C mkoa wa MKWERE. Kumbe hata nyumbani hakubaliki!
baada ya kubana kwa muda mrefu, wametangaza ccm 14,000 na chadema 10,200. mabomu kwa kwenda mbele, vijana wanadai haki yao!
baada ya kubana kwa muda mrefu, wametangaza ccm 14,000 na chadema 10,200. mabomu kwa kwenda mbele, vijana wanadai haki yao!
The idiocy of people.
Umekaa kwenye internet, hujawahi hata kufika kibaha mjini. Hujui hata siasa za pale zikoje. Halafu unapata audacity ya kuandika bila hiyana "ila kuna kila ukweli kwamba matokeo yamechakachuliwa".
Yaani mkishinda, basi ya ukweli. Mkishindwa mmeibiwa. Where do you guys this entitlement of wining everything? Sasa demokrasia gani hiyo? Mkipewa dola mtaiachia kweli?
selemani njoo kibaha ujionee maana ya kuibiwa na utajua hasira yake. We imagine kama CCM ingekubali kuibiwa hata kura moja hali ingekuwaje?? kwa nini viongozi waje kuingilia NEC? Nakusihi selemani njoo ufanye utafiti usio rasmi uone uchakachuaji ulivyo, tujiulize mbona wapinzani hawafanyi fujo huko tabora au kwa magufuli? unafikiri watu ni wajinga wanafanya vurugu tuuu? they know kila kituo wamepataje na wanajua total ni ipi.