Uongozi siyo kujua kila kitu ni namna unavyowatumia wataalam wa fani mbalimbali kwa uwiano mzuri kuliletea Taifa maendeleo
Hakuna MTU anayejua kila kila kitu lakini kila mtu ana kitu anachokijua
Unapowapa wataalam majukumu ya kufanya lazima uwaamini
Lazima usikilize wanachokuambia wataalam siyo kusikia unachotaka waseme
Hakuna MTU anayejua kila kila kitu lakini kila mtu ana kitu anachokijua
Unapowapa wataalam majukumu ya kufanya lazima uwaamini
Lazima usikilize wanachokuambia wataalam siyo kusikia unachotaka waseme