Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 581
- 574
- Thread starter
- #41
Hahaha . CCM ni imara sasa na wakati ujao.Majambazi yakifarakana ni furaha kwetu, na katika mfarakano huo sisi tunajiandaa kuwapelekea moto mpaka tuwamalize wote
Hahaha . CCM ni imara sasa na wakati ujao.Majambazi yakifarakana ni furaha kwetu, na katika mfarakano huo sisi tunajiandaa kuwapelekea moto mpaka tuwamalize wote
Tofauti yao makaburu walikuwa weupe na wakitumia nguvu na akili ndani yake, tofauti na ccm ni meusi tii,nguvu nyingi na akili kidogo.Mkuu tofautisha CCM na makaburu. CCM ni Chama kiongozi na mfano kwa vyama vyote vya Afrika; historia yake ya kuhakisha uhuru wa Afrika Kusini na nchi nyingine inafahamika.
Tume ilitangaza na wananchi ndiyo tuliochagua.
Huo ni mtazamo wako ila wananchi tunatambua na kuona uwezo mkubwa wa viongozi wa CCM katika kuleta maendeleo endelevu ya nchi hii.Tofauti yao makaburu walikuwa weupe na wakitumia nguvu na akili ndani yake, tofauti na ccm ni meusi tii,nguvu nyingi na akili kidogo.
Mtazamo wako uko katika ubaguzi wa rangi. Maamuzi ya wananchi ni lazima yaheshimiwe kwa sababu ndiyo waliokipatia Chama Cha Mapinduzi dhamana.Vyombo vya dola sio wananchi. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Huo ni mtazamo wako ila wananchi tunatambua na kuona uwezo mkubwa wa viongozi wa CCM katika kuleta maendeleo endelevu ya nchi hii.
Mtazamo wako uko katika ubaguzi wa rangi. Maamuzi ya wananchi ni lazima yaheshimiwe kwa sababu ndiyo waliokipatia Chama Cha Mapinduzi dhamana.