Fuqin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 293
- 596
habarini woote!! kuna kagari fulaani hv kimeingia bongo kinaitwa 'bajaj Qute' nafkiri kina engine kama ya bajaj nimekipenda kinafaa kwa sisi wabahili wa wese... sasa anayejua bei yake atuambie kwa faida ya wote na pia ambaye kashawahi kukipanda atupe ujuzi wake kina radha gani?? ni hayo tuu