Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, soma tena kichwa cha habari.Mzee Selemani alishafariki kitambo kama miaka mitatu au minne iliyopita na huyo aliyekufa sasa ni mtoto wake mkubwa yaani kaka yake Tatu na wenzake,Jakaya huyo ni mtoto wa kaka yake
Anaishi kama unaelekea regency hotel unaingia kulia kama unatokea moroco ...unaipita nyumba ya mtoto wa wauza lambalamba unaelekea kwake.Kikwete kwake siyo Mikocheni au ni ile nyumba aliyokuwa anajengewa na serikali??
Kule migombani sasa ni Ofisi ya mama Salma!Anaishi kama unaelekea regency hotel unaingia kulia kama unatokea moroco ...unaipita nyumba ya mtoto wa wauza lambalamba unaelekea kwake..
Kule migombani regent hakai mjumba upo tu
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Itakua ni Nimonia..Poleni wafiwa.
Vipi, wametaja chanzo cha kifo?
Poleni san ,Mungu awe mfariji wenu.TANZIA
Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun. Nawajulisha taarifa ya Msiba mkubwa wa Kaka yetu Mkubwa Bwana Khalfani Selemani Kikwete aliyefariki asubuhi hii.Msiba upo Msasani Nyumbani kwa Mh.Rais Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Taratibu za mazishi na mengineyo tutajulishana.
Ahsanteni sana.
Kwa Niaba ya Familia
Ridhiwani J. Kikwete (Mb)
Okk....Kule migombani sasa ni Ofisi ya mama Salma!
Poleni sana wafiwa.Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu.TANZIA
Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun. Nawajulisha taarifa ya Msiba mkubwa wa Kaka yetu Mkubwa Bwana Khalfani Selemani Kikwete aliyefariki asubuhi hii.Msiba upo Msasani Nyumbani kwa Mh.Rais Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Taratibu za mazishi na mengineyo tutajulishana....
TANZIA
Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun. Nawajulisha taarifa ya Msiba mkubwa wa Kaka yetu Mkubwa Bwana Khalfani Selemani Kikwete aliyefariki asubuhi hii.Msiba upo Msasani Nyumbani kwa Mh.Rais Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Taratibu za mazishi na mengineyo tutajulishana...
Rais mstaafu Jakaya Kikwete anatangaza msiba wa kaka yake ndugu Khalifan Seleman Kikwete uliotokea leo asubuhi. Msiba upo Msasani kwa Rais huyo mstaafu.
--
TANZIA
Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun. Nawajulisha taarifa ya Msiba mkubwa wa Kaka yetu Mkubwa Bwana Khalfani Selemani Kikwete aliyefariki asubuhi hii.Msiba upo Msasani Nyumbani kwa Mh. Rais Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Taratibu za mazishi na mengineyo tutajulishana.
Ahsanteni sana.
Kwa Niaba ya Familia
Ridhiwani J. Kikwete (Mb)