Kibaha: Watu wawili waliotoka jela kwa msamaha wauawa

Huko jela wanatakiwa watoke na life skills za kuja ku survive mtaani! Ndio maana wanafunzw kufanya productive activities
Jela za kiafrika hazifundishi watu kuja kuwa productive katika jamii zao.

Jela kuna kukandamizana, milo mibovu malazi mabaya sana, kuoneana, kuingiliana kinyume na maumbile n.k

Jela bongo ni jeraha lisilopona
 
Kwetu kilikuwa na jizi kila likiiba linakamatwa linatoka linaiba tena linafungwa linatoka linaiba tena sasa mara ya mwisho ilipobaki mwezi mmoja litoke bana ake akawa anajitapa kuwa jembe langu karibu linatoka
Wananch wakaona isiwe tabu kumuua wakaogopa mkono wa dola walichofanya wakamtafutia dada mmoja mkali kwa kuwa katoka jela ana ugwadu asingeweza kuchomoa mara baada kutoka dada akajirengesha jamaa akapita nae baada ya miezi sita jamaa akawa anapandisha mabega kikohozi hakiishi kwenda kupima vimo kwa kuwa back in days hakukua na art jamaa hakumaliza miaka miwili
Akatembea

Kuna mwingne nae alikuwa mwizi polisi wanamkamata wiki wa namuachia wanamkamata wa namuachia wanachi wakamkamata wakachemsha ulanzi wakamnyeesha ukiwa wa moto wakamuachia jamaa hakumaliza wiki akatembea wa mwisho nae wa kuwa alikuwa anafuga nywele wakampigilia msumalia kichwani nchi 6 hakutembea hata mita 500 aktembea polis kuja hawaoni jeraha mchubuko wala mkwaluzo na jamaa alifuga nywele wakawa hawajui nini kimemuua wananch wakiulizwa
Wanasema tumemuombea tu toka siku hyo kwetu hakuna kitu kinaitwa mwizi kwa zaidi ya miaka 15
 
Watu wawili waliotoka gerezani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais wameuawa baada ya kukamatwa wakidaiwa kuiba vitu mbalimbali huko kwa Mathiasi mjini, Kibaha mkoani Pwani.

Watu hao walifungwa kwa makosa ya wizi katika kesi ya jinai namba 273/2020 na 260/2020 na walipata msamaha wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Aprili 12 mwaka huu kutoka katika gereza la Mkuza mjini Kibaha.

Kamanda wa Polisi Mkoani Pwani Wankyo Nyigesa amesema leo Mei 10, 2021 kuwa watu hao wameuawa Mei 8 alfajiri kwa kupigwa na mawe, mapanga na fimbo na wananchi wenye hasira waliowatuhumu kuhusika kwenye tukio la wizi.

"Hawa watu wametambuliwa ni Ramadhani Mohamed maarufu kwa jina la Seven au Ali (28) mkazi wa kwa Mathiasi na Idd Hamisi maarufu Chuga (30) mkazi wa mtaa Jamaika, wote walikuwa wamerudi uraiani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais," amesema Nyigesa.

Hata hivyo, Kamanda Nyigesa ameshauri wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi kwa kisingizio cha hasira na badala yake watoe taarifa polisi inapotokea tukio la wizi kwenye maeneo yao, ili watuhumiwa wakamatwe na kufikishwa katika vyombo vya sheria.

Chanzo: Mwananchi

Hasara sana kwa taifa na familia kupoteza members wao.
 
Tatizo wezi hawakomi wala hawajifunzi leo anamuona mwenzake amechomwa moto baadae anaenda kuiba
 
Mmojawapo
IMG-20210511-WA0009.jpg
 
.
Unawapa KAZI ya kuwapeleka hospital.
Yaani Bora wakute maiti.
Wakikuta majeruhi alafu mkawapa KAZI ya kuwapeleka hospital wakafa huko watakuja kuwafuata Nani aliwapiga wezi.
Wanafiki, wakiwa kwenye media wanasema hivyo lakini wakifika kwenye matukio wakaona wezi wanapumua wanaelekeza lawama kwa wananchi kwanini wanafanya kazi nusunusu
 
Kwetu kilikuwa na jizi kila likiiba linakamatwa linatoka linaiba tena linafungwa linatoka linaiba tena sasa mara ya mwisho ilipobaki mwezi mmoja litoke bana ake akawa anajitapa kuwa jembe langu karibu linatoka
Wananch wakaona isiwe tabu kumuua wakaogopa mkono wa dola walichofanya wakamtafutia dada mmoja mkali kwa kuwa katoka jela ana ugwadu asingeweza kuchomoa mara baada kutoka dada akajirengesha jamaa akapita nae baada ya miezi sita jamaa akawa anapandisha mabega kikohozi hakiishi kwenda kupima vimo kwa kuwa back in days hakukua na art jamaa hakumaliza miaka miwili
Akatembea

Kuna mwingne nae alikuwa mwizi polisi wanamkamata wiki wa namuachia wanamkamata wa namuachia wanachi wakamkamata wakachemsha ulanzi wakamnyeesha ukiwa wa moto wakamuachia jamaa hakumaliza wiki akatembea wa mwisho nae wa kuwa alikuwa anafuga nywele wakampigilia msumalia kichwani nchi 6 hakutembea hata mita 500 aktembea polis kuja hawaoni jeraha mchubuko wala mkwaluzo na jamaa alifuga nywele wakawa hawajui nini kimemuua wananch wakiulizwa
Wanasema tumemuombea tu toka siku hyo kwetu hakuna kitu kinaitwa mwizi kwa zaidi ya miaka 15
Tea
JamiiForums-1237641060.gif
 
Maisha ya jela hayapo kama tunavyoaminishwa mtaani.
japo NI kweli kwenye chakula na maradhi NI kubovu
Sahihi Bro. Hawa sio watu naona wanakuwa na pepo mchafu. Kuna wengine hata huko gerezani huwa hawataki kutoka yaani wanaona kuwa ni sehemu ya burudani fulani hivi. Jirani yangu alifungwa miezi 6 kwa kosa la udokozi aliporudi uraiani alikuwa kanawiri sana ukilinganisha wakati anapelekwa mahabusu. Wengine wakiachiwa wanaona kama kurudi uraiani kwao ni shida hivyo wanafanya kurudia hayo makosa kusudi warudi gerezani. Counselling nadhani hata kabla ya kuachiwa huwa wanapewa somo kuwa wakirudi uraiani wawe raia wema ila sema tu hawataki kubadilika.Kama zingetumika sheria za uarabuni kosa moja la wizi linaenda na kidole, la pili kiganja.......n.k. Kwao hiyo huwa ni identity kuwa fulani ni mwizi. Katika hali hiyo jamii ikimnyanyapaa lazima ajirekebishe.
 
Mimi nilikaa mahabusu.
HAO watoto wakianza kusimulia matukio Yao.
Burudani sana.mwizi haogopi kufa.
na wanakwambia ukikamatwa ukapigwa ukapona HAPO UMEPANDA VYEO VYA WIZI.
ukikaa mahabusu hata nje unapasahau.
Madogo Wana matukio mazito mazito.
Kuna mmoja nilimkuta ameua MTU,
Mwingine amemchkma MTU kisu cha tumbo
Tatizo wezi hawakomi wala hawajifunzi leo anamuona mwenzake amechomwa moto baadae anaenda kuiba
 
Back
Top Bottom