babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Kibo walikuwa wameomba licence ya kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe. Lakini siku za karibuni wamekuwa kimya.
Je serikali imenyima licence?
Kama serikali imekataa kuwapa licence.
Msimamo wa serikali ni upi kwa private companies kuzalisha umeme?
Harakati za serikali Kuanza ujenzi wa Stigler’s Gorge umefikia wapi?
Je serikali imenyima licence?
Kama serikali imekataa kuwapa licence.
Msimamo wa serikali ni upi kwa private companies kuzalisha umeme?
Harakati za serikali Kuanza ujenzi wa Stigler’s Gorge umefikia wapi?