Mama hongera zako, naona umri umesonga.
Faiza foxy amepotea kitambo sana.Mama hongera zako, naona umri umesonga.
Kuna mwingine anaitwa Faiza..simwoni tena kwenye anga zake.
Hamza yupi yule tuliyeambiwa alichukuliwa vyake akakinukisha au yule tuliyeambiwa ni gaidi baada ya kuded???hawa ndo akina Hamza ?