kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
Habari wanajf mtoto wa sister inabidi tumrudishe shule ya Government baada ya mambo kutokwenda vizuri Ada nk
Naomba msaada hatua gani za kufuata ili kuweza kumhamisha shule? lakini ni shule gani nzuri (ikipatikana Kanda ya Ziwa) au mikoa ya Jirani itapendeza
NB: shule ya secondary
Naomba msaada wenu yupo kidato cha Tatu
Naomba msaada hatua gani za kufuata ili kuweza kumhamisha shule? lakini ni shule gani nzuri (ikipatikana Kanda ya Ziwa) au mikoa ya Jirani itapendeza
NB: shule ya secondary
Naomba msaada wenu yupo kidato cha Tatu