Kheri James: Nimeomba radhi mimi binafsi na si Jumuiya

Kaandika hiv kupitia Twitter:

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ni Taasisi, napenda kuweka kumbukumbu sawa kuwa nimeomba radhi mimi binafsi na isihusishwe na Jumuiya, Chama au Taasisi nyingine yoyote. Nitaendelea kuhimiza umoja wa kitaifa siku zote.
Wasiwe wanatumia majukwaa ya chama kuwasilisha Mambo binafsi huko ni kutumia vibaya fedha za chama.

Hery usingetumia jukwaa la chama ungelienda moja kwa moja huko twitta kusema uliyoyasema ambayo ni maoni yako binafsi.

Vijana wa CCM jifunzeni kuwa watulivu wenye subra, na si kila mara mjitokeze kujibu jibu ambavyo viko juu ya uwezo wenu.

Vinginevyo mna ajenda ya kuharibu image ya Chama.
 
Kaandika hiv kupitia Twitter:

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ni Taasisi, napenda kuweka kumbukumbu sawa kuwa nimeomba radhi mimi binafsi na isihusishwe na Jumuiya, Chama au Taasisi nyingine yoyote. Nitaendelea kuhimiza umoja wa kitaifa siku zote.
Hata mimi nilielewa hivyo!

Hakuna kikao cha UVCCM kiliketi na kumtuma aombe radhi!
 
Kaandika hiv kupitia Twitter:

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ni Taasisi, napenda kuweka kumbukumbu sawa kuwa nimeomba radhi mimi binafsi na isihusishwe na Jumuiya, Chama au Taasisi nyingine yoyote. Nitaendelea kuhimiza umoja wa kitaifa siku zote.

Umoja wa kitaifa huo kwiooooo??? Ulivyosema kwamba mtamuua lissu kwa sumu ndio umoja wa kitaifa? kwanini sasa baada ya jiwe kuondoka? Tulia tulia mtemeshwe viazi vya moto,mbuyu mliokuwa mnautegemea umedondoka.
 
1617042802519.png
 
Back
Top Bottom