hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
Katika kile kinachoaminika Ni DHAMBI ya ChukiUbinafsi na Fitna (Kama initials za chama husika CUF), Leo tar.13-02-2012 viongozi na wanachama Kutoka wilaya ya Temeke zaidi ya 1420wamejitoa katika chama hicho katika muendelezo wa lile gogoro linalokitafuna chama hicho baada ya kuwavua uanachama MHE. Hamad Rashid Mohamed Mbunge wa WAWI, Doyo Hasan Doyo, MHE. Shoka pamoja na Sanane wote Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama Taifa KIMIZENGWE.
Habari hii mbaya mno kwa chama hicho imekuja siku moja tu baada ya kugalagazwa vibaya mno na CCM na Chadema katika chaguzi ndogo ya Muwakilishi jimbo la Uzini Visiwani Zanzibar.
Katika sakata Hilo, wanachama waliojivua Leo hii wakiaminika kabisa kupinga maamuzi ya kibabe na kutozingatia Sheria, haki na demokrasia kutoka kwa viongozi wakuu wa chama husika, hivyo kwa kauli moja wameamua kuonyesha wazi msimamo wao wa kumuunga MKONO MHE. Hamad Rashid Ni pamoja na Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Wilaya ya Temeke wa4 wakiongozwa na Bi. Rehema Chamwenyewe na mama Zainab Momba, Mkurugenzi wa Haki zaBinadamu Wilaya Rajabu Sudi, ilevile wako viongozi na wanachama wa kata za Makangarawe, Mbagala, Kiburugwa, Tandika, Azimio, Toangoma na Mbagala Kuu.
Habari hii mbaya mno kwa chama hicho imekuja siku moja tu baada ya kugalagazwa vibaya mno na CCM na Chadema katika chaguzi ndogo ya Muwakilishi jimbo la Uzini Visiwani Zanzibar.
Katika sakata Hilo, wanachama waliojivua Leo hii wakiaminika kabisa kupinga maamuzi ya kibabe na kutozingatia Sheria, haki na demokrasia kutoka kwa viongozi wakuu wa chama husika, hivyo kwa kauli moja wameamua kuonyesha wazi msimamo wao wa kumuunga MKONO MHE. Hamad Rashid Ni pamoja na Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Wilaya ya Temeke wa4 wakiongozwa na Bi. Rehema Chamwenyewe na mama Zainab Momba, Mkurugenzi wa Haki zaBinadamu Wilaya Rajabu Sudi, ilevile wako viongozi na wanachama wa kata za Makangarawe, Mbagala, Kiburugwa, Tandika, Azimio, Toangoma na Mbagala Kuu.