Mahitaji ya shira(syrup)
1)Sukari kikombe 1
2)maji kikombe kasoro
3)hiliki kiasi
4)zafarani (saffron) au arki ya rose...
Mahitaji ya mkate
1)Unga wa ngano vikombe 3.5
2)mayai 2
3)maziwa ya unga 2 tablespoon
4)sukari 3 tablespoon
5) hamira1 tablespoon
6)chumvi 1/2 teaspoon
7)siagi iliyoyayushwa 4 tablespoon...
8)mafuta ya kupikia 4 tablespoon.
9)maji 1/2 kikombe...
10)maziwa kikombe 1
11)jibini (cheese) portion 6-8
12)baking powder 1 teaspoon..
Namna ya kutaarisha
1)Chemsha,maji,sukari,hiliki,suffron kwa dakika chache hadi iwe nzito nzito...weka pembeni ipoe..
2)weka kwenye bakuli unga,hamira,sukari,chumvi,maziwa ya unga...
2)weka mafuta,siagi uliyoyayusha na yai moja..changanya vizuri...
3)changanya maziwa na uchanganye unga wako...huku ukiengezea maji kidogo kidogo hadi uwe umekandika vizuri na laini...
4)wacha kwa dakika 10-15...
5)tengeneza viduara vidogo vidogo...ndani ya kila kiduara weka cheese kiasi...alafu weka kwenye trey...
6)ukimaliza pakaa yai juu yake..
7)weka kwenye oven 300°-350°....hadi ziwe brown
8)zikishapoa mwagia shira(syrup juu yake)....
Khaliat nahal (honeycomb bread) tayari kwa kuliwa...
1)Sukari kikombe 1
2)maji kikombe kasoro
3)hiliki kiasi
4)zafarani (saffron) au arki ya rose...
Mahitaji ya mkate
1)Unga wa ngano vikombe 3.5
2)mayai 2
3)maziwa ya unga 2 tablespoon
4)sukari 3 tablespoon
5) hamira1 tablespoon
6)chumvi 1/2 teaspoon
7)siagi iliyoyayushwa 4 tablespoon...
8)mafuta ya kupikia 4 tablespoon.
9)maji 1/2 kikombe...
10)maziwa kikombe 1
11)jibini (cheese) portion 6-8
12)baking powder 1 teaspoon..
Namna ya kutaarisha
1)Chemsha,maji,sukari,hiliki,suffron kwa dakika chache hadi iwe nzito nzito...weka pembeni ipoe..
2)weka kwenye bakuli unga,hamira,sukari,chumvi,maziwa ya unga...
2)weka mafuta,siagi uliyoyayusha na yai moja..changanya vizuri...
3)changanya maziwa na uchanganye unga wako...huku ukiengezea maji kidogo kidogo hadi uwe umekandika vizuri na laini...
4)wacha kwa dakika 10-15...
5)tengeneza viduara vidogo vidogo...ndani ya kila kiduara weka cheese kiasi...alafu weka kwenye trey...
6)ukimaliza pakaa yai juu yake..
7)weka kwenye oven 300°-350°....hadi ziwe brown
8)zikishapoa mwagia shira(syrup juu yake)....
Khaliat nahal (honeycomb bread) tayari kwa kuliwa...