Mara ya kwanza kuhonga pesa nyingi ilikuwa ni 200k siku hiyo sikuweza kulala muda wote nilikuwa nawaza zile pesa tu enzi hiyo nilikuwa apeche alolo.Niliwahi kumpa answer sheet yangu mdada akakopi majibu yote katika test two.
Pia nimemaliza kusomesha mtu mwezi uliopita. (Huku kunaitwa kuhudumia).
Mi nilitumia boom ndugu yanguMara ya kwanza kuhonga pesa nyingi ilikuwa ni 200k siku hiyo sikuweza kulala muda wote nilikuwa nawaza zile pesa tu enzi hiyo nilikuwa apeche alolo.
Kuhonga kama hauna kitu inahitaji uwe na moyo wa chuma