Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Kiapo ni suala la imani iliyopo akilini na moyoni mwa mtu tu
Kama utaapa na huna imani na kiapo chako hata ukienda kinyume nothing will happen
Hebu jaribu kuwafanya wazazi wako (Wakati huamini maapizo yao) wakuapize ya kukuapiza halafu urudi hapa utuambie yaliyokukuta au ambayo hayajakukuta.