Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Mwenyekiti mpya wa ccm amepatikana na yule yule aliyetegemewa kutokana na mazoea na utamaduni uliozoeleka ndani ya chama
Wengi walishangilia kwa unafiki wengi wakiugulia ndani kwa ndani...heri ungekuwepo utaratibu wa kupiga kura na kushindanisha matokeo yangekuwa tofauti kabisa
Mikwara ya mwenyekiti mpya tayari umeshaanza na haya ndio maazimio yake
. Kupunguza wafanyakazi wasiopungua 1200 nchi nzima
. Kuhakiki upya mali za chama
. Kuhakiki upya uwekezaji wa chama
. Kuwakataa rasmi wale wanaoitwa wafadhili wa chama nk nk
Ukiachana na hawa wanachama wa kushangilia chochote kinachosemwa na viongozi ndani ya chama Kuna kundi ambalo ndio kama engine ya chama
Hili kundi ndio
Linalokusanya michango yote kwa niaba ya chama
Linaloratibu matumizi yote
Linaloratibu chochote ambacho kitakuwa na maslahi kwao kwa jina la chama
Linalosimamia miradi mali na uwekezaji wote wa chama
Hili kundi sio rasmi lipo hapo kwa maslahi binafsi lakini kupitia jina la chama
Kiama ndio kinakuja kwenye hili kundi, maisha yao yamekuwa super kutokana na chama wamejipatia mali nyingi kupitia chama , hawa ni ccm maslahi ambao hawakupenda kabisa uenyekiti uende kwa huyo aliyeteuliwa
Hayo maazimio yakisimamiwa bila kupindisha tutashuhudia ufisadi wa kutisha, ufisadi wa karne na mambo mengi mabaya yaliyofanyika chini ya kundi hilo lenye mizizi mrefu na ya muda mrefu ndani ya chama
Waathirika wakubwa watakuwa hawa
-viongozi mbalimbali serikalini
-viongozi mbalimbali ndani ya chama
-watu maarufu wakiwemo majaji na wanasheria
-viongozi wa kidini
-matajiri na wafanya biashara wakubwa
-wazee wa chama
-wanachama vigeugeu na wanachama mtu
Ule mtandao wa ulaji ule mtandao wa upigaji uliotikiswa kuanzia bandarini mamlaka ya mapato na kwingineko sasa unaenda kuzikwa rasmi
Tutarajie nini??? Yatajitokeza mengi..!ambayo kwasasa hayawezi kusemwa
Wengi walishangilia kwa unafiki wengi wakiugulia ndani kwa ndani...heri ungekuwepo utaratibu wa kupiga kura na kushindanisha matokeo yangekuwa tofauti kabisa
Mikwara ya mwenyekiti mpya tayari umeshaanza na haya ndio maazimio yake
. Kupunguza wafanyakazi wasiopungua 1200 nchi nzima
. Kuhakiki upya mali za chama
. Kuhakiki upya uwekezaji wa chama
. Kuwakataa rasmi wale wanaoitwa wafadhili wa chama nk nk
Ukiachana na hawa wanachama wa kushangilia chochote kinachosemwa na viongozi ndani ya chama Kuna kundi ambalo ndio kama engine ya chama
Hili kundi ndio
Linalokusanya michango yote kwa niaba ya chama
Linaloratibu matumizi yote
Linaloratibu chochote ambacho kitakuwa na maslahi kwao kwa jina la chama
Linalosimamia miradi mali na uwekezaji wote wa chama
Hili kundi sio rasmi lipo hapo kwa maslahi binafsi lakini kupitia jina la chama
Kiama ndio kinakuja kwenye hili kundi, maisha yao yamekuwa super kutokana na chama wamejipatia mali nyingi kupitia chama , hawa ni ccm maslahi ambao hawakupenda kabisa uenyekiti uende kwa huyo aliyeteuliwa
Hayo maazimio yakisimamiwa bila kupindisha tutashuhudia ufisadi wa kutisha, ufisadi wa karne na mambo mengi mabaya yaliyofanyika chini ya kundi hilo lenye mizizi mrefu na ya muda mrefu ndani ya chama
Waathirika wakubwa watakuwa hawa
-viongozi mbalimbali serikalini
-viongozi mbalimbali ndani ya chama
-watu maarufu wakiwemo majaji na wanasheria
-viongozi wa kidini
-matajiri na wafanya biashara wakubwa
-wazee wa chama
-wanachama vigeugeu na wanachama mtu
Ule mtandao wa ulaji ule mtandao wa upigaji uliotikiswa kuanzia bandarini mamlaka ya mapato na kwingineko sasa unaenda kuzikwa rasmi
Tutarajie nini??? Yatajitokeza mengi..!ambayo kwasasa hayawezi kusemwa