jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,092
- 35,901
Proved taarifa hii niliileta siku nyingi kidogo,lakini watu hamkunielewa kabisa,badala yake mkanipigwa madongo.Hawa Khazarian Mafia,Zionists,AshkeNazi Jews,Globalists,The Powers To Be(TPTB),The Deep State,NWO Cabal etc., ndio wanao-set agenda za Dunia,ukiwajua hawa na jinsi wanavyofanya kazi,umeilewa Dunia.Usipowajua Hawa huwezi kabisa ku-make sense of what is happening around the World at anytime.
Nadharia za kufikirika.