sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 325
- 2,292
Wakuu tuongee kidogo tunajua fika dili za matangazo zina vigezo vingi mpaka kuzipata. Kigezo kimojawapo ni kuhusianisha product na balozi wa product.
Mfano tunategemea dili ya mapishi au chakula Shilole awe na nafasi kubwa kuipata. Au dili ya ishu za corporate ni rahisi Vanessa Mdee kuipata kuliko Msaga Sumu.
Tumeshtushwa kidogo kuona dili ya kampuni ya kubahatisha hususani mchezo wa soka anapewa Diamond ambae hajui ata kupiga danadana na nimeskia jamaa kakunja pesa ndefu.
Kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya kuuza image nilitegemea Kiba ndio angechukua mchongo sababu anafanania na product inayoenda kutangazwa. Sababu kiba ni mwanamuziki lakini pia ni mwanamichezo tena amecheza soka mpaka ngazi ya ligi kuu.
Sasa nimebaki najiuliza Kiba anakwama wapi? Dili kama hizi hana watu wazuri wa kumuuza awe anazipata? Hivi baada ya ile dili ya tembo Ali kiba ameshawai kupata dili gani ya ubalozi? Anakwama wapi mshikaji?
Mfano tunategemea dili ya mapishi au chakula Shilole awe na nafasi kubwa kuipata. Au dili ya ishu za corporate ni rahisi Vanessa Mdee kuipata kuliko Msaga Sumu.
Tumeshtushwa kidogo kuona dili ya kampuni ya kubahatisha hususani mchezo wa soka anapewa Diamond ambae hajui ata kupiga danadana na nimeskia jamaa kakunja pesa ndefu.
Kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya kuuza image nilitegemea Kiba ndio angechukua mchongo sababu anafanania na product inayoenda kutangazwa. Sababu kiba ni mwanamuziki lakini pia ni mwanamichezo tena amecheza soka mpaka ngazi ya ligi kuu.
Sasa nimebaki najiuliza Kiba anakwama wapi? Dili kama hizi hana watu wazuri wa kumuuza awe anazipata? Hivi baada ya ile dili ya tembo Ali kiba ameshawai kupata dili gani ya ubalozi? Anakwama wapi mshikaji?