Kibaki amerudi Ikulu

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Hatimaye Kibaki ametangazwa mshindi huku vyombo vya habari vya kujitegemea vikifukuzwa toka ukumbini .

Nyeti ndiyo hizo mchezo sijui umeisha ama ndiyo umeanza sijui nawe sema lako .
 
Tumejifunza nini toka mfumo wa Popular vote kumchagua rais wa nchi?... KIBAKI ni ushahidi tosha wa mbinu chafu (loopholes) za kisiasa - Hazijengi ila kubomoa Taifa!
 
Yebo Yebo,
Kishaapishwa. Nimeandika kidogo kule kwenye topic ya Kenya elections. Nimeangalia live KBC channel 1.
 
Mimi nilihisi kuwa hatakubali kushindwa kiulani hivyo...Hii ndo afrika, cha kusikitisha ni kuwa kutokana na yalotokea Pakistan, macho yote yapo huko! Na huko Kenya hakuna mtu anayekujali sana katika kipindi hiki cha maomboleza na kutafuta muuaji huko Pakistani.
 
A very shameful scene from state house: Swearing in ceremony at night, those in attendance except Kivuitu smiled, Mungatana wearing a white t-shirt, etc. This is not Kenya. A very very sad day for Kenya
 
Ina maana anaapishwa leo leo?

Ameapishwa chap chap ili atume askari kwenda kuua raia waliomnyima kura. Kula kuzuri bwana hakuna mwaliko kwa Jk wala M7, hata Kagame na kundi lao la MAFISADI maana hata yeye anaweza asifike kesho. Si unafahamu kuna suicide bombers siku hizi.
 
Ameapishwa chap chap ili atume askari kwenda kuua raia waliomnyima kura. Kula kuzuri bwana hakuna mwaliko kwa Jk wala M7, hata Kagame na kundi lao la MAFISADI maana hata yeye anaweza asifike kesho. Si unafahamu kuna suicide bombers siku hizi.


Duh! Unaapishwa haraka kiasi hicho na kushindwa kuwaalika hata majirani zako! Tuna kazi kubwa Afrika ya kupambana na mafisadi.
 
This is damn sh^&*t, hivi mwanaume mzima nishinde uRais halafu nikubali kuapishwa usiku? This is Africa and only Africa, wacha akaue watu wataompinga maana ndio target
 
Ndiyo maana ameamua aampishwe haraka haraka kwa kunyatia kama mwizi! Unajua baada ya hapo hicho kipigo na mkwala atakaotembeza akina Raila watakoma.
 
Sasa tunahitaji analysis of why ODM did not 'win'. My quick reaction, pamoja na claims of Kibaki rigging: One of key strategy miscaculation by ODM is Kalonzo factor- they would have convinced him to support Raila- as Kalonzo got 800,000 votes- which would have boosted Raila votes!

ODM took Kalonzo lightly and concentrated on Kibaki!
 
Kibaki declared winner, sworn in
By NATION Reporter
The Electoral Commission has declared Mwai Kibaki the winner of Thursday’s presidential elections, garnering 4,584,721 to Raila Odinga’s 4,352,993.

The President was sworn in for a second term moments later, at State House, Nairobi.

The ECK announced the results through the national broadcaster, KBC-TV after an earlier attempt at the Kenyatta International Conference Centre broke down into chaos.

“I declare Mwai Kibaki the president of the republic of Kenya,” commission chairman Samuel Kivuitu declared after reading the final tally of the election results.

He said any irregularities alleged by the Orange Democratic Movement was now in the domain of the law courts.

“The Electoral Commission has no jurisdiction over the issues raised. These are matters for the judiciary. We hope the courts would move expeditiously,” he said.

Mr Kivuitu said he understood any bitterness the losers of the election may have.

All local journalists were ejected from the precincts of the KICC as the results were announced.

Soon after he was sworn in for a second term, President Kibaki pledged to ensure equal treatment and justice for all Kenyans and declared that he will soon appoint a “clean hands Cabinet” that reflects the face of the country.

He promised to serve all Kenyans equally regardless of who they voted for in the election.

“I ask all Kenyans to set aside all the divisive views and opinions we held during the elections and embrace one another as brothers and sisters,” he said.

President Kibaki said his key opponents, ODM’s Raila Odinga and ODM-Kenya’s Kalonzo Musyoka, were strong campaigners and were able to get support from across the country.

He asked political and religious leaders to come out and preach peace in the country

HII NDIYO DEMOKRASIA YA NCHI ZETU SIJUI TUNAKWENDA WAPI MAANA KWA HEKIMA KIBAKI ANGEKUBALI TU AACHIE NGAZI.

ODM WABUNGE 72 NA PNU WABUNGE 24. MBONA HUKO BUNGENI KUTAKUWA NI KILA SIKU KUPINGANA NA KUTOKA NJE YA VIKAO?
 
Sasa tunahitaji analysis of why ODM did not 'win'. My quick reaction, pamoja na claims of Kibaki rigging: One of key strategy miscaculation by ODM is Kalonzo factor- they would have convinced him to support Raila- as Kalonzo got 800,000 votes- which would have boosted Raila votes!

ODM took Kalonzo lightly and concentrated on Kibaki!

Very academic, na ndio tuncahohitaji sasa this kind of analysis!
 
Sasa tunahitaji analysis of why ODM did not 'win'. My quick reaction, pamoja na claims of Kibaki rigging: One of key strategy miscaculation by ODM is Kalonzo factor- they would have convinced him to support Raila- as Kalonzo got 800,000 votes- which would have boosted Raila votes!

ODM took Kalonzo lightly and concentrated on Kibaki!

Hata Kalonzo angeongeza kura zake laki tano, bado Kibaki angetumbukiza zingine laki sita. Huwezi kushindana na mtu ambaye hana heshima yoyote na demokrasia.

Tumeyaona hayo Zanzibar miaka na miaka, sasa Kenya. Tanzania bara tutayaona pia kama upinzani watapata nguvu kubwa.

Kwa mwendo huu Afrika tusitegemee maendeleo kamwe. yatakuwa yanakuja leo na kesho kubomolewa. Inasikitisha, inatia aibu.
 
Mna hakika gani kama Kalonzo kapata hizo? hizo ndio rigging zenyewe? alichohitajia Raila kura ziwesabiwe UPYA ..mbona wamekataa? CCM walifanya hili Znz na Bara ktk uchaguzi wa DSM...
Wanachofanya hapo ni simple maths..kukupunguzia na kumwogezea mpinzani dhaifu...
We dont have to time ya Ku-analyze ikiwa Uchaguzi hakuwa Fair...
 


Very academic, na ndio tuncahohitaji sasa this kind of analysis!

FMES,

Kwa jinsi nilivyofuatilia uchaguzi wa Kenya, hata Kalonzo angekuwepo bado Kibaki angeshinda tu. Waliamua kushinda hakuna kitu ambacho kingeliweza kuwazuia.

Mtu kapoteza mawaziri wake karibu wote, VP, na wabunge robo tatu kweli unategemea mtu wa namna hiyo anaweza kushinda uraisi?

Kwa waliofuatilia wanajua wazi, jamaa walikuwa wanategea tu kujua zimepungua ngapi na wabadilishe karatasi.

Nilichoona Kenya kwa kweli hakinipi matumaini kwa Tanzania.

Ombi tu kwa vijana ni kuachana na huu ujinga wa kuiba kura. Hawa wazee hawana muda mrefu, watakufa, sisi tutabaki na Afrika yetu ambayo kila siku ni ugomvi na migogoro tu.

Hivi Kibaki aliyekuja kwa mbwembwe zote, leo anaapishwa kwa kujificha tena usiku? Kashindwa hata kuwaalika marafiki zake?
 
Sasa tunahitaji analysis of why ODM did not 'win'. My quick reaction, pamoja na claims of Kibaki rigging: One of key strategy miscaculation by ODM is Kalonzo factor- they would have convinced him to support Raila- as Kalonzo got 800,000 votes- which would have boosted Raila votes!

ODM took Kalonzo lightly and concentrated on Kibaki!

Hapa umekosea. Wakamba ni binamu za wakikuyu kama ilivyo kwa wameru. Uwezekano wa Raila kupata kura za wakamba kama walikuwa wameamua kumpa kibaki ulikuwa mdogo. Kitendo cha kumuacha Kalonzo kilikuwa calculated ili agawe kura za wakamba dhidi ya Kibaki. na hii imeonekana kuwa kweli. kura zote zinazopiganiwa ni za wameru na za wakikuyu hapa. Spin yako hii imedata on arrival

Raila amemshinda Kibaki bila hata hizo kura za wakamba na namba zote zinaonyesha. Sasa ni kusubiri kuona mzee wa miaka 76 akiongoza kwa nguvu mamilioni ya makabila yasiyompenda.
 
FMES,

Kwa jinsi nilivyofuatilia uchaguzi wa Kenya, hata Kalonzo angekuwepo bado Kibaki angeshinda tu. Waliamua kushinda hakuna kitu ambacho kingeliweza kuwazuia.

Mtu kapoteza mawaziri wake karibu wote, VP, na wabunge robo tatu kweli unategemea mtu wa namna hiyo anaweza kushinda uraisi?

Kwa waliofuatilia wanajua wazi, jamaa walikuwa wanategea tu kujua zimepungua ngapi na wabadilishe karatasi.

Nilichoona Kenya kwa kweli hakinipi matumaini kwa Tanzania.

Ombi tu kwa vijana ni kuachana na huu ujinga wa kuiba kura. Hawa wazee hawana muda mrefu, watakufa, sisi tutabaki na Afrika yetu ambayo kila siku ni ugomvi na migogoro tu.

Hivi Kibaki aliyekuja kwa mbwembwe zote, leo anaapishwa kwa kujificha tena usiku? Kashindwa hata kuwaalika marafiki zake?

Kweli kabisa Mtanzania,

Unajua nimeanza kuhisi kuwa mzalendohalisi anatoa talking points kwa yule professa mkikuyu aliyekuwa akiongoea KBC au yule mtangazaji wa TVT aliyekuwepo nairobi kabla hawajakata matangazo.

Kibaki alikataa kuachia madaraka mwaka 2003 alivyokataa cheo cha prime minister. haya ya leo ni maendelezo ya nguvu ya ufisadi ambao hautaki raila awe na nafasi serikalini maana the guy hana kashfa na ameahidi over and over kudai mali ya kenya iliyoibwa irudishwe - kitu ambacho mafisadi wengi wa kikikuyu na maofisa wa usalama waliowekwa na moi hawataki kitokee.
 
Back
Top Bottom