digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,873
- 14,302
Wakuu habari za Leo? Natumaimi mu wazima wa afya njema.
Baada ya Mh .Magufuli kumaliza muda wake 2025 Tanzania itapata pengo kubwa ambalo lina hitaji umakini ulio tukuka katika kuona namna ya kuliziba, hii ni kutokana na utawala wa Mh.JPM kuwa na machungu ya raslimali za nchi yetu ,kama nchi hatuna budi kuangalia mtu ambaye atakuwa makini na mwenye falsafa kama za JPM na ambaye atakuwa tayali kupigana kufa kupona kwa masirahi mapama ya taifa lake.
Binafsi namuona Mh. Majaliwa kama mtu makini na mwenye umakini wa hali ya juu sana ambaye akipewa viatu vya JPM vitamtosha pasina shaka,the man is so calm ,so wise and not egoist.pia ni mtu mwenye uchungu wa rasilimali za nchi yake,
Mungu ampe kheri aweze kuvivaa viatu vya JPM ili atufikishe katika nchi ya maziwa na asali
Wapinzani wasubiri kwanza labda baada ya miaka 100 mbele ndo wanaweza kufikiliwa kukabidhiwa hii nchi.
Ni hayo tu.
Majaliwa for 2025-2030
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya Mh .Magufuli kumaliza muda wake 2025 Tanzania itapata pengo kubwa ambalo lina hitaji umakini ulio tukuka katika kuona namna ya kuliziba, hii ni kutokana na utawala wa Mh.JPM kuwa na machungu ya raslimali za nchi yetu ,kama nchi hatuna budi kuangalia mtu ambaye atakuwa makini na mwenye falsafa kama za JPM na ambaye atakuwa tayali kupigana kufa kupona kwa masirahi mapama ya taifa lake.
Binafsi namuona Mh. Majaliwa kama mtu makini na mwenye umakini wa hali ya juu sana ambaye akipewa viatu vya JPM vitamtosha pasina shaka,the man is so calm ,so wise and not egoist.pia ni mtu mwenye uchungu wa rasilimali za nchi yake,
Mungu ampe kheri aweze kuvivaa viatu vya JPM ili atufikishe katika nchi ya maziwa na asali
Wapinzani wasubiri kwanza labda baada ya miaka 100 mbele ndo wanaweza kufikiliwa kukabidhiwa hii nchi.
Ni hayo tu.
Majaliwa for 2025-2030
Sent using Jamii Forums mobile app