Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Inasemekana kuna kiongozi wa juu kaenda kuhani msiba huko kibaha, barabara zimefungwa toka saa 8, hadi arudi toka msibani.
Kama hii ni kweli basi nchi hii kuna shida kubwa sana.
Hata kama ameenda kwa sababu za kitaifa, kiongozi mmoja hawezi weka watu njiani kwa saa 2.
Kama hii ni kweli basi nchi hii kuna shida kubwa sana.
Hata kama ameenda kwa sababu za kitaifa, kiongozi mmoja hawezi weka watu njiani kwa saa 2.