lara 1 umesahau, na vipi juu ya magonjwa ya Zinaa na hasa HIV: Utamvika Condom ya Kike ya Kudumu?Yaani hapa NISHAONA HUYU BASI TENA! DAWA NI KUMUWEKA VIJITI 3 TU ILI AMALIZIE HIYO F4!!! BAAAASSSSS TUHANGAIKE NA HIZO CERTIFICATE NA DIPLOMA!!!!!!!! Khaaaaaaaaaaaaa!!!!! TIMES ARE CHANGING SO FAST JAMANIIII!!!!!! 13YRS ANALIWA UZURI TU!!!!!!!!!! Na asivo na mwili basi!!!!! Vifupa tupu!!!!!! Dont tell me to talk her, DONT TELL ME TO DO NOTHING!!!!!!! Najua CONTRCEPTIVES NI MBAYA ILA MIMBA ZA UTOTONI NI MBAYA ZAIDI!!!!!!! Akifunga shule tu Manzese Kimya kimya, DUMBUKIZA VIJITI 3, kimya kimya rudisha nyumbani maisha yaendeleee!!!!! Baaaaaaaaaass!!! SIWEZI HATA KUANZA KUSHITAKI KWA WAZEEE!!!!!!! NTANZIA WAPI!!!! TIMES ARE CHANGING FAST SO SHOULD WE I GUESS!!!!!!!!! Mungu tu AMUIPUSHIE hiyo NGOMA manake IF I COULD DO ANYTHING TO PROTECT HER NINGEFANYA!!!!!!!!
na form 4 necta mtahonga,...kwa nani?Shule kumuhamisha ada sio ishu, ISHU AKILI ZAKE 3 TU!!!!!!!! Hapo kwenyewe TUMEHONGA kichizi hadi kuingia, na tutaendelea kuhonga ili apite hivo vidato!!!!!!! Angekuwa BRIGHT tupa kwa masista huko vijijini.
peleka Shule ya wasichana tu
Kisukari hiyo avatar yako tu imekaa kihekimahekima pamoja na busara. Imetulia, nzuri pia. Lara 1 katoa kitu hata kama sikweli, is a live picture and real. Mabadiliko yanaenda kasi kiasi tunaachwa na vinywa wazi kwani si rahisi kuyazuia. Ni sawa na kupiga ngumi ukutani. Uhuru kwa watoto ukizidi matokeo yake ni hayo. Mimi wanangu wote wamesoma shule wakitokea home, wameenda boarding kipindi cha mitihani tu basi, na namshukuru Mungu, sikusumbuka. Lara 1 pole sana. Huyo mtoto mbadilishe shule na kama kweli anakugusa, asome akitokea kwako, nina hakika atabadilika.lara uandikaji wako,natamani niwe nakuona,sijui unakuwa unakunja uso au una smile?maana herufi zote unachanganya,najua nia yako ni kusisitiza point katika maelezo yako.watoto wa sasa kusema la ukweli,maybe simu zinachangia,mtoto wa primary ana boyfriend,huko sec mbona mbali.na wazazi wengine,maana nitasema kama kukimbia malezi.mtoto ana miaka 6 anapelekwa boarding school.inabidi mzazi umueleweshe mtoto kuhusu sex education bila kuona aibu,maana saa nyengine iwe isiwe atafanya tu.ki ukweli inasikitisha
Akajifunze usagaji.