa miaka mingi zaidi ya 10 iliyopita lakini leo wanatuandikia STOP KIBALI.
Ukizingatia maeneo hayo bado hayajapimwa na hayana hati miliki/plot numbers.
Je sheria inasemaje kwa watu waliojenga maeneo yasio pimwa au yasio na gari miliki ni lazima kabla ya kujenga uwe na kibali?
Asanteni.
Naomba kujua kwa wenye kujua.
Hapa mtaani kwetu wamekuja maafisa kutoka jiji na kupita kila nyumba na kuwaandikia "STOP KIBALI" na wamefanya makadirio kila wanavyoithaminisha nyumba,wakiona nyumba nzuri wanasema malipo ya kibali ni laki moja na faini ya kujenga bila kibali ni laki na hamsini.Jumla laki mbili na hamsini.
Najiuliza huu utaratibu unaotumika na hawa watendaji upo kisheria au?
Maana nyumba zimejengwa miaka mingi zaidi ya 10 iliyopita lakini leo wanatuandikia STOP KIBALI.
Ukizingatia maeneo hayo bado hayajapimwa na hayana hati miliki/plot numbers.
Je sheria inasemaje kwa watu waliojenga maeneo yasio pimwa au yasio na gari miliki ni lazima kabla ya kujenga uwe na kibali?
Asanteni.