Kiasi cha shahawa zangu kimeongezeka. Je, kuna tatizo?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,032
Habari wadau

Nimekuja mbele yenu wazoefu ama mliowahi kupitia hali hii. Ni kwamba kwa sasa kiwanda kinatema bidhaa yake ya upwilo kwa kiwango kilichozidi kwa asilimia kama 30 za ziada.

Binafsi ninapokaribia mara nyingi huwa naumwaga upwilo kwenye kanga spesho ila kwa saizi imekuwa too much, kanga inatapakaa huu upwilo utadhani ni mtu kaipengea makamasi mengi.

Sasa ninauliza hii imekaaje labda. Kwa sasa nina miaka 30.
 
Back
Top Bottom