kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,824
kwanza kahamishe shule,kapeleke girls schools yenye maadili na ambayo hakawezi kuchomoka,tena next year anaingia fm 2 kwa hiyo hapo hakuna cha likizo wala nini,akae huko huko shule,hiyo simu akifungua shule tu ichukue asiende nayo shule,na pia usichoke kumpa risala