Kiama kwa Wanunuzi wa German Cars (Audi, VW): Kodi ya kuingiza magari haya nchini yaongezeka maradufu

Hiki ndio nimekisema....kwa kuongeza kodi hawatapata hata hio ndogo kwasababu watu wataacha kununua kabisa.
Kodi kubwa makusanyo haba, wenzetu kodi nafuu makusanyo tele.hii itapelekea kuingizwa kwa gari nyingi sana kimagendo toka nchi jirani, kwa mwendo wa kuongezeka kwa rushwa.Tofauti na nchi za Jirani wao hawana mlolongo wa kodi wamesingle,tunafanana vat,na import duty,hawana msururu wa mikodi.Ukienda Msumbiji, Malawi,Zambia magari na mafuta yako bei chini sana
 
Only in Tanzania unakutana na haya:-

1) Shati linanunuliwa toka Italy linapanda meli, linashuka bandari ya Dar, linalipiwa gharama ya usafiri linapanda lorry linaenda Uganda halafu linanunuliwa tena kutoka Uganda na manyabiashara aliyelipa nauli toka Tanzania kwenda Uganda kulinunua then linapanda basi na kulipiwa nauli, halafu linakuja kuuzwa Dar kwa bei nafuu zaidi ya bei ya shati hilohilo Kariakoo na mfanya biashara anapata faida anaridhika.

2) Mkongoman ananunua benz mpya ulaya, inapada meli hadi Dar, analipa bima kulitoa Dar hadi Tunduma halafu anamlipa dolar 100 hadi 200 Mtanzania aliendeshe toka Dar mpaka Tunduma, linavushwa mpakani kuingia Kasumbaresa, halafu linaenda Kinshasa, analisajili, anaanza kuliendesha halafu gharama yake inakua ndogo kuliko kuagiza benz hilohilo used Japan mpaka kuliendesha ukiwa Dar.
 
Only in Tanzania unakutana na haya:-

1) Shati linanunuliwa toka Italy linapanda meli, linashuka bandari ya Dar, linalipiwa gharama ya usafiri linapanda lorry linaenda Uganda halafu linanunuliwa tena kutoka Uganda na manyabiashara aliyelipa nauli toka Tanzania kwenda Uganda kulinunua then linapanda basi na kulipiwa nauli, halafu linakuja kuuzwa Dar kwa bei nafuu zaidi ya bei ya shati hilohilo Kariakoo na mfanya biashara anapata faida anaridhika.

2) Mkongoman ananunua benz mpya ulaya, inapada meli hadi Dar, analipa bima kulitoa Dar hadi Tunduma halafu anamlipa dolar 100 hadi 200 Mtanzania aliendeshe toka Dar mpaka Tunduma, linavushwa mpakani kuingia Kasumbaresa, halafu linaenda Kinshasa, analisajili, anaanza kuliendesha halafu gharama yake inakua ndogo kuliko kuagiza benz hilohilo used Japan mpaka kuliendesha ukiwa Dar.
Maajabu sio
 
Duuh afathali umenifumbua macho mkuu mana ni juzi tu nilkuwa nacheki kodi ya toyota noah super limo nikashanga kuikuta arround Mil 6 Tsh
 
Wanajua kuthaminisha gari kuliko aliyetengeneza na anayeuza? So strange!
hapo ndipo ninapojiuliza na mimi... unajua Tz ujuaji ni mwingi sana yani mpaka tunaharibu... ni viherehere wa hali ya juu ktk mambo yasiyokuwa na tija kabisa... sijui wanafikiri labda ni njia moja wapo ya kupambana na folen.
 
Back
Top Bottom